Serikali ipo mbioni kujenga barabara kutoka Songea hadi Njombe, ambayo tayari imepata mkandarasi atakayezaanza ujenzi wa kilomita 100, ili kupunguza changamoto za ubovu wa miundombinu katika eneo hilo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
(Feed generated with FetchRSS)