Kamanda wa polisi Nairobi apiga marufuku maandamano yaliyopangwa kuhusu mafuta, asema ni haramu
Kamanda wa Polisi wa Nairobi Issa Mohamud ametangaza maandamano kuhusu bei ya mafuta yaliyopangwa kuwa haramu, akionya hatua za haraka dhidi ya watakaohusika.
Chizenga ataka amani ya nchi itunzwe
KATIKA kipindi ambacho Tanzania inapitia changamoto za kijamii na kisiasa zinazoambatana na tofauti za mitazamo na fikra, viongozi wa dini wameendelea kusisitiza umuhimu wa kulinda amani, mshikamano na utulivu wa…
Magazeti ya Kenya: Meli ya ODM yayumba huku walichokuwa wakila na Ruto mezani kikigeuka kuwa shubiri
Mvutano ODM huku kikiashiria uwezekano wa kujiondoa katika serikali ya UDA, mizozo ya kisiasa, utata katika idara ya polisi, vyuo vikuu ndizo habari kuu leo.
Diamond, Mr Flavour si kinyonge hata kidogo!
Mwanamuziki wa Bongofleva, Diamond Platnumz (36), pamoja na mkali wa Afrobeats kutokea...
Govt unveils 45,000 job plan
DODOMA: THE government plans to open up 45,000 new public service jobs in the 2026/2027 fiscal year, in a move aimed at addressing staffing gaps while improving efficiency and accountability…
Wananchi walia na mikopo umiza, BOT yaendeleza elimu
Amesisitiza kuwa ni muhimu kukopa kwa ajili ya shughuli zinazozalisha kipato ili kuwezesha...
Kusitishwa mapigano Iran, Lebanon kutakavyosukuma mazungumzo ya Marekani na Iran
Wakati kuna kusitishwa kwa mapigano mapigano katika eneo la Mashariki ya Kati, swali kubwa linaibuka: je, mazingira sasa yameiva kwa mafanikio ya kihistoria katika diplomasia
Oscar Sudi akerwa na wenzake UDA wanaoingilia masuala ya ODM: “Mwache kimbelembele”
Mbunge wa Kapseret Oscar Sudi amewakemea wenzake katika UDA kwa kuingilia masuala ya ODM, akihimiza umoja huku kukiwa na mvutano wa kisiasa katika muungano mpana.
Trump asema ana “habari njema” kuhusu Iran, licha ya hatma ya makubaliano ya amani kuwa gizani
Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuna “habari njema” kuhusu Iran, akionyesha matumaini juu ya mazungumzo ya amani ya kumaliza vita, ikiwa zimesalia siku nne kabla ya wiki mbili za…
Kipa wa zamani wa Arsenal afariki katika ajali ya treni jijini Salzburg, Austria
Kipa wa zamani wa Arsenal na Austria Alex Manninger, 48, alifariki kufuatia ajali ya treni karibu na Salzburg, na kusababisha rambirambi tele kutoka kote duniani.
Anita Mugweru: Influenza amlilia mwenzake waliyesoma naye aliyeuawa na mume mwanajeshi wa KDF
Anita Mugweru, 29, aliuawa kwa kusikitisha na mumewe huko Nakuru. Familia yake yadai haki huku marafiki wakikumbuka roho yake changamfu na msiba wake wa kuhuzunisha.
Ufaransa na washirika wake waweka msingi wa misheni ya baadaye ya kulinda Hormuz
Wakati Iran ilipotangaza kufunguliwa tena kwa Mlango-Bahari wa Hormuz, zaidi ya nchi arobaini zimekutana siku ya Ijumaa, Aprili 17, kujadili mustakabali wa ukanda huu wa baharini, ambao vizuizi vyake vina…
🔴WATOTO WETU -APRILI 18, 2026
🔴WATOTO WETU -APRILI 18, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
Maandalizi, harusi ya Taylor Swift yapamba moto
Mwimbaji wa Marekani, Taylor Swift (36), anatarajiwa kuvaa gauni la harusi ambalo mtindo wake...
Mfanyabiashara wa Kasarani afunga biashara mwaka mmoja baada ya kuwekeza KSh 1m: “Ilikuwa ngumu”
Mfanyabiashara eneo la Kasarani Kevin, 24, amefunga hoteli yake baada ya mwaka mmoja kutokana na mazingira magumu ya biashara akionyesha taabu ya kukosa ajiri Kenya.
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, ameitaka Bohari ya Dawa (MSD) Kanda ya Tabora, kuongeza kasi ya usambazaji w…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro, ameitaka Bohari ya Dawa (MSD) Kanda ya Tabora, kuongeza kasi ya usambazaji wa dawa kwa wakati hasa katika maeneo ya Vijijini…
Mashariki ya Kati: Hali ikoje sasa baada ya wiki saba za vita
Wiki saba zilizopita, Marekani na Israel zilitekeleza mashambulizi dhidi ya Iran. Vita hivi vilienea haraka katika eneo lote. Lakini katika saa chache tu siku ya Ijumaa Aprili 17, hali katika…
Donald Trump: Kizuizi cha Marekani ‘kitaendelea’ ikiwa hakuna makubaliano yatakayofikiwa
Rais wa Marekani Donald Trump amesema siku ya Ijumaa jioni kwamba kizuizi cha kijeshi kitaendelea kwenye bandari za Iran ikiwa hakuna makubaliano ya amani yatakayofikiwa na Tehran. Imechapishwa: 18/04/2026 –…
Mabalozi watakiwa kutangaza fursa za kibiashara
DAR ES SALAAM: Wizara ya Viwanda na Biashara imejipanga kuimarisha ushirikiano na uhusiano wa kibiashara na mabalozi wa Tanzania nje ya nchi ili kuhakikisha vikwazo vya kibiashara kimataifa vinaondolewa kwa…
Miaka 13 tangu Bi Kidude afariki dunia
Ni wazi kuwa Fatma Binti Baraka ‘Bi Kidude’ ni utambulisho wa muziki wa Zanzibar. Nyimbo zake...
Tetesi za Soka Ulaya: Liverpool, Man Utd ‘zatoana roho’ kwa Wharton
Liverpool wanatarajiwa kushindana na Manchester United kuwania saini ya kiungo wa Crystal Palace, Adam Wharton. Wakati huo huo, Tottenham Hotspur wamefikia makubaliano ya kumsajili Marcos Senesi, na Newcastle United wako…
Mlango bahari wa Hormuz umefunguliwa kulingana na waziri wa mambo ya nje wa Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi ametangaza Ijumaa alasiri kufunguliwa tena kwa Mlango-Bahari wa Hormuz kwa meli za kibiashara. Uamuzi huu, uliokaribishwa na Donald Trump, pia umesababisha…
Kinshasa na AFC/M23 wapiga hatua katika mazungumzo Uswisi, lakini makubaliano bado hayajafikiwa
Baada ya siku tano za mazungumzo huko Montreux, Uswisi, duru ya tisa ya mazungumzo kati ya Kinshasa na AFC/M23 imekamilika. Ingawa taarifa ya mwisho inataja maendeleo, hakuna makubaliano yaliyofikiwa kuhusu…
Karibu mateka 200 wa ADF waachiliwa baada ya shambulio la jeshi Mambasa
Karibu watu 200 waliotekwa nyara na waasi wa ADF wameachiliwa huru katika siku mbili zilizopita katika eneo la Mambasa mkoani wa Ituri, kutokana na operesheni za kijeshi zinazoendelea kufanywa na…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Aprili 18, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
Wavuvi watakiwa kukata leseni kupata mikopo ya Serikali
Wavuvi wanaovua maeneo ya Sudi ,Shuka na Mmongomongo wametakiwa kukata leseni ya uvuvi ili...
Madaktari bingwa bobezi wawasili nchini kutoa huduma, yumo wa tiba za asili
Hospitali ya Benjamin Mkapa imepokea madaktari bingwa bobezi watano kutoka China ili kuboresha...
Bugando yafanikiwa kwa mara ya kwanza kupandikiza figo
Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando imefanikiwa kwa mara ya kwanza kupandikiza figo tangu...
Ugonjwa uliokatisha uhai wa Kocha Bilo hadharani
Imetajwa kuwa Kifo cha aliyekuwa kocha wa Bilo Queens Athuman Bilali ‘Bilo’ kimesababishwa na...
Mbunge wa Tunduru, Ado Shaibu, ameibua hoja bungeni akiitaka Serikali kutoa majibu ya kina kuhusu watu wanaodaiwa kupotea au kut…
Mbunge wa Tunduru, Ado Shaibu, ameibua hoja bungeni akiitaka Serikali kutoa majibu ya kina kuhusu watu wanaodaiwa kupotea au kutekwa katika nyakati tofauti nchini. Akichangia mjadala huo, Shaibu ametaja baadhi…
“Fremu hizi haziwapangishi wana CCM peke yao ni wananchi wote wa vyama vyote,CUF wanaruhusiwa,ACT wanaruhusiwa ,CHAUMA wanaruhus…
"Fremu hizi haziwapangishi wana CCM peke yao ni wananchi wote wa vyama vyote,CUF wanaruhusiwa,ACT wanaruhusiwa ,CHAUMA wanaruhusiwa CHADEMA wanaruhusiwa na CCM na wananchi wasio na vyama wanaruhusiwa ,CCM hakuna ubaguzi…
Nakuru: Mjakazi wa Afisa wa KDF Adai Majirani Hawakusaidia Wakati Akudaiwa Kumuua Mkewe
Tukio linaonyesha mapambano ya yaya aliyeingilia kati wakati wa ugomvi wa kutisha, na kuzua mijadala juu ya mwitikio wa jamii na msaada kwa wafanyikazi wa nyumbani
Nakuru: Mjakazi wa Afisa wa KDF Ada Majirani Hawakusaidia Wakati Akudaiwa Kumuua Mkewe
Tukio linaonyesha mapambano ya yaya aliyeingilia kati wakati wa ugomvi wa kutisha, na kuzua mijadala juu ya mwitikio wa jamii na msaada kwa wafanyikazi wa nyumbani
Amana wakabidhiwa kituo cha kutoa huduma kwa Vijana kilichoboreshwaa kwa Sh38 milioni
Shirika la Baba Watoto kupitia mradi wake wa Ahadi, umekabidhi kituo kwa ajili ya kutolea...
Watanzania waaswa kuepuka siasa za chuki, waelekezwa kuhimiza maendeleo
Watanzania wametakiwa kuepuka matumizi mabaya ya siasa yanayochochea chuki, vurugu na...
Chaumma yaweka imani kwa tume ya Jaji Chande
Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimeeleza kuwa kina imani na tume ya uchunguzi...
Equity Bank opens financial services at EACLC for the logistics sector
DAR ES SALAAM: EQUITY Bank has officially launched a new branch in Ubungo, Dar es Salaam, located within the East African Commercial and Logistics Center (EACLC), as part of its…
Sh bilioni 15 zanufaisha wakulima kila mwaka
DAR E SALAAM: ZAIDI ya Sh bilioni 15 zinatolewa kila mwaka kwa ajili ya kuwasaidia wakulima zaidi ya 600 nchi nzima. Lengo ni kuendeleza kilimo cha mazao yanayohitajika kwa ajili…
Anita Mugweru: Picha 5 Tamu za Mwanamke wa Nakuru Anayedaiwa Kuuawa na Mumewe wa KDF
Gundua maelezo ya kuhuzunisha ya maneno ya mwisho ya mkewe afisa wa Edwin Kaunga kutoka kwa rafiki wa karibu kuhusu ndoa yao yenye matatizo...........
Bilionea Laizer aipatia shule ya Makiba mashine ya kudurufu
Mchimbaji maafuru wa madini ya Tanzanite Saniniu Laizer ameipatia Shule ya Sekondari Makiba ya...
Upasuaji Aga Khan ulivyorudisha tabasamu kwa Watanzania 16 wenye majeraha
Upasuaji wa bure wa urekebishaji wa viungo uliofanywa kwa watu 16 waliokuwa na ulemavu pamoja...
Utalii kupaa, Tanzania ikijipanga kuwa mwenyeji Mkutano IPU
Wakati Mkutano wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) ukiendelea nchini Uturuki, banda la maonesho...
Sekta binafsi yaibeba Tanzania mapinduzi ya kidijitali
Mchango wa sekta binafsi katika uwekezaji wa miundombinu ya mawasiliano umeendelea kuwa nguzo...
Wawili wafariki kwa ajali Moshi, watatu wajeruhiwa
Watu wawili wamefariki dunia papo hapo na wengine watatu kujeruhiwa mkoani Kilimanjaro kutokana...
Wanawake wanne mbaroni na kilo 129 za mirungi Kilimanjaro
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro linawashikilia wanawake wanne kwa tuhuma za kusafirisha...
Mbunge Ado akutana na magumu bungeni, azua hoja ya utekaji na Takukuru
Hii ni mara ya pili kwa mbunge huyo kukumbana na hali hiyo, baada ya tukio kama hilo kujitokeza...
Equity yafungua tawi Ubungo kuwakutanisha wafanyabiashara
DAR ES SALAAM: Benki ya Equity imezindua tawi jipya katika eneo la Ubungo, jijini Dar es Salaam, ndani ya jengo la Kituo Kikubwa cha Biashara na Usafirishaji Afrika Mashariki (EACLC),…
Mtwara gas projects thrill Zanzibar House committee
MTWARA: The Zanzibar House of Representatives Committee on Economy and Investment has expressed satisfaction with the implementation of natural gas projects in Mtwara Region. The Commitee’s members made the remarks…
Miradi ya gesi Mtwara yalikosha kamati ya Baraza la Wawakilishi
DODOMA: Kamati ya Baraza la Wawakilishi ya Uchumi na Uwekezaji Zanzibar imeeleza kuridhishwa na utekelezaji wa miradi ya gesi asilia mkoani Mtwara. Hayo yameelezwa Aprili 16, 2026 wakati wa ziara…