Baadhi ya wafugaji mkoani Njombe walioanza kutumia samadi ngo’mbe kuzalisha gesi asilia kwa ajili ya kupikia wamesema matumizi ya nishati hiyo yanapaswa kupigiwa chapuo zaidi kutokana na manufaa yanayoiletea jamii.��
Njombe Emmanuel Kalemba amezungumza nao.
Mhariri @moseskwindi
(Feed generated with FetchRSS)