Katika ukuaji wa jamii yoyote duniani upendo ni nguzo muhimu ya kufanikisha maendeleo kwenye jamii.

Askofu mkuu wa KKKT, Alex Malasusa, ameliwekea hilo mkazo kwa kuisihi jamii kuwa na upendo baina ya mtu na mtu.

✍Ibrahimu Kilumbo
@richardngailla

Mhariri | @moseskwindi

#AzamTVUpdates

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *