Mwaka mpya vitu vipya ndani ya AzamONE, MARVEL’s THE PUNISHER

Baada ya kulipiza kisasi kwa watu waliohusika na vifo vya mkewe na watoto wake, Frank Castle anaendeleza moto dhidi ya wahalifu wa New York.

Kwa sasa anajiita mtoa adhabu yaani ‘The Punisher.’ Je, atafika hadi wapi na kazi hii aliyojivika

Usikose kutazama series hii ya The Punisher, Ijumaa – Jumapili #AzamONE

#AzamONEUnloacked

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *