Timu ya taifa ya mchezo wa soka ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, imefuzu kwenye fainali ya kombe la dunia, kwa mara ya kwanza, baada ya miaka 52.
Imechapishwa:
Dakika 1 Wakati wa kusoma
Matangazo ya kibiashara
DRC iliifunga Jamaica bao 1 kwa sifuri, katika mechi muhimu ya kufuzu iliyochezwa kwenye uwanja wa Guadalajara nchini Mexico usiku wa kuamkia leo.
Kusambaza :