Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance aghairi ziara iliyopangwa nchini Kenya

Makamu wa Rais wa Marekani, JD Vance amesitisha ziara yake nchini Kenya iliyopangwa kufanyika baadaye mwezi huu baada ya safari yake aliyotarajia kwenda kwenye mkutano wa G20 nchini Afrika Kusini kufutwa na Rais Donald Trump.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *