Jumuiya ya Wadau wa Nishati Jadidifu (TAREA) imezindua mradi maalumu wa kuwasaidia wajasiriamali wanaofanya biashara ya nishati safi ya kupikia ili kuwaondolea vikwazo mbalimbali vinavyokwamisha shughuli zao.

Akizungumza na waandishi wa habari, Mwenyekiti wa TAREA, Prosper Magali amesema wajasiriamali hao wanakabiliwa na vikwazo vingi ikiwemo ukosefu wa mitaji, kufikia masoko na ugumu wa kurasimisha biashara zao.

Mhariri @moseskwindi

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *