[ad_1]
Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umetangaza kuwa, hali ya watoto wa Kipalestina hususan katika Ukanda wa Gaza ni mbaya mno na kwamba, mtoto mmoja kati ya watano wa Kipalestina ana utapiamlo.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
UNICEF: Mtoto mmoja kati ya watano wa Kipalestina ana utapiamlo