Othman afichua siri ya barua waliyoandikiwa waingie SUK
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amefichua kuwa chama hicho kuandikiwa barua...
Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amefichua kuwa chama hicho kuandikiwa barua...
đź”´MEZA HURU: MASHINDANO YA CAF, VILABU VYETU VINA NAFASI GANI? NINI KIFANYIKE ? NOVEMBA 13, 2025
Kuongezeka kwa kasi kwa idadi ya wanawake wafungwa katika magereza ya Uganda kumeibua mjadala miongoni mwa jamii.Huku mamlaka ya magereza ikielezea kuwa wengi wao hufungwa kutoka na migogoro ya kifamilia…
Janga la tabianchi linaendelea kubadili ramani ya uhamaji wa watu duniani. Mafuriko, mawimbi ya joto, ukame na dhoruba vinalazimisha mamilioni ya watu kuzikimbia nyumba zao kila mwaka. Wengi wao hubaki…
Zaidi ya wajumbe 1,400 kutoka serikali mbalimbali, mashirika ya kimataifa na asasi za kiraia wanatarajiwa kushiriki katika mikutano muhimu itakayojadili ongezeko la uraibu wa nikotini hususani miongoni mwa vijana, pamoja…
Wakati dunia ikishuhudia ongezeko kubwa la viwango vya joto, mashirika ya kimataifa yamezindua Mfumo na Zana ya Usimamizi wa kukabiliana Hatari za Joto Kaliduniani leo katika mkutano wa Umoja wa…
Ripoti mpya ya mtazamo wa chakula iliyochapishwa leo na Shirika la Umoja wa Mataifa la Chakula na Kilimo Duniani FAO, huko mjini Roma, Italy inasema hali ya sasa inaonesha ongezeko…
Wiki ya pili baada ya Kimbunga Melissa kupiga magharibi mwa Jamaica, mitaa ya Savanna-la-Mar na Watercress bado ipo kimya, kimya cha mji unaojaribu kujikwamua na Athari zilizoachwa na zahma hiyo.…
Kifua kikuu au TB bado ni moja ya magonjwa hatari zaidi ya kuambukiza duniani, kikiua zaidi ya watu milioni 1.2 na kuwaathiri takribani watu milioni 10.7 mwaka uliopita, kwa mujibu…
đź”´HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55, NOVEMBA 13, 2025
Mawaziri wa mambo ya nje wa matafia ya G7 Jumatano wamelaani vikali mashambulizi wanayoyaita “ya kikabila” yanayotekelezwa na wapiganaji wa RSF dhidi ya raia na wafanyakazi wanaotoa misaada katika miji…
RAIS Samia Suluhu Hassan atamuapisha Dk Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba 14. Taarifa ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dk Moses Kusiluka imesema hafla…
ZANZIBAR: THE Zanzibar President, Hussein Ali Mwinyi, today, November 13, 2025, announced a new cabinet featuring new faces, structural changes, and a strong message of accountability and faster performance. In…
ARUSHA: A group of tourists from Canada visited the Arusha National Park and were captivated as they experienced the breathtaking wildlife, beautiful waterfalls in pristine nature. In their expression, the…
#HABARI: Jeshi la Polisi la Tanzania, limetangaza kumkamata Ambrose Leonce Dede kwa kwa tuhuma za kupanga na kuhamasisha uhalifu kupitia grupu la WhatsApp. Taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la…
“CHUMBA cha kulala wageni” means “guest bedroom” or “guest room” in English. Chumba = room Cha = of / belonging to Kulala = to sleep Wageni = guests So literally,…
Mkuu wa Tume ya Umoja wa Afrika ametupilia mbali madai kuwa kunafanyika mauaji ya halaiki kaskazini mwa Nigeria. Imechapishwa: 13/11/2025 – 12:25 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara…
Bunge la Tanzania limempitisha Mwigulu Lameck Nchemba mbunge wa jimbo la Iramba mkoani Singida, kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo mara baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwasilisha bungeni jina…
ZANZIBAR: THE President of Zanzibar, Dr. Hussein Mwinyi, has announced that he will leave four out of 20 ministries he recently created for the ACT Wazalendo party if the party…
Marekani kupitia waziri wake wa mambo ya nchi za nje Marco Rubio, imesema inamatumaini kwamba Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa litakamilisha azimio kuhusu Gaza.
Mawaziri wa sheria na nishati nchini Ukraine, German Galushchenko na Svitlana Hrynchuk, wamejiuzulu jana Jumatano kufuatia madai ya kuhusika kwao na sakata kubwa la ufisadi katika sekta ya nishati nchini…
Mawaziri wa nchi za nje wa mataifa saba yaliyoendelea kiviwanda duniani G7, wamekosoa vurugu za Sudan wakisema mapigano kati ya jeshi la taifa hilo na wanamgambo wa RSF, yamesababisha mgogoro…
đź”´HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 13, 2025
Ni matukio nadra katika familia pale mama na wanawe wanapokula njama na kupanga mauaji kama...
Kiongozi wa serikali ya mpito Bangladesh Muhammad Yunus, amesema nchi hiyo inaandaa kura ya maoni kuhusu utekelezaji wa makubaliano ya mwezi Julai ya kuwa na mageuzi ya kitaifa, yaliyoandaliwa baada…
Mbunge wa Jimbo la Babati Vijijini, Daniel Sillo amechaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kupata kura zote 371 zilizopigwa. ✍Juliana James…
NAIROBI: KENYAN President William Ruto has commended Tanzanian entrepreneurs for producing high-quality and innovative products. President Ruto made the statement during the 25th EAC MSMEs Trade Fair taking place at…
Waziri Mkuu Mteule wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba ameahidi kuhakikisha Watanzania wanasikilizwa kwa nidhamu katika ofisi za umma sambamba na kuwaonya watendaji wazembe kwenye ofisi hizi kuchukuliwa hatua kali za…
DAR ES SALAAM: TANZANIA has made great strides in the horticulture sector by producing over 8.4m tonnes in 2023/24 from 1.1m tonnes in 2003/04. The Permanent Secretary in the Prime…
DAR ES SALAM: THE government has officially launched a Horti Logistica Africa Council that will bring together stakeholders from the global horticulture industry across Africa to witness the production and…
DAR ES SALAAM: A comprehensive research study has laid bare a surprising if not ironic result: most Tanzanian girl-students who return to school after giving birth prefer informal education to…
Serikali ya Kenya imesema zaidi ya raia wake 200 wamejiunga na jeshi la Urusi katika vita vinayvoendelea kati ya Urusi na Ukraine, na kwamba mashirika ya ajira bado yanaendelea kutafuta…
DODOMA: THE Parliament of the United Republic of Tanzania has elected Daniel Baran Sillo, a Member of Parliament for Babati Rural Constituency, as the Deputy Speaker of the 13th Parliament.…
ais wa Israel, Isaac Herzog na baadhi ya maafisa wa ngazi ya juu wa kijeshi wamelaani mashambulizi ya Jumanne yaliyofanywa na Walowezi wa Kiyahudi dhidi ya Wapalestina katika Ukingo wa…
Misitu ya Gabon ni ya pili kwa ukubwa baada ya msitu wa Amazon ulioko Brazil.
Syria ilijiunga na kundi linaloongozwa na Marekani la mataifa yanayopambana dhidi ya kundi la "Dola ya Kiislamu”, hatua hii ya Syria ina umuhimu mkubwa zaidi katika kujipanga upya kwa wahusika…
#HABARI: Mbunge wa Babati Vijijini, Mhe. Daniel Baran Sillo amekula kiapo baada ya kuwa mshindi kwa kura 371 za wabunge waliomchagua bungeni. Tukio hilo limefanyika leo Novemba 13, 2025 Bungeni…
Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai ya kwamba Wakristo wengi wanauawa nchini Nigeria, na hivyo kutishia kuwashambulia kundi la kigaidi linalotekeleza mauaji hayo.
Mawaziri wa mambo ya kigeni wa kundi la nchi saba zilizoendelea kiviwanda duniani G7 wamejadiliana jinsi ya kuishinikiza Urusi katika vita vyake nchini Ukraine.
“…lazima chombo kifike salama na watu wake wakiwa salama, kwa watumishi wa Umma wavivu, wazembe wala rushwa na wenye lugha mbaya kwa Watanzania, tuwe tayari. Wavivu wote, wazembe wote ndani…
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi ameziacha wazi wizara nne kati 20 alizoziunda na kuteua...
Mashirika kote duniani yamewekeza hela nyingi kwenye teknolojia ya akili mnemba ila changamoto zimejitokeza. Gharama na faida ambayo havitabiriki, kupungua kwa watumiaji ni ishara kuwa mambo huenda yakabadilika.
đź”´HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, NOVEMBA 13, 2025
DODOMA: THE newly appointed Prime Minister of the United Republic of Tanzania, Dr. Mwigulu Nchemba, has pledged his government’s commitment to ensure every Tanzanian is listened to and respected in…
DODOMA: THE former Finance Minister and Iramba West MP, Dr. Mwigulu Nchemba, is the new Prime Minister of the United Republic of Tanzania. Mr Nchemba was approved by the Parliament…
#MEZAHURU: Kipi unashauri vilabu vyetu zilivyofanikiwa kushiriki mashindano ya CAF ili tubebe ushindi wa CAF safari hii..?
Katikati ya milima na mandhari tulivu ya Wilaya ya Babati Vijijini, Mkoa wa Manyara, mwaka...
Wakati Mkutano wa COP30 unapoanza nchini Brazil, jamii za vijijini nchini Ghana zinaongoza juhudi za chini kwa chini kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, kwa kutumia maarifa ya asili ili kulinda…
Kwa muda mrefu kumekuwa na dhana kwamba wasanii wengi wa muziki hawana elimu ya juu, na kwamba...
#HABARI: Mara baada ya kuthibitishwa kuwa Waziri Mkuu mteule leo Novemba 13, 2025, Dkt. Mwigulu Nchema amepewa nafasi ya kuzungumza bungeni kwa mara ya kwanza ambapo pamoja na mambo mengine,…