07.10.20257 Oktoba 2025 Licha ya zuio la mahakama, serikali ya Tanzania ilibomoa nyumba na kuwafurusha kwa nguvu maelfu ya familia za Wamasai karibu na Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro. Watu hao waliohamishwa kwa nguvu wanadai haki na fidia zao. https://p.dw.com/p/51ckB Post navigation Qatar yaihimiza Israel kusitisha mapigano ukanda wa Gaza Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC) imekamilisha ziara ya kukagua maandalizi ya kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 katika Afisi…