“….wanaoathirika ni zaidi ya wanaowalenga….watu ambao wao wanaamini wanawachukia madhara yanayotukuta ni zaidi ya wanaowachukia….hakuna tunda linaloota bila mbegu, mbegu ya vurugu za tarehe 29 na vurugu walizotaka zifanyike tarehe tisa inatokana na hawa wanaharakati….”-Habibu Mchange – Mwenyekiti wa Kituo cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali za Taifa.
Powered by #MCHEZOSUPA
JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA:
–
Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M – Pesa, Halopesa, kwenda namba ya kampuni 222223 kumbukumbu namba ni 777 au weka neno ITV.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania
#Follow @itvtz @radioonetanzania
@capitaldigitaltanzania