[ad_1]
Shirika la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi (UNHCR) limetoa tahadhari kali kuhusu mafuriko makubwa yanayoendelea nchini Sudan Kusini, likisema kuwa tayari yameathiri watu wapatao 273,000 mwaka huu, na huenda yakawaathiri zaidi ya milioni moja katika miezi ijayo.
[ad_2]
BONYEZA HAPA KUSOMA HABARI KAMILI
Indhari ya UN: Mafuriko makubwa Sudan Kusini yaweza kuathiri zaidi ya watu milioni moja