Vita kati ya Marekani na Iran vinaendelea kuchukua sura mpya huku mapambano yakihamia kwenye kudhibiti Mlango wa Bahari wa Hormuz ambao ni njia muhimu ya biashara ya mafuta duniani.��

Pande zote mbili zimeshambuliana katika eneo hilo huku kauli za kibabe zikiendelea kutolewa kutoka kila upande.��

Mhariri @moseskwindi
##AzamTVUpdates

(Feed generated with FetchRSS)

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *