Ida Odinga amkemea Maurice Ogeta, asema hajamuona tangu kifo cha ghafla cha Raila
Balozi wa UNEP wa Kenya Ida Odinga Amlaumu Maurice Ogeta Wakati wa Sherehe ya Kuomboleza Nyumbani Kwao, Akiangazia Matukio ya Kihisia Baada ya Kifo cha Raila.
Balozi wa UNEP wa Kenya Ida Odinga Amlaumu Maurice Ogeta Wakati wa Sherehe ya Kuomboleza Nyumbani Kwao, Akiangazia Matukio ya Kihisia Baada ya Kifo cha Raila.
Mikel Arteta na mkewe Lorena Bernal wanaishi North London na watoto 3, wakiishi maisha ya kawaida licha ya shinikizo la soka. Gabriel tayari ni mchezaji wa Arsenal.
Rigathi Gachagua amevunja ushirikiano na mwanasiasa wa Magharibi mwa Kenya kwa tuhuma za ukabila, na kuibua maswali kuhusu mustakabali wa Cleophas Malala katika DCP.
Oliech alisema alipokuwa aking'aa kama nyota ya timu ya taifa ya kandanda ya Harambee Stars, alipokea ofa ya KSh 890M auze urais wake na kuingia Dubai 2004.
Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja ameunda upya Kamati ya Mipango Miji na kumteua afisa mpya pamoja na kusisitiza hatokingia mtu linapokuja suala la rushwa
Wajakazi Kenya sasa watapata mshahara usiopungua KSh 18,047, ikionyesha ongezeko la 12% ili kushughulikia kupanda kwa gharama za maisha chini ya kanuni mpya za kazi.
Magazeti yanaangazia mabadiliko ya kisiasa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2027, yakizingatia matarajio ya Edwin Sifuna, machafuko shuleni, na usalama wa usafiri.
Kombe la Dunia 2026 litaangazia makipa bora duniani, kama Alisson Becker na Thibaut Courtois, wakicheza nafasi muhimu katika matokeo ya mechi muhimu.
Ferdinand Omanyala alimaliza wa nane katika mbio za mita 100 za wanaume kwenye Ligi ya Diamond ya Roma, huku Noah Lyles akitwaa ushindi. Gundua zawadi atakazopata.
Familia huko Narok imezama katika maombolezo baada ya Victor Kibet kugunduliwa amefariki Mombasa. Mwili wake ulilala katika makafani kwa miezi tisa bila kubainika
Idara ya DCI ilithibitisha kukamatwa kwa mcheshi Eric Omondi katika uwanja wa JKIA kwa madai ya makosa yanayohusiana na maandamano ya mafuta......
Njoki Murira ni Tiktoker maarufu Kenya mwenye ushabiki mkubwa. Amenehemekewa sana kwa umbo mzuri, na mashabiki wengi wamempongeza kwa figa yake matata.
Ajali ya matatu Nairobi ilikatiza maisha ya watu sita. Uchunguzi unaonyesha uendeshaji hatari wa aina ya 'nyoka' na matumizi ya dawa za kulevya miongoni mwa madereva
Tangazo la serikali ya Marekani kwamba imekubaliana na serikali ya Ruto kuanzisha kituo cha karantini ya Ebola nchini Kenya lilizua hasira na ghadhabu.
Mama aliyejaa hofu anaomba ulinzi kwa mwanawe, William Ruto, anayedhulumiwa shuleni kwa sababu ya jina lake. Anahofia maisha yao kufuatia joto la kisiasa nchini.
DP wa zamani Rigathi Gachagua anadai kuwa karantini ya Ebola Laikipia ni tishio kwa jamii ya Mlima Kenya, jambo lililosababisha ukosoaji wa ubaguzi wa kikabila
Wanafunzi watano wa Utumishi Girls' waliokuwa wamejeruhiwa katika moto wa bweni wameachiliwa kutoka Hospitali (KNH), huku Wakenya wakiendelea kutoa msaada wa kihisia
Sheikh Mohammed Mamdouh Ali Abdelwahid na familia yake ya watu sita walifariki katika ajali ya barabarani, na kuacha jamii yao nzima ikiwa imezama katika majonzi.
Shule ya upili ya Mang'u yafungwa na kuwatuma wanafunzi nyumbani baada ya wasimamizi kuzuia jaribio la machafuko huku visa vya fujo vikichacha shuleni Kenya.
Watu watano walifariki katika ajali ya matatu ya Detat kwenye barabara ya Enterprise, Nairobi. Miongoni mwa waathiriwa ni mfanyakazi wa Huduma Center Charles Wahome
Kiongozi wa DCP Rigathi Gachagua analaani kituo kilichopendekezwa cha karantini ya Ebola huko Laikipia, akikiita tishio kwa jamii za Mlima Kenya.
Magazeti ya Kenya siku ya Ijumaa, Juni 6, yaliangazia maendeleo katika kesi ya urejeshaji utajiri inayomhusisha afisa mkuu wa kaunti ya Nairobi, Patrick Analo.
Harambee Stars ilitoka sare ya 1-1 na Lesotho katika mechi ya kirafiki ya kimataifa. Odhiambo alifunga bao kabla ya Makhele kusawazisha huko Afrika Kusini.
Waziri wa Afya Aden Duale alisema Kenya haitashirikisha umma kuhusu vituo vya karantini ya Ebola, na kusababisha upinzani mkali kutoka kwa wabunge Bungeni.
Rais William Ruto alitetea kuanzishwa kwa kituo cha Ebola nchini Kenya, akitoa mfano wa ushirikiano wa muda mrefu wa afya na serikali ya Marekani.
Mashabiki wamechanganyikiwa huku marufuku ya usafiri nchini Canada na Marekani kutokana na Ebola yakitishia mipango ya kuhudhuria Kombe la Dunia 2026.
Mtangazaji mkongwe wa redio Fred Machoka ameelezea jinsi madai ya MCA Robert Alai ya kashfa kuhusu afya yake yalivyoathiri jina lake, akitaka alipwe KSh 60 milioni.
Mzazi aliomboleza kufiwa na binti yake katika moto wa mauti Utumishi Girls' wiki chache baada ya kuibua wasiwasi kuhusu mvutano kati ya wanafunzi.
Dawa Sherpa, mkwea Mlima Everest aliyetoweka, alipatikana hai baada ya siku sita katika eneo hatari. Kuokoka kwake kwa muujiza kumewashangaza waokoaji na wakweaji.
Aliyekuwa naibu rais Rigathi Gachagua bado ana imani kuhusu uhalali katika kugombea Uchaguzi Mkuu wa 2027, na yuko tayari kutumia njia zote za kisheria kufanikiwa.
Oduor Ong'wen, mkurugenzi mtendaji wa ODM, alishiriki kuhusu hali yake ya afya baada ya upasuaji wa ubongo huku wafanyikazi wa Chungwa House wakimtembelea.
Katibu wa Wizara ya Elimu ya Msingi Julius Bitok amewasihi wakuu wa shule kutowalazimishaa wanafunzi mitihani ikiwa hawako tayari kuepiusha wimbi la machafuko.
Maafisa wa upelelezi kutoka EACC walivamia nyumba ya Afisa Mkuu wa Kaunti ya Nairobi, na kupata pesa taslimu KSh 65.3 milioni huku uchunguzi wa ufisadi ukiendelea.
Video iliyopepea inaonyesha muda mfupi kabla ya ajali ya matatu ya Komarock jijini Nairobi, ikiangazia wasiwasi wa dharura juu ya kuendesha gari bila uangalifu
Polisi walifika katika Shule ya Upili ya Alliance mnamo Alhamisi asubuhi na kuanza uchunguzi kubaini kiini cha jaribio la kuchoma taasisi hiyo na washukiwa wakuu.
Faith Koskei alifariki katika ajali ya barabarani akielekea Utumishi Girls Academy. Familia yake ilishiriki huzuni yao na kutaka haki itendeke kufuatia moto huo.
Shule ya Upili ya Alliance imewataka wazazi kuwachukua watoto wao baada ya moto kuzuka asubuhi na mapema katika stoo ya magodoro ya shule hiyo mnamo Alhamisi, Mei 4.
Familia ya Faith Koskei, ambaye alifariki kwa msiba katika ajali ya barabarani akikimbilia Utumishi Girls kufuatia mkasa wa moto, walishiriki machungu wanayopitia.
Preet alishiriki kwa furaha sherehe yake ya jadi ya mahari, ambayo ilifanyika bila mshirika wake wa Ubelgiji. Umbali haukuweza kuzima upendo na muungano wao.
Arsenal lazima iwauze wachezaji wanane, akiwemo Gabriel Jesus, ili kununua Morgan Rogers na Julian Alvarez hii ni katika kujiandaa kusaka ubingwa ulaya.
Malebo anashiriki maelezo kuhusu maisha yake ya familia, akifunua ndoa yake na dada ya Mchungaji Munishi, watoto wao kumi, na tafakari kuhusu maamuzi ya maisha.
Mbunge wa Makadara George Aladwa alifichua kwamba amelazwa hospitalini kwa siku kadhaa. Katibu mkuu wa ODM Catherine Omanyo alimtembelea na kumfariji.
Ajali iliyohusisha Nganya kwenye Barabara ya Enterprise jijini Nairobi inadaiwa kusababisha vifo. Mashahidi wamelaumu udereva ovyo kwa ajali hiyo.
Jacky Vike, almaarufu Awinja, anasherehekea bathidei ya mwanawe Mosi kwa sifa za dhati. Ameonyesha mambo machache kumhusu na wasiwasi kuhusu faragha yake.
Ajali mbaya ya barabarani ilichukua maisha ya walimu wawili kutoka Shule ya Sekondari ya Kirindine Day, Lian Mugendi na Eric Muchangi, na kuacha jamii inayoomboleza.
Ajali mbaya ya barabarani ilichukua maisha ya walimu wawili kutoka Shule ya Sekondari ya Kirindine Day, Lian Mugendi na Eric Muchangi, na kuacha jamii inayoomboleza.
Wasiwasi kuhusu usalama katika shule Kenya unaongezeka, nao mvutano unaongezeka huku viongozi wa upinzani wakikinzana kuhusu uteuzi wa mgombea urais wa 2027.
Mwanawe Diana Marua, Morgan, amefunguka kuhusu ghasia zilizotokea Lenana School baada ya wanafunzi kugoma na kuharibu mali na kumshambulia mwalimu mkuu.
Waziri wa Afya Aden Duale amefichua Kaunti 12 Kenya zilizo katika hatari kubwa ya kuvamiwa na Ebola, akisisitiza hatua za maandalizi na vituo vya kujitenga.
Muungano wa Upinzani sasa umekubali kumtetea mgombea mmoja katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou utakaofanyika mnamo Julai 16. Kalonzo Musyoka alisema.