Shahidi adai picha ya Rais, nembo ya Brela zilimshawishi awekeze kampuni ya Vanilla
Mkondya na Rweyemamu wakabiliwa na mashtaka 126 yakiwemo ya kuendesha biashara ya upatu...
Kocha Pamba afungua ‘code’ ya Simba
WAKATI Pamba Jiji ikijipanga kuipokea Simba SC, kocha wa kikosi hicho, Francis Baraza amesema kazi kubwa waliyonayo ni kuwashika wekundu hao pabaya.
Mwanamume aliyeiacha familia miaka 26 iliyopita awaomba kumkubalia arudi: “Nataka kufia nyumbani”
Maulid, aliyeiacha familia yake miaka 26 iliyopita, anaomba msamaha na upatanisho anapopambana na TB. Kwa sasa ana ombi la dhati, majuto na masomo ya maisha.
JKT Tanzania yakomaa na mambo manne
KATIKA kipindi hiki kirefu ambacho JKT Tanzania haina mechi ya mashindano, kocha mkuu wa kikosi hicho, Ahmad Ally ameweka wazi mpango wao kuhakikisha hawatoki kwenye mstari.
Nyota Coastal Union kimeeleweka
STRAIKA wa Coastal Union, Abdulkarim Segeja, amesema licha ya kuanza vibaya msimu huu, lakini kwa sasa timu imeonesha mabadiliko na mechi zilizobaki mkakati wao ni kutopoteza pointi.
#HABARI: Serikali imetoa pongezi na zawadi kwa wakaguzi na Askari waliopo chini ya Vyombo vya Usalama, vilivyopo chini ya Wizara…
#HABARI: Serikali imetoa pongezi na zawadi kwa wakaguzi na Askari waliopo chini ya Vyombo vya Usalama, vilivyopo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi ambao walijitoa na kufanya…
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Segerea, Mhe
#HABARI: Mbunge wa Jimbo la Segerea, Mhe. Agnesta Kaiza, ameahidi kufikisha bungeni changamoto ya upungufu wa mabweni inayoikabili Shule ya Msingi ya Viziwi Buguruni jijini Dar es Salaam. Akizungumza shuleni…
Asukile atoa matumaini mapya Prisons
PAMOJA na kukiri kuwa na matokeo yasiyoridhisha, Nahodha wa zamani wa Tanzania Prisons, Benjamin Asukile amesema bado ni mapema kuikatia tamaa timu hiyo, huku akiwatwisha zigo wakongwe na mastaa wa…
Danish Onyango: Gladys Wanga amteua naibu gavana mpya, awasilisha jina bungeni kuidhinishwa
Gladys Wanga amteua Otieno Onyango wa Kideni kama naibu gavana mpya wa Homa Bay, kufuatia kujiuzulu kwa Oyugi Magwanga, ikisubiri idhini ya Bunge la Kaunti.
Serikali yasisitiza mamlaka ya Rais uteuzi wa Tume ya Uchunguzi Matukio ya Uvunjifu wa Amani-3
Katika mapitio ya uamuzi wa shauri la kupinga Tume ya Rais ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa...
Wabunge wa Somalia waapishwa kujiunga na Eala
Hatimaye wabunge tisa kutoka Somalia wameapishwa rasmi kujiunga na Bunge la Afrika Mashariki...
Watoto kupewa chanjo ya polio Shinyanga
SHINYANGA: WATOTO wenye umri wa kuanzia miaka 0 hadi 10 mkoani Shinyanga wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya Polio ili kuwazuia kupata virusi vya ugonjwa huo nakuweza kuwaepusha na ulemavu wa kudumu…
Meru: Mama ya watoto 9 alia kwa uchungu baada ya mume polisi kudaiwa kuuawa na majambazi
Selena Kimathi aliomboleza kifo cha kusikitisha cha mumewe katika shambulio la majambazi, na kumwacha na watoto tisa huko Tigania, kaunti ya Meru.
Ndejembi: Serikali inapambana kuondoa vikwazo matumizi ya nishati safi ya kupikia
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema Serikali inaendelea kushughulikia changamoto za...
#HABARI: Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe
#HABARI: Jaji wa Mahakama ya Rufani Tanzania, Mhe. Barke Sehel, amesema kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kuimarisha upatikanaji wa haki kwa wanawake na wasichana ili kufanikisha usawa wa kijinsia.…
Dar City yaahidi makubwa BAL
DAR City ikiwa katika maandalizi kwa ajili ya Ligi ya Kikapu Africa (BAL) 2026, meneja wa timu hiyo, Simon Joe amesema wanajipanga kufanya makubwa katika mashindano hayo wakilenga kutoa ushindani…
Serikali yatoa Sh bil 4 ujenzi wa wodi binafsi Muhimbili
DAR ES SALAAM: SERIKALI imetoa kiasi cha Sh bilioni 4 kuendeleza ujenzi wa jengo la gharofa nne la wodi ya binafsi inayogharimu kiasi cha Sh bilioni 21 Hospitali ya Taifa…
Tasac yatoa tahadhari baada ya jahazi kuzama
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (Tasac) limewakumbusha wananchi wanaotumia usafiri wa...
Wanasheria wajitosa kupambania haki za urithi kwa wanawake
Umoja wa Wanasheria wa Pan-Africa (Palu) umeanza hatua za kutetea haki za urithi za wanawake wa...
Serikali yatoa mwelekeo kwa kampuni zake zenye hisa chache
Kampuni ambazo Serikali ina umiliki wa hisa chache zimetakiwa kujiendesha kwa ufanisi wa...
William Ruto amjibu Gachagua, asema imemlazimu kupunguza uzito ili kuwahudumia Wakenya
Rais William Ruto amewakashifu wapinzani ambao wamekuwa wakimdhihaki, na kudai amepunguza uzito. Alikiri, akisema alifanya hivyo ili kuwahudumia Wakenya.
Mtihani wa makipa wazawa
KIPA wa Mashujaa FC, Patrick Munthali ndiye aliyekuwa kinara wa clean sheet akifikisha 12 kwa wazawa msimu uliopita Ligi Kuu Bara, ambapo amezungumzia ugumu wa kuifikia rekodi hiyo.
Bosco Bitanda: mfanyabiashara maarufu nchini Uganda afariki pamoja na watoto wake 2 katika ajali
Mfanyabiashara Bosco Senyonjo na watoto wake wawili wamefariki katika ajali ya barabarani asubuhi, na kumwacha mmoja akijeruhiwa huku polisi wakichunguza chanzo.
Tanzania issues eight directives in efforts to attain the 1 tri US dollars target
ARUSHA: THE Tanzanian government has issued eight strategic directives aimed at improving the performance of companies in which it holds minority shares, as part of efforts to achieve a high…
#HABARI: Mkoa wa Mbeya umekumbwa na hofu baada ya kurejea kwa mtindo wa kinyama wa uporaji kwa kutumia nondo na nyundo, ambapo w…
#HABARI: Mkoa wa Mbeya umekumbwa na hofu baada ya kurejea kwa mtindo wa kinyama wa uporaji kwa kutumia nondo na nyundo, ambapo watu sita wamepoteza maisha katika matukio tofauti. Kati…
Wafanyabiashara Mkuti watinga Mahakama Kuu kupinga ujenzi wa soko bila fidia
Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Mkuti lililopo Halmashauri ya Mji wa Masasi, wamefungua shauri...
Serikali yajifunga kitanzi maji ya uhakiki mradi wa Same–Mwanga–Korogwe
Serikali kupitia Wizara ya Maji imesema itaendelea kuhakikisha wananchi wanaozungukwa na mradi...
Kutupa laini hakufuti deni, wananchi waonywa athari za kifedha
Wimbi la baadhi ya wananchi kukopa fedha kupitia laini za simu zilizosajiliwa kwa kutumia...
Watoto 1,688 kurejeshwa shuleni
Halmashauri za Wilaya za Ileje na Mbozi mkoani Songwe, zimezindua mpango maalumu wa kuwarejesha...
#HABARI: Wizara ya Katiba na Sheria imezindua rasmi huduma ya “Sema na Waziri” Machi 17, 2026, inayolenga kuwasaidia wananchi ku…
#HABARI: Wizara ya Katiba na Sheria imezindua rasmi huduma ya “Sema na Waziri” Machi 17, 2026, inayolenga kuwasaidia wananchi kuwasilisha changamoto zao za kisheria kwa njia ya simu bila malipo.…
#HABARI: Serikali ya Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera inawasaka watuhumiwa sita, wakiwemo wenyeviti wa vitongoji watatu, kwa tuhum…
#HABARI: Serikali ya Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera inawasaka watuhumiwa sita, wakiwemo wenyeviti wa vitongoji watatu, kwa tuhuma za kuvamia na kuharibu msitu wa Buyanja uliopo Kijiji cha Businde. Mkuu…
Viongozi ACT Wazalendo wadaiwa kukamatwa na Polisi Kagera
Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake ya ACT Wazalendo, Janeth Rithe inadaiwa amekamatwa na Jeshi la...
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MANYARA, MACHI 17, 2026
🔴HAPA NA PALE KUTOKA MANYARA, MACHI 17, 2026
Israel yadai kuwaua vigogo wengine wa Iran, Mojtaba asema…
Taarifa kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu wa Israel imesema Benjamin Netanyahu ameamuru kuondolewa...
Kamati ya Bunge yaonya uhaba wa wataalamu wa afya, vituo vya umahiri
Wakati Tanzania ikiendelea kujikita katika kuimarisha umahiri wa sekta ya afya, Kamati ya...
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amesema Serikali iko tayari kutoa eneo kwa ajili ya ujenzi wa kituo maalum cha taa…
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amesema Serikali iko tayari kutoa eneo kwa ajili ya ujenzi wa kituo maalum cha taarifa za maendeleo kitakachoanzishwa na Taasisi ya Vyombo…
Shughuli ya kuwatafuta watu watatu waliozama majini yaendelea
Utafutaji wa watu watatu waliopotea kufuatia kuzama kwa jahazi katika Bahari ya Hindi, eneo la...
Watano jela kwa ugaidi, AK-47 tatu, risasi zakabidhiwa Polisi
Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imewahukumu kifungo cha miaka 20...
Watoto 800,000 kuchanjwa Shinyanga, tahadhari dhidi ya polio
Zaidi ya watoto 781,186 wenye umri wa miaka sifuri hadi 10, wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya...
Vijana 3,967 waomba fedha kuendeleza biashara zao
Benki ya CRDB imepokea maombi 3,967 kutoka kwa vijana wajasiriamali nchini kupitia mradi wake...
Nchimbi: Magufuli ameacha darasa la uongozi
Amesema ikiwa Watanzania watayashika na kuyaendeleza mambo makubwa aliyoyafanya Magufuli...
“Mgeni mualikwa unapoalikwa kwenye sherehe inapendeza utafute kiti cha nyuma kuketi, halafu baadae mhusika atakunyanyua na kukup…
"Mgeni mualikwa unapoalikwa kwenye sherehe inapendeza utafute kiti cha nyuma kuketi, halafu baadae mhusika atakunyanyua na kukupeleka siti ya mbele," Sylivia Simkoko - Naibu Katibu Saa. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI…
Call for NIT to enhance innovation, promotional strategies to heighten its status
DAR ES SALAAM: THE National Institute of Transport (NIT) has been urged to enhance innovation and strengthen its promotional strategies in order to attract more students, including those from abroad,…
Bandari ya Maruhubi yafanyiwa majaribio ya kushusha, kupakia
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Zanzibar, Dk Khalid Salum Mohamed amezindua majaribio ya ushushaji...
Mradi Mzizima Tower wafikia asilimia 91
DAR ES SALAAM: MRADI wa ujenzi wa jengo la kitega uchumi la Mzizima Towers unaotekelezwa na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umefikia asilimia 91 ya utekelezaji na…
Ushirikiano wa UNDP, TIB kuibua uchumi jumuishi na endelevu
Maeneo ya kipaumbele yatakayolengwa ni pamoja na nishati jadidifu, maendeleo ya biashara ndogo...
Tanzania opens its 159th STEM centre in Dodoma
DODOMA: STEMpower has announced the successful installation of its 159th Science, Technology, Engineering, and Mathematics (STEM) center at the Tanzania Community Networks Polytechnic College (TCNPC) in Dodoma. This milestone marks…
Kamati yatoa maelekezo miradi iliyokwama
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Ustawi na Maendeleo ya Jamii, imeitaka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu kuunga mkono kwa kutoa fedha ili kukamilisha miradi…
“Unapoalikwa mahala lazima uwe na nidhamu, mtu mwingine anaalikwa pahala anakuwa yeye kama ndio mwenyeji jambo hilo halipendezi,…
"Unapoalikwa mahala lazima uwe na nidhamu, mtu mwingine anaalikwa pahala anakuwa yeye kama ndio mwenyeji jambo hilo halipendezi, unapoalikwa kwenye sherehe ukaenda mikono mitupu haipendezi" Adel Kyarwazi - Mchambuzi Masuala…
The former head of security, Kapilimba, eulogizes John Magufuli
CHATO: Retired Director General of the National Security Department, Dr Modestus Kipilimba, has described the late President Dr John Pombe Magufuli as a tireless leader who worked day and night,…