“Na baada ya masuala ya digital kushika kasi nikasema kizazi chetu. Ni kizazi ambacho kina namna yake ya kuambiwa na kufikishiwa elimu. Unapokuwa kijana kuna namna ya kuongea yaani mtu wa Buza, Kimara kuna lugha ukiongea hawatakusikiliza”- @mwl.magodajr, Mwalimu

#LiveonClouds360
#LainiYawana
#Clouds26Nyoosha

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *