LEO Mnyama Simba SC atakuwa dimba la Benjamini Mkapa akiwakaribisha Nsingizini kutoka Eswatin mechi ya marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika.

Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:00 jioni na kuruka mbashara kupitia AzamSports1HD.

Mnyama anaingia katika mchezo huu akiwa na mtaji wa magoli matatu.

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mchezo huu

#CAFCL #Azamtvsports #SimbaSC

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *