Pablo Escobar hadi “El Mencho”: Je, enzi ya viongozi wa magenge ya dawa za kulevya imekwisha
Kwa miongo kadhaa, Amerika Kusini imeshuhudia mapambano kati ya mamlaka za ndani na viongozi wa magenge ya biashara ya dawa za kulevya, viongozi wa magenge ambao wamejulikana kwa majina na…
Fahamu mfumo wa utawala wa Iran
Kiongozi wa kidini ndiye kamanda mkuu wa vikosi vya ulinzi vya Iran na anadhibiti vyombo vyote vya usalama.
Tetesi za soka Ulaya Jumatano: Man United wana nia ya kuwasajili wachezaji Morgan Gibbs-White na Elliot Anderson
Manchester United na Manchester City wanavutiwa na wachezaji wawili wa Nottingham Forest Morgan Gibbs-White na Elliot Anderson, wakati Felix Nmecha wa Borussia Dortmund, Yan Diomande wa RB Leipzig na Andrea…
Mohajerani: Iran inafadhilisha diplomasia badala ya vita
Msemaji wa serikali ya Iran amesema, Jamhuri ya Kiislamu inafadhilisha diplomasia kuliko vita, lakini inaviona viwili hivyo kama mikakati ya kulinda maslahi ya taifa la Iran.
Ripoti: Israel iliwamiminia risasi, kuwaua wafanyakazi wa misaada Tel al Sultan, Gaza
Karibu risasi elfu moja zilifyatuliwa na wanajeshi wa Israel katika mauaji ya kiholela dhidi ya wafanyakazi wa misaada huko Tel al-Sultan, Gaza, huku baadhi yao wakiuawa kwa kupigwa risasi kwa…
Msemaji wa M23 auawa katika shambulio la droni mashariki mwa DRC
Msemaji wa waasi wa M23 ameripotiwa kuuawa katika shambulio la ndege isiyo na rubani mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Madagascar: Ushirikiano wetu na BRICS utatupa fursa mpya
Rais wa mpito wa Madagascar, Michael Randrianirina amesema kwamba, nchi hiyo inatazama ushirikiano na jumuya ya BRICS kama njia ya kuelekea kwenye fursa mpya za kiuchumi na ushirikiano wa kimataifa.
Jibu kali la Iran kwa hatua ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Katika kujibu hatua haramu ya Umoja wa Ulaya dhidi ya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeyataja majeshi…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 25, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 24, 2026
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: FEBRUARI 24, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 24, 2026
🔴MCHEZO SUPA: BADILISHA FEBRUARI YAKO KWA BUKU TU..FEBRUARI 24, 2026 (Feed generated with FetchRSS)
#HABARI: Viongozi wa Muungano wa Upinzani nchini Kenya, wamelaani kukithiri kwa ghasia zinazochochewa na siasa, kufuatia kutatiz…
#HABARI: Viongozi wa Muungano wa Upinzani nchini Kenya, wamelaani kukithiri kwa ghasia zinazochochewa na siasa, kufuatia kutatizwa kwa mikutano yao ya kisiasa katika Mji wa Kisii siku ya Jumatatu ambapo…
Northlands City: Video adimu ya mradi mkubwa wa familia ya Kenyatta wa nyumba za kifahari
Northland City ni mradi mkubwa eneo la Ruiru, unaomilikiwa na familia ya Kenyatta na unagharimu KSh bilioni 500. Mradi huo kwa kweli ni wa kupigiwa mfano.
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amepiga marufuku wanafunzi kwenda shuleni wakiwa na vidumu vya maji
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba amepiga marufuku wanafunzi kwenda shuleni wakiwa na vidumu vya maji. Dkt. Mwigulu amepiga marufuku hiyo wakati akizindua rasmi mfumo wa uunganishaji wa huduma za maji kwa…
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Zainabu Katimba amesema Tanzania imeendelea kupiga hatua kubwa katika ukuaji wa matumizi ya te…
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Zainabu Katimba amesema Tanzania imeendelea kupiga hatua kubwa katika ukuaji wa matumizi ya teknolojia na kushauri kuwa inaweza kutumika kurahisisha upatikanaji wa haki kwa…
Wananchi wa kijiji cha Fela wilayani Misungwi mkoani Mwanza wanaoishi kwenye maeneo yanayopitiwa na mradi wa ujenzi wa reli ya k…
Wananchi wa kijiji cha Fela wilayani Misungwi mkoani Mwanza wanaoishi kwenye maeneo yanayopitiwa na mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa kipande cha tano, Mwanza–Isaka, wameiomba serikali kuzingatia ujenzi wa…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amesema kuwa uwekezaji wa zaidi ya shilingi bilioni 700 uliofanywa na Kilombero Sugar Company Limited una mchango mkubwa…
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) imevunja Bodi ya Wadhamini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania kufuatia tuh…
Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) imevunja Bodi ya Wadhamini wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania kufuatia tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka na ubadhirifu wa mali za kanisa…
Jamii imehimizwa kuachana na imani potofu zinazowanyima watoto wenye mahitaji maalum fursa ya elimu, huku ikisisitizwa kuwa kila…
Jamii imehimizwa kuachana na imani potofu zinazowanyima watoto wenye mahitaji maalum fursa ya elimu, huku ikisisitizwa kuwa kila mtoto ana uwezo wa kujifunza endapo atapatiwa msaada unaostahili. Mkuu wa Mkoa…
Makueni: Afisa wa polisi afyatuka kama umeme baada ya kunaswa akilima bangi kituoni
Afisa wa polisi Ramadhan Mwiti Nassir alifyatuka baada ya kukamatwa akikuza bangi katika Kituo cha Polisi cha Ngoni huko Makueni. Uchunguzi unaendelea.
Mdau wa michezo, shabiki na mwanachama wa Young Africans Sports Club (Yanga) kutoka Geita, Hussein Makubi maarufu Mwananyanzala,…
Mdau wa michezo, shabiki na mwanachama wa Young Africans Sports Club (Yanga) kutoka Geita, Hussein Makubi maarufu Mwananyanzala, ameahidi kutoa zawadi ya shilingi milioni moja kwa timu itakayoshinda dabi ya…
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU – 24/02/2026
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU - 24/02/2026 (Feed generated with FetchRSS)
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 24 – 2026 – MVUA YASABABISHA MADARAJA MATATU KUKATIKA MASWA
🔴TAARIFA YA HABARI USIKU FEBRUARI 24 - 2026 - MVUA YASABABISHA MADARAJA MATATU KUKATIKA MASWA (Feed generated with FetchRSS)
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani Simiyu, zimeleta adha kwa Wananchi wa Wilaya ya Maswa, baada ya madaraja makubwa matatu…
Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha Mkoani Simiyu, zimeleta adha kwa Wananchi wa Wilaya ya Maswa, baada ya madaraja makubwa matatu yanayounganisha Kata za Ipililo, Senani na Nguliguli kusombwa na Maji, huku…
Tume ya Ushindani (FCC), imeingia rasmi katika matumizi ya Mfumo wa Serikali wa Ukaguzi wa Bidhaa kwa Pamoja (TANOGA) ili kupam…
Tume ya Ushindani (FCC), imeingia rasmi katika matumizi ya Mfumo wa Serikali wa Ukaguzi wa Bidhaa kwa Pamoja (TANOGA) ili kupambana na uingizwaji wa bidhaa bandia. Akizungumza katika mkutano wa…
Tanzania yateuliwa mwenyeji ununuzi wa pamoja wa dawa SADC
Serikali ya Tanzania imeteuliwa kuwa mwenyeji wa Mpango wa Ununuzi wa Pamoja wa Dawa na...
Waangalizi kutoka MONUSCO wamewasili Uvira DRC
Waangalizi kutoka kwenye Kikosi cha wanajeshi wa kulinda amani wa Umoja wa Mataifa, wamewasili mjini Uvira, tayari kuanza kazi ya kuthathmini utekelezwaji wa usitishwaji wa vita kati ya jeshi la…
Senegal: Sonko awasilisha bungeni sheria mpya inayopinga ushoga
Nchini Senegal, Waziri Mkuu Ousmane Sonko amewasilisha bungeni sheria mpya, inayotoa adhabu kali kwa watu wanaojihusisha na vitendo na mapenzi ya jinsia moja katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi. Imechapishwa:…
AZAM FC vs MTIBWA SUGAR: “…tunataka tushinde mechi zote za nyumba”
AZAM FC vs MTIBWA SUGAR: “…tunataka tushinde mechi zote za nyumba” Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge anasema wajipanga kuwa bora zaidi ya wapinzani wao Mtibwa Sugar ili kukaa kwenye…
AZAM FC vs MTIBWA SUGAR: “…tumefanya vikao”
AZAM FC vs MTIBWA SUGAR: “…tumefanya vikao” Kocha wa Mtibwa Sugar, Yusuph Chipo amesema anaamini wachezaji wake watazingatia marekebisho aliyofanya na makubaliano ya vikao walivyokaa kuelekea mchezo wao dhidi ya…
Uganda: Wanawake wawili wakamatwa kwa kosa la kubusiana hadharani
Mamlaka nchini Uganda zimeendelea kuwashikilia wanawake wawili waliokamatwa kwa kosa la kubusiana hadharani. Imechapishwa: 24/02/2026 – 17:13 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara Soma yanayofuata Wendy faith na…
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa Ahadi hiyo leo Februari 24, 2026, wakati akiz…
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa Ahadi hiyo leo Februari 24, 2026, wakati akizindua jengo la Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa…
Ngong: CCTV Yawamulika Wanawake Wakiiba Ndani ya Duka la Jumla
Wanawake watatu katika Mji wa Ngong walinaswa kwenye CCTV wakiiba mafuta ya kupikia kutoka kwa Duka la jumla la Optidrops katika wizi ulioonekana kupangwa kiujanja.
Askofu Malasusa: Huduma za kibenki zifikie makundi yaliyosahaulika
Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kirutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa amesema mafanikio ya...
Edwin Sifuna afichua manifesto ya Linda Mwananchi maandalizi ya kura ya 2027
Seneta wa Nairobi Edwin Sifuna Afichua Ilani za ODM Linda Mwananchi kabla ya kura za maoni za 2027. Alilinganisha maendeleo na maadili ya kikatiba.
Tanga Port gains status as a preferred handler of heavy cargo shipments
TANGA; THE Port of Tanga has continued to position itself as a preferred gateway for traders and logistics stakeholders after successfully receiving two marine vessels, MV BBC WASHINGTON and MV…
#CRDBBankFederationCup Hatua ya 16 bora;
#CRDBBankFederationCup Hatua ya 16 bora; Yanga SC/Polisi Tanzania vs TZ Prisons/TMA Stars Simba SC/B19 FC vs Dodoma Jiji/African Sports Azam FC/Mbeya Kwanza vs Fountain Gate/Gunners FC Singida BS/Songea United vs…
Tanzania yasajili rasmi dawa mpya kudhibiti VVU
Serikali ya Tanzania imesajili rasmi dawa ya Lenacapavir kwa ajili ya kudhibiti na kuzuia...
#CRDBBankFederationCup Hatua ya 32 bora;
#CRDBBankFederationCup Hatua ya 32 bora; Yanga SC vs Polisi Tanzania Simba SC vs B19 FC Azam FC vs Mbeya Kwanza Singida BS vs Songea United Geita Gold vs Nyika FC…
Edwin Sifuna ajibu ripoti kwamba atagombea urais katika uchaguzi mkuu wa 2027
Edwin Sifuna alizungumzia madai ya kutaka kugombea urais 2027, akisisitiza kuwepo kwa upinzani wenye nguvu na wagombea wengi wanaoweza kuupinga utawala wa Ruto.
DRC: Msemaji wa AFC/M23 Willy Ngoma ameuawa katika Mji wa Rubaya
Willy Ngoma, ameuawa mapema leo Jumanne Februari 24 katika Mji wa Rubaya eneo la Masisi Kivu Kaskazini, afisa kutoka kwenye kundi la waasi wa M23 ameithibitishia RFI. Imechapishwa: 24/02/2026 –…
Jaji Tchikaya achaguliwa rais Mahakama ya Haki Afrika
Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) imemchagua Jaji Blaise Tchikaya wa...
Dk Mwigulu aonya watumishi kupangisha vizimba wafanyabiashara
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, ametoa onyo kwa baadhi ya watumishi wa umma wanaojihusisha na...
Tume ya Kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani yaliyojiri wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa October 29, 2026, imekutana na al…
Tume ya Kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani yaliyojiri wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa October 29, 2026, imekutana na aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole…
Dr Samia sees peace, security as spearheads of Tanzania’s economic growth
DODOMA: TANZANIAN President, Dr Samia Suluhu Hassan, has hailed the pace of the nation’s economic growth, saying it reflects the strength of peace, security, and stability in the country. Speaking…
MSHIKEMSHIKE: Kuelekea dabi ya Kariakoo Yanga SC VS Simba SC Machi 1, Je ni mchezaji gani atakaeng’ara katika mchezo huo?
MSHIKEMSHIKE: Kuelekea dabi ya Kariakoo Yanga SC VS Simba SC Machi 1, Je ni mchezaji gani atakaeng’ara katika mchezo huo? Tuandikie maoni yako hapa na sisi tutayasoma kwenye kipindi cha…
Radi yaua wawili Morogoro
Mvua zinazoendelea kunyesha zimeacha majonzi baada ya watu wawili kupoteza maisha na wengine...
Radi yaua wawili Morogoro
Mvua zinazoendelea kunyesha zimeacha majonzi baada ya watu wawili kupoteza maisha na wengine...