DRC: Hukumu dhidi ya Joseph Kabila kutolewa Ijumaa
Nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hukumu hiyo inatarajiwa kutolewa siku ya Ijumaa, Septemba 12, katika kesi ambayo Joseph Kabila hajahudhuria. Akituhumiwa kushirikiana na kundi la waasi la M23 linaloungwa…