Shughuli za usafiri katika barabara ya Mikumi kwenda Ifakara, mkoani Morogoro, zimesimama baada ya daraja la Kidoma-Mikumi kukatika kutokana na mvua zilizonyesha usiku wa kuamkia leo.

Kukosekana kwa mawasiliano ya barabara hiyo kumewalazimu baadhi ya abiria waliokwama kushindwa kuendelea na safari zao.

#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *