Miradi ya gesi Mtwara yalikosha kamati ya Baraza la Wawakilishi
DODOMA: Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya Uchumi na Uwekezaji Zanzibar imeeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya gesi asilia mkoani Mtwara. Hayo yameelezwa Aprili 16, 2026 wakati wa ziara…
Ronnie, Mkewe Terry Wafurahia Fungate Tokyo baada ya Harusi ya Kifahari Iliyohudhuriwa na Rais Ruto
Ronnie Kip na mkewe Terry wanasherehekea fungate yao Tokyo katika hoteli kubwa ya Four Seasons, kufuatia harusi iliyohudhuriwa na Rais Ruto.......
Watoto wanne wafariki dunia Bukoba kwa kuangukiwa na ukuta
Watoto wanne wa familia mbili tofauti wamefariki dunia baada ya kuangukiwa na ukuta wa hoteli...
Wachimbaji wadogo Shinyanga wasitisha uzalishaji kisa tozo za halmashauri
Wachimbaji wadogo wa madini katika migodi midogo iliyopo Kata ya Mwakitolyo, Halmashauri ya...
Basi latumbukia mtoni Morogoro, 13 wajeruhiwa
Kufuatia ajali hiyo, dereva wa basi hilo anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa ajili ya mahojiano...
Serikali yatumia Sh65 bilioni kuimarisha uhifadhi wa misitu
Serikali kupitia Mfuko wa Misitu Tanzania (TaFF) imetoa ruzuku ya zaidi ya Sh65 bilioni katika...
Ajira 45,000 zaja Utumishi na Utawala Bora ikiomba Sh1.6 trilioni
Huduma kwa wastaafu 10 na wajane 11 Kamati yaomba masharti ya ajira kuregezwa
Dk Mwigulu awaonya makandarasi wasiowalipa kwa wakati watoa huduma wao
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amekemea tabia ya baadhi ya wakandarasi wanaolipwa fedha na...
AFCON 2027: Dk Ashatu Kijaji kukutana na waongoza watalii Arusha
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Mhe. Dk Ashatu Kijaji, anatarajiwa kufanya ziara ya kikazi jijini Arusha mnamo Aprili 18, 2026, ambapo atazungumza na mamia ya waongoza watalii (Tour Guides) wanaoshiriki…
JAB yatoa neno kwa wanahabari
Katika zama za utitiri wa taarifa zisizorasmi zinazosambaa kwa kasi kupitia ukuaji wa...
Beki Mtibwa Sugar akataa unyonge
MECHI sita mfululizo ilizocheza Mtibwa Sugar bila kuonja ushindi, imewaamsha nyota wa timu hiyo na kutangaza mkakati mpya wa kumaliza michezo 12 ya Ligi Kuu Bara iliyobaki.
Dk Mwigulu: Hatukerwi na wanaotushambulia mitandaoni
Waziri Mkuu Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali itamshikisha adabu yeyote atakayesababisha kero...
Meru: Baba Akutwa Amefariki Baada ya Kuwapa Wanawe Wake 2 Maziwa Mtindi Yenye Sumu
Msiba wa kuhuzunisha umetokea huko Meru huku David Mwenda, baba na watoto wake wawili wachanga kupatikana wakiwa wamekufa. Uchunguzi unaonyesha hali ya kutamausha.
Sifa nne za kipekee uwanja wa AFCON 2027 Arusha
MAMBO manne yanaupa uwanja wa AFCON 2027 unaojengwa Arusha utofauti na viwanja vingine vinavyotumika kwa mechi za soka na michezo mingine hapa nchini.
Burundi: Kifo cha Waziri wa mwasiliano na habari chaibua maswali
Maelezo ya Serikali ya Burundi, kuhusu mazingira ya kifo cha aliyekuwa Waziri wa mawasiliano na Habari, Gabby Bugaga, yameibua maswali zaidi baada ya mwili wake kukutwa kwenye gari, tukio ambalo…
Benki ya Dunia yaridhishwa na miradi ya Boost Mbozi, Tunduma
Benki ya Dunia (WB) imeridhishwa na utekelezaji wa miradi ya kuboresha elimu kupitia Mpango wa...
Kamati ya uchumi Zanzibar yaridhishwa na miradi ya gesi Mtwara kuchochea ajira
Wajumbe wa Kamati ya Uchumi na Uwekezaji ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar imeridhishwa na...
Iran yafungua Mlango wa Hormuz, yasema…
Makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Iran na Marekani yanatarajiwa kumalizika Aprili 22...
Wachimbaji madini Geita wahimizwa kuwekeza kwenye amana, hati fungani
Wachimbaji dhahabu mkoani Geita wameshauriwa kuwa na matumizi sahihi ya fedha kwa kufanya...
Tanzania enhances its public service systems through large-scale recruitment
DODOMA: TANZANIA has significantly strengthened its public service delivery systems through large-scale recruitment, payroll reforms, and improved human resource management aimed at boosting efficiency across government institutions. Presenting the budget…
Tanzania integrates 252 govt systems into a unified network as reforms to service delivery
DODOMA: TANZANIA is advancing major reforms in public service delivery through increased investment in Information and Communication Technology (ICT), with a good number of government systems now integrated to improve…
Tanzanian MP calls for increased youth participation in policymaking, peacebuilding
ISTANBUL, Türkiye: Tanzanian Member of Parliament, Fatma Rembo, has called for increased participation of young people in policymaking, peacebuilding, and development, stressing that youth should be key actors rather than…
Edwin Kaunga: Maneno Mazito Aliyosema Mkewe Afisa wa KDF Kabla ya Kudaiwa Kuuawa
Msiba uliikumba familia ya Anita Mugweru, mama anayedaiwa kuuawa na mumewe. Taarifa za walioshuhudia zinaonyesha mzozo mkali wa kinyumbani uliopelekea kifo chake.
Tanzania rolls out urgent measures to streamline visa applications to China
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government has rolled out urgent measures to streamline visa applications to China, following mounting challenges faced by Tanzanian applicants. The Ministry of Foreign Affairs and…
Mahakama ya Rufani yathibitisha hukumu ya kifo kwa aliyemuua mkewe
Mahakama ya Rufani imethibitisha hukumu ya kunyongwa hadi kufa aliyokuwa amehukumiwa Paulo...
Kamati yataka maboresho mfumo wa ajira
DODOMA: Serikali imeshauriwa kuboresha mfumo wa ajira nchini kwa kuruhusu waombaji wenye sifa na vyeti vya ngazi mbalimbali kushiriki katika usaili wa nafasi za kazi zinazotangazwa pindi zinapojitokeza, bila kuwekewa…
Hormuz kufunguliwa katika kipindi chote cha usitishaji wa vita
Waziri wa mambo ya nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa mlango Bahari wa Hormuz, njia kuu ya biashara ya dunia, utabakia wazi mradi tu usitishaji wa mapigano kwenye eneo…
Tanzania enhances professional boxing regulations to safeguard boxers’ interests
DAR ES SALAAM: THE Tanzanian government has reaffirmed its commitment to strengthening the regulation of professional boxing in the country, as part of efforts to safeguard boxers’ interests and ensure…
Vita ya Chobwedo, Kibabage haijaisha, kukutana tena FA
DROO ya Robo fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB inazikutanisha Simba na TRA United ikiwa ni mara ya tatu msimu huu kukutana katika mashindano makubwa mawili, ikiwamo Ligi Kuu…
Stanbic yajikita kuimarisha huduma za malezi Zanzibar
Katika hatua ya kuunga mkono mpango huo, Benki ya Stanbic Tanzania imetangaza kutoa Sh500...
Mipango yasukwa kuimaliza rushwa
DODOMA: Serikali imepanga kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuimarisha mapambano dhidi ya rushwa katika mwaka wa fedha 2026/27, ikiwemo kufanya utafiti wa kitaifa wa hali ya utawala na rushwa nchini (National…
SMZ: Mawakili wa Serikali wanahitaji uelewa wa mikataba ya mikopo mikubwa
Wakati kukiwa na ongezeko la mahitaji za kugharamia miradi ya kimkakati, imeelezwa kuwa...
Chifu kimenyi wa IV ameelezea kwa kile ambacho kimekuwa kikiongelewa na baadhi ya watu kutoka sehem tofauti tofauti
Chifu kimenyi wa IV ameelezea kwa kile ambacho kimekuwa kikiongelewa na baadhi ya watu kutoka sehem tofauti tofauti cc @makabilatvshow #kigoma #makabila #tanzania🇹🇿 #waha (Feed generated with FetchRSS)
TFS, TRC plant 1,000 trees in their Greening Railway Corridor campaign
DODOMA: THE Tanzania Forestry Services Agency (TFS) Central Zone, in collaboration with the Tanzania Railways Corporation (TRC), has begun the implementation of the “Greening Railway Corridor” program by planting 1,000…
Tunachokijua kuhusu kusitishwa kwa mapigano kati ya Israel na Lebanon
Kusitishwa kwa mapigano kwa siku 10 kati ya nchi hizo mbili sasa kumeanza kutekelezwa, huku Hezbollah inayoungwa mkono na Iran ikionesha uungaji mkono, wakati mazungumzo yakiendelea kati ya Marekani na…
Mechi za mkondo wa pili nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kupigwa Jumamosi hii
Mechi za mkondo wa pili nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika kupigwa Jumamosi hii. Saa 10:00 jioni, Mamelodi Sundowns watakuwa nyumbani wakiwakaribisha Esperance De Tunis. Katika mechi ya kwan za…
Baba alivyoua mke mkubwa, mtoto kwa kuwanyonga
Ni ukatili, wivu au tatizo la afya ya akili? Ni swali ambalo unaweza kujiuliza pale mauaji ya...
Tanzania improves its Nutrition Regulations to suit WHO guidelines
DODOMA: THE Ministry of Health, in collaboration with various nutrition stakeholders, has reviewed the 2013 Nutrition Regulations to improve them to align with the new guidelines of the World Health…
Matumizi ya nishati safi ya kupikia nchini yafikia asilimia 23.4
Hata hivyo, tayari Serikali imeweka mkakati wa kitaifa kuhakikisha hadi kufikia mwaka 2034...
Wananchi 150,000 wanufaika kituo cha kupoza umeme
GEITA: ZAIDI ya wananchi 150,000 katika Mkoa wa Geita wanapata huduma ya umeme, ikiwa ni ongezeko kubwa kutoka wateja takribani 1,500 wa awali, hatua inayotokana na uboreshaji wa miundombinu ya…
Tanzania renews efforts to maintain the natural cleanliness of Mount Kilimanjaro
MOSHI: EFFORTS to restore and maintain the natural cleanliness of Mount Kilimanjaro has gained a renewed momentum in Moshi, where government officials, conservation authorities, and tourism stakeholders met to address…
Prisca Lyimo afunguka aliyokutana nayo kwa mkwe wa Jux
Mwanamitindo na muigizaji wa Tanzania, Prisca Lyimo amesema hakutarajia kupokelewa kwa upendo...
Tanzania commands global diplomatic engagement at the 5th ADF forum
ANTALYA: TANZANIA has taken its place at the forefront of global diplomatic engagement as it participates in the fifth edition of the Antalya Diplomacy Forum (ADF2026), a major international gathering…
Tanzania, Qatar agree to broaden ties in the communications sector
DAR ES SALAAM: TANZANIA, and Qatar have moved to broaden their cooperation in the communications sector. This was reached in a discussion between the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) Director…
Africa50 tables strong readiness to invest in Tanzania’s strategic development projects
WASHINGTON: A leading infrastructure investment institution, Africa50, has expressed strong readiness to invest in Tanzania’s strategic development projects, signalling growing international confidence in the country’s long-term economic vision. The institution…
Mtwara readies for Tanzania’s landmark LNG project with Norway’s Equinor
MTWARA: MTWARA Port has stepped up preparations for Tanzania’s landmark liquefied natural gas (LNG) project after hosting a delegation from Norway’s Equinor, in a visit aimed at assessing the port’s…