🔴#MAGAZETI: UKOSEFU WA TAKWIMU SAHIHI WAUA WATOTO KIMYA KIMYA, DESEMBA 20, 2025
🔴#MAGAZETI: UKOSEFU WA TAKWIMU SAHIHI WAUA WATOTO KIMYA KIMYA, DESEMBA 20, 2025.
Wayemen waandamana kupinga kuvunjiwa heshima Qur’an Marekani
Makumi ya maelfu ya wananchi wa Yemen walimiminika katika barabara na mitaa ya Sa’ada jana Ijumaa kushiriki maandamano ya kulaani kitendo cha kunajisiwa Qur'ani Tukufu nchini Marekani, sanjari na kupaza…
Mashambulizi ya RSF yaua raia 16 eneo la Kordofan, Sudan
Takriban watu 16 wameuawa katika shambulio la mizinga la waasi wa RSF lililolenga mji uliozingirwa katika eneo la Kordofan nchini Sudan, huku vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo vikiingia…
UAE, mnunuzi wa siri katika mkataba mkubwa wa silaha na Israel
Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umetambuliwa kama mnunuzi 'asiyejulikana' kwenye mkataba wa dola bilioni 2.3 uliosainiwa mwezi uliopita na kampuni za kuzalisha silaha ya Israel ya Elbit Systems, ripoti…
Jumamosi, 20 Disemba, 2025
Leo ni Jumamosi 29 Mfunguo Tisa Jamadithani 1447 Hijria mwafaka na 20 Disemba 2025 Miladia.
Kuipachika Venezuela lebo ya ugaidi; shutuma za kisiasa au kisingizio cha shambulio?
Katika hatua yake ya hivi karibuni dhidi ya serikali ya Rais wa Venezuela Nicolas Maduro, Rais wa Marekani Donald Trump ameitangaza serikali hiyo kuwa ni ya kigaidi na ameamuru kuzuiwa…
Diageo yauza hisa zote EABL kwa Asahi Group
Nairobi, Kenya: Kampuni ya East African Breweries PLC (EABL) imetangaza kuwa kampuni ya Diageo imekubali kuuza hisa zake zote za EABL na umiliki wake katika kampuni ya vinywaji vikali ya…
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 19 DESEMBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 19 DESEMBA 2025
Tanzania geology students complete internship at Rosatom Mining Division Enterprise
Kurgan, Russia: A production internship for students enrolled in the Mining and Industrial Geology programme at the Peoples’ Friendship University of Russia (RUDN University) has successfully concluded at JSC Dalur…
🔴MCHEZO SUPA:HII NDIO NGUVU YA BUKU..19 DESEMBA 2025
🔴MCHEZO SUPA:HII NDIO NGUVU YA BUKU..19 DESEMBA 2025
#KIPIMAJOTO: “Kwanza ninaweza nikazungumza na wazazi kwa upande wa kudhibiti turudi kwenye malezi hili suala huwa nalisema kila …
#KIPIMAJOTO: “Kwanza ninaweza nikazungumza na wazazi kwa upande wa kudhibiti turudi kwenye malezi hili suala huwa nalisema kila mara kwamba wazazi wenzangu turudi kwenye malezi tuache kulea online…………..” Pili Misana…
Hii ndio kazi anayoifanya Mafunda Faki, Mshindi wa Tuzo ya Zikomo
Hii ndio kazi anayoifanya Mafunda Faki, Mshindi wa Tuzo ya Zikomo. (@mafunda_faki) kwenye African Tourism Board. #SentroYaCloudstv #Clouds26Nyoosha #LainiYaWana
Dkt Winfred Mgaya
Dkt Winfred Mgaya. (@drwinfredmgaya), Daktari wa kinywa na meno akielezea madhara ya kubusiana kwa njia ya mdomo #SentroYaCloudstv #Clouds26Nyoosha #LainiYaWana
“Kila baada ya miezi Sita”- Dkt Winfred Mgaya
"Kila baada ya miezi Sita"- Dkt Winfred Mgaya. (@drwinfredmgaya) #SentroYaCloudstv #Clouds26Nyoosha #LainiYaWana
#KIPIMAJOTO: “…
#KIPIMAJOTO: “…. Pamoja na kutaifsha mali adhabu zingine zipo kwa mfano ukipatikana na kiasi kidogo ukapewa adhabu ya faini na kifungo cha miaka mitatu lakini adhabu ya kifungo ipo mpaka…
#HABARI: Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Hala, Wilaya ya Babati mkoani Manyara, Gabriel Noel (45), amefariki dunia baada ya k…
#HABARI: Mwanaume mmoja mkazi wa Kijiji cha Hala, Wilaya ya Babati mkoani Manyara, Gabriel Noel (45), amefariki dunia baada ya kudaiwa kushambuliwa kwa kitu kizito na rafiki yake, Adam Keto,…
#KIPIMAJOTO: “Dawa za kulevya zipo za aina nyingi kwa mfano hapa nchini kuna dawa za kulevya za mashambani kwa maana ya bangi na…
#KIPIMAJOTO: “Dawa za kulevya zipo za aina nyingi kwa mfano hapa nchini kuna dawa za kulevya za mashambani kwa maana ya bangi na mirungi, dawa za kulevya zingine hazipatikani hapa…
“Watu wengi wanatumia dawa za meno ambazo sio sahihi
"Watu wengi wanatumia dawa za meno ambazo sio sahihi. Hiyo inachangia kushusha afya yao ya kinywa kwa watu wengi. Lakini pia ni jinsi gani ya kusafisha kinywa na kutunza vinywa…
Wakazi wa kata za Kiwanja cha Ndege na Miyuji jijini Dodoma wameeleza kuchoshwa na ahadi za mara kwa mara za ujenzi wa kivuko ch…
Wakazi wa kata za Kiwanja cha Ndege na Miyuji jijini Dodoma wameeleza kuchoshwa na ahadi za mara kwa mara za ujenzi wa kivuko cha watembea kwa miguu kinachounganisha mitaa yao…
Mjumbe wa UN anasema usalama bado ni tete Tripoli, magharibi mwa Libya
Hanna Tetteh ametoa wito 'kwa wadau wote kufanya kazi pamoja kwa lengo la kutekeleza masuala ya usalama, mabadiliko muhimu ili kupata uthabiti'
Matumizi ya pesa mtandao maarufu zaidi kwa jina la ‘Pesa kwenye simu’ limeendelea kuwa mhimili mkubwa wa ukuaji wa uchumi wa mtu…
Matumizi ya pesa mtandao maarufu zaidi kwa jina la 'Pesa kwenye simu' limeendelea kuwa mhimili mkubwa wa ukuaji wa uchumi wa mtu mmoja mmoja na mataifa kwa ujumla. Aurelia Gabriel…
🔴KIPIMAJOTO: KUTAIFISHA MALI ZA WANAOKUTWA NA HATIA YA KUJIHUSISHA NA DAWA ZA KULEVYA
🔴KIPIMAJOTO: KUTAIFISHA MALI ZA WANAOKUTWA NA HATIA YA KUJIHUSISHA NA DAWA ZA KULEVYA. JE, NI SULUHISHO LA KUKOMESHA BIASHARA HIYO HARAMU?
Marekani imetangaa kuanzisha shirika jipya la kutoa misaada ya huduma za afya duniani la ‘America First Global Health Services’ …
Marekani imetangaa kuanzisha shirika jipya la kutoa misaada ya huduma za afya duniani la 'America First Global Health Services' likitajwa kuwa mbadala wa USAID lakini AFGHS likiweka sharti la Marekani…
‘Elimu ya historia itolewe kwa ubunifu, teknolojia’
Chama cha Wanahistoria Tanzania (HAT) kimetakiwa kusambaza elimu, utafiti na ubunifu wa...
Steve Barker kocha mpya Simba SC
KLABU ya Simba, leo Ijumaa, Desemba 19, 2025 imemtangaza Steve Barker kutoka Afrika Kusini kuwa Kocha Mkuu mpya.
Kampuni ya Tanzania kununua mitambo ya Siemens kwa Sh320 bilioni
Kampuni ya Raddy Energy Solution Limited ya Tanzania imeingia mkataba wa kununua mitambo minne...
WHO inasema mashambulizi kwa sekta ya afya Sudan yanaendelea kuwa hatari, na kuenea kila mahali
Shirika la afya la Umoja wa Mataifa linaripoti kuwa vifo zaidi ya 1,800 kutokana na mashambulizi kwa sekta ya afya tangu 2023
Mzee Kikala amerudi kwenye jela yake mwenyewe 🥹
Mzee Kikala amerudi kwenye jela yake mwenyewe 🥹 #KombolelaSeries #KombolelaSeason2
#HABARI: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo hadi Desemba 30, 2025, ba…
#HABARI: Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya kuporomoka kwa jengo la ghorofa Kariakoo hadi Desemba 30, 2025, baada ya upande wa Jamhuri kushindwa kusoma maelezo ya mashahidi na…
Balozi wa Palestina anayeiwakilisha nchi yake Tanzania Salim Siam amehimiza wanahabari wa Tanzania kuonesha mshikamano na Palest…
Balozi wa Palestina anayeiwakilisha nchi yake Tanzania Salim Siam amehimiza wanahabari wa Tanzania kuonesha mshikamano na Palestina, ili kupaza sauti ya pamoja kukemea mateso wanayofanyiwa raia wa Palestina na majeshi…
Ufilisi wa biashara Ujerumani wapanda kwa miaka 11
Kesi za kufilisika kwa biashara Ujerumani zimefikia kiwango cha juu katika miaka 11. Biashara ndogo zimeathirika zaidi kutokana na ukuaji dhaifu wa uchumi, wachumi wakionya kuhusu hatari ya kupotea kwa…
Said ametulia kisha akili zake zikajiuliza maswali muhimu 😅
Said ametulia kisha akili zake zikajiuliza maswali muhimu 😅 #NomaSeries
Waziri Wa Uchukuzi Prof Makame Mbarawa Amesema Serikali Itaendelea Kukiwezesha Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji NIT Ili Kusaidia …
Waziri Wa Uchukuzi Prof Makame Mbarawa Amesema Serikali Itaendelea Kukiwezesha Chuo Cha Taifa Cha Usafirishaji NIT Ili Kusaidia Katika kafanya tafiti na Kuzalisha Wataalamu Wenye Weledi Watakaotatua Changamoto Mbalimbali Zinazoikabili…
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU – 19/12/2025
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA USIKU - 19/12/2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA DESEMBA 19, 2025 -WAKULIMA WATAKIWA KUTUMIA VIZURI MVUA ZINAZONYESHA
🔴TAARIFA YA HABARI YA DESEMBA 19, 2025 -WAKULIMA WATAKIWA KUTUMIA VIZURI MVUA ZINAZONYESHA
Droni iliyotengenezwa Urusi yaanguka kaskazini magharibi mwa Uturuki: wizara
Tukio hilo linajiri baada ya Uturuki kuidungua ndege isiyokuwa na rubani siku ya Jumatatu ambayo "ilipoteza muelekeo" wakati ikikaribia anga yake kutoka Bahari Nyeusi.
MWAKA 2021, Rais Dkt
MWAKA 2021, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alipoingia madarakani aliahidi kutatua kero ya maji inayowakabili Watanzania kwa miongo kadhaa. Akiwa anatimiza miaka miwili na nusu ya uongozi wake, ahadi hiyo…
#HABARI: Wilaya ya Kaliua, mkoani Tabora, imetenga ekari elfu kumi na sita za mradi wa kilimo na ufugaji wa kisasa, kwa ajili ya…
#HABARI: Wilaya ya Kaliua, mkoani Tabora, imetenga ekari elfu kumi na sita za mradi wa kilimo na ufugaji wa kisasa, kwa ajili ya vijana na wanawake mia mbili na hamsini…
• Wapo wawili waliojishindia gari, wawili walioshinda simu ya kisasa aina ya iPhone 17 Promax na wawili waliopata ufadhili wa ku…
• Wapo wawili waliojishindia gari, wawili walioshinda simu ya kisasa aina ya iPhone 17 Promax na wawili waliopata ufadhili wa kulipiwa ada ya chuo kikuu. Dar es Salaam. Tarehe 18…
Sababu kesi ya kuporomoka jengo la Kariakoo yakwama mara ya nane
Kesi hiyo imeshindwa kuendelea kutokana na Jamhuri kubaini baadhi ya nyaraka muhimu katika kesi...
Kilimo cha kuokoa maisha kilivyosaidia wengi
Tatizo la ukosefu wa damu miongoni mwa wanawake wajawazito katika wilaya za Bahi na Chamwino...
Wastaafu 50,000 kufikiwa na vitambulisho vya kielekroniki
Jumla ya wastaafu 50,000 wanaolipwa kupitia Hazina nchini kote wanatarajia kupatiwa...
Sudan: Watu zaidi ya 50,000 wakimbia mapigano Kordofan, Umoja wa Mataifa unasema
Shirika la Umoja wa Mataifa linasema raia wanakimbia wakiwa na hofu huku mapigano yakienea kote katika miji muhimu katika maeneo ya Kordofan ya Sudan
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma Filemon Makungu amesema Mkoa wa Kigoma upo salama mbali ya kuwa mkoa huo upo karibu na Mji wa U…
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma Filemon Makungu amesema Mkoa wa Kigoma upo salama mbali ya kuwa mkoa huo upo karibu na Mji wa Uvira Mashariki mwa Nchi ya Kidemkrasia…
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, amesema maendeleo ya ujenzi Katika Kampasi ya Mloganzila ya Chuo K…
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda, amesema maendeleo ya ujenzi Katika Kampasi ya Mloganzila ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) ni matokeo ya…