Jumamosi ya Novemba 22, wawakilishi wa Tanzania katika ligi ya mabingwa Afrika wataianza hatua ya makundi ya michuano hii wakiwa nyumbani.
Saa 10:00 jioni, Yanga SC watakuwa dimba la New Amaan Complex wakiwakaribisha FAR Rabat kutoka Morocco.
Mechi hii itaruka mbashara kupitia AzamSports4HD.
Saa 1:00 usiku, Mnyama Simba SC atakuwa dimba la Benjamin Mkapa akiwakaribisha Petro Atletico kutoka Angola.
Mchezo huu utaruka mbashara kupitia AzamSports1HD.
Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michezo hii.
#CAFCL #Groupstages #Azamtvsports