Jumatano hii inapigwa fainali ya Kombe la Muungano.
Mabingwa watetezi Yanga SC dhidi ya Simba SC.
Mchezo huu utachezwa kuanzia saa 2:15 usiku na kuruka mubashara kupitia AzamSports1HD.
Sasa mapema lipia kifurushi cha kisimbuzi chako ili usipitwe na mtanange huu.
#Kariakooderby #MuunganoCup

(Feed generated with FetchRSS)