Mshauri na Mwelekezi wa Stadi za Maisha, Rodrick Nabe amewashauri baadhi ya watu wanaoposti katika mitandao ya kijamii kuweka michakato wanaopitia kufikia mafanikio na si tu matokeo ili vijana wajifunze vizuri nyayo zao.
✍Juliana James
Mhariri | @claud_jm
#AzamTVUpdates #hellowikiendi