Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, limefanya misa Takatifu ya Kuombea waliofariki wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania// Wanaharakati nchini Kenya wametoa wito kwa serikali ya taifa hilo kuimarisha juhudi za kuangazia maslahi ya raia wake wanaosafiri katika mataifa ya kigeni dhidi ya dhulma// Mkutano wa kilele wa mabadiliko ya tabianchi waaza leo hii katika mji wa Belem, nchini Brazil.