Kundi la waasi la M23 jana Jumatatu limetangaza uamuzi wa kuondoa wanajeshi wake kutoka mji wa Uvira, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mji ambao lilidai kudhibiti wiki iliyopita.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi
Kundi la waasi la M23 jana Jumatatu limetangaza uamuzi wa kuondoa wanajeshi wake kutoka mji wa Uvira, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mji ambao lilidai kudhibiti wiki iliyopita.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi