Ubelgiji yajiunga katika kesi ya mauaji ya halaiki ya Afrika Kusini dhidi ya Israel

Ubelgiji imeungana na Afrika Kusini katika kesi iliyofikishwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), ambayo inaishutumu Israel kwa kufanya mauaji ya kimbari huko Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *