LEO USIKU KWENYE PICHA YANGU

Baada ya mazonge mengi kutokea, Bisura amerudi kwa Mzee Maega…Watoto hawamjui mama yao. Mussa anapewa misheni ngumu anaonekana kuiwekea ugumu…Je, ni misheni gani na wapi? Usikose kutazama #PichaYanguSeries leo saa 1:30 usiku ndani ya #SinemaZetuHD

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *