NBC Premier League Jumapili hii ni Mzizima Derby
Mnyama Simba SC atakuwa dimba la Benjamin Mkapa akiwakaribisha matajiri wa jiji AzamFC.
Mechi hii itachezwa kuanzia saa 11:00 jioni na kuruka mbashara kupitia AzamSports1HD.
Je, ni mnyama ama matajiri wa jiji nani kuondoka na tabasamu?
Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mchezo huu.
#MzizimaDerby #SimbaSC #AzamFC #NBCPL