Rais wa Marekani, Donald Trump, anakutana leo na Marais wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa lengo la kufanikisha mpango wa amani kuhusu mgogoro unaoendelea Mashariki mwa DRC.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Rais wa Marekani, Donald Trump, anakutana leo na Marais wa Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwa lengo la kufanikisha mpango wa amani kuhusu mgogoro unaoendelea Mashariki mwa DRC.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi