Jeshi lachukua nchi Madagascar

Jeshi la Madagascar limechukua mamlaka ya nchi hiyo, kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Jumanne na kanali wa jeshi, baada ya Rais Andry Rajoelina kukimbilia ughaibuni kufuatia mvutano kati yake na waandamanaji wa Gen Z na vikosi vya usalama.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *