Mkazi wa Mbezi mwisho naviunga vyake Mabalozi wa AzamTV wanakukaribisha Magufuli Bus Stand upate huduma ya visimbuzi na nyingine…
Mkazi wa Mbezi mwisho naviunga vyake Mabalozi wa AzamTV wanakukaribisha Magufuli Bus Stand upate huduma ya visimbuzi na nyinginezo #AzamTVBurudaniKwaWote
Tanzania miongoni mwa nchi zilizopigwa marufuku kusafiri Tanzania
Tanzania ni miongoni mwa nchi za Afrika zilizoathiriwa na hatua mpya za serikali ya Marekani za kudhibiti uingiaji wa raia wa baadhi ya mataifa nchini humo.
NMB kuboresha huduma kwa makandarasi Zanzibar
Hatua hiyo inalenga kuwawezesha kuwa sehemu ya kuchangia uchumi wa Taifa na maendeleo ya haraka...
#MEZAHURU“….Wizara ya Maji ina jukumu la kutoa huduma ya maji kwa Watanzania waishio mijini na vijijini, lakini kwa eneo hili la…
#MEZAHURU“….Wizara ya Maji ina jukumu la kutoa huduma ya maji kwa Watanzania waishio mijini na vijijini, lakini kwa eneo hili la Dar es Salaam na eneo la Pwani, tumeipa ama…
Kiongozi wa Ansarullah: Waislamu wachukue hatua baada ya Qur’ani Tukufu kuvunjiwa heshima Marekani
Kiongozi wa harakati ya Muqawama ya Ansarullah nchini Yemen amelaani vikali kitendo cha hivi karibuni cha kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu kilichofanywa na mwanasiasa wa Marekani huku akiwataka Waislamu kote duniani…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran awaonya mahasimu kutorudia makosa ya zamani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema vitisho vipya vya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Iran ni sehemu kubwa ya vita vya kisaikolojia, akisisitiza kuwa majaribio ya…
Maduro wa Venezuela aisifu Iran kama mfano wa kupigania utawala wa sheria kimataifa
Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro, ameitaja Iran kuwa mfano bora duniani katika kutetea sheria za kimataifa, akishukuru Jamhuri ya Kiislamu kwa msimamo wake thabiti wa kuiunga mkono Caracas wakati ambapo…
Walimu 20 ni miongoni mwa watu 30 waliofariki baada ya boti kuzama DR Congo
Takribani watu 30, wengi wao wakiwa walimu, wamefariki huku kadhaa wakiripotiwa kupotea baada ya boti kuzama katika mto ulioko jimbo la Kwilu, magharibi mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo.
#HABARI: Kuelekea mchezo wa Derby ya mashabiki wa Simba SC na Yanga SC, Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bw
#HABARI: Kuelekea mchezo wa Derby ya mashabiki wa Simba SC na Yanga SC, Mkuu wa Wilaya ya Ilala Bw. Edward Mpogolo amewakabidhi pesa taslimu kiasi cha shilingi milioni tano, umoja…
Ruto atia mkono uwekezaji wa bilionea Mtanzania Kenya
Kampuni ya Kitanzania, Amsons Group, imesaini mkataba wa Dola250 milioni za Marekani (zaidi ya...
Kushtakiwa viongozi wa utawala wa Kizayuni; takwa la pamoja la mataifa ya Kiislamu
Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amelaani jinai zinazoendelea kufanywa na Israel huko Ghaza na mashambulizi yake dhidi ya Lebanon, na amezitaka nchi za ukanda huu na…
Raia 104 wameuawa katika mashambulizi ya droni Kordofan Sudan
Kwa uchache raia 104 wameuawa katika mashambulizi ya droni, ndege zisizo na rubani katika eneo la Kordofan nchini Sudan tangu Desemba 4 mwaka huu. Hayo yametangazwa na Kamishna Mkuu wa…
Rais Mwinyi: Taasisi za Elimu ya Juu ni msingi wa maendeleo ya taifa
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi, amesema Taasisi za Elimu ya Juu zina mchango mkubwa katika kukuza sekta ya elimu na kuandaa rasilimali…
Serikali yaiita sekta binafsi biashara ya kaboni
Serikali ya Tanzania imeitaka sekta binafsi kujitokeza kwa wingi kuwekeza na kushiriki katika...
Msuva, Samatta wainogesha Stars kambini
KAMBI ya timu ya taifa, Taifa Stars iliyopo Misri imeizidi kunoga baada ya kuwasili kwa mastaa wakubwa wa timu hiyo inayojiandaa kwa fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon)…
Maofisa habari serikalini wapewa jukumu maalumu
Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka amewataka maofisa habari wa Serikali, kujipanga...
“…na wale wanaotukana tukana wa yale mataifa wanaotukana mimi niwaambie tunasoma wanachokiandika, tunasoma wanachotukana na yule…
“…na wale wanaotukana tukana wa yale mataifa wanaotukana mimi niwaambie tunasoma wanachokiandika, tunasoma wanachotukana na yule aliyehamasisha maandamano amekiri kwa mdomo wake kwamba kuna taifa moja limetusaidia…”-Waziri Mkuu – Dkt.Mwigulu…
Tujilinde na athari ya ‘joto’ hili ni hatari kwa Zanzibar
Miezi miwili inakaribia kumalizika tangu kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu uliofanyika Jumanne...
Katika harakati za kuuondoa Mkoa wa Rukwa katika orodha ya mikoa inayoongoza kwa udumavu kwa watoto chini ya umri wa miaka mitan…
Katika harakati za kuuondoa Mkoa wa Rukwa katika orodha ya mikoa inayoongoza kwa udumavu kwa watoto chini ya umri wa miaka mitano nchini, wakulima wilayani Kalambo wametakiwa kuzingatia usalama wa…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka amesema ofisi hiyo inaandaa mfumo wa kiteknolojia utakaowawezesh…
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka amesema ofisi hiyo inaandaa mfumo wa kiteknolojia utakaowawezesha vijana kuwasilisha changamoto zao moja kwa moja na kupatiwa ufumbuzi kwa…
Umoja wa kitaifa na msingi wa amani, uchumi na uwekezaji nchini
Umoja wa kitaifa na amani ni nguzo kuu zinazoamua mwelekeo wa maendeleo ya taifa lolote duniani.
Watu watano wamefariki dunia na wengine tisa wameruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea jana, Desemba 16, katika eneo la Karasha…
Watu watano wamefariki dunia na wengine tisa wameruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea jana, Desemba 16, katika eneo la Karasha mkoani Songwe, kwenye barabara kuu inayounganisha Mbeya na Tunduma. Taarifa…
Mkutano wa pili wa kimataifa wa WHO Delhi wanangazia mchango wa tiba za asili
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO), kwa kushirikiana na Serikali ya India, leo limefungua Mkutano wa Pili wa Kimataifa kuhusu Tiba Asili au Mitishamba, ukiwakutanisha mawaziri wa…
TOP: Mkuu wa UN aonya kuhusu hatari ya kuzuka upya mapiggano Yemen
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa leo ameonya kuwa Yemen inaingia katika awamu hatari ya ukosefu wa utulivu, kufuatia maendeleo mapya katika majimbo ya Mashariki mwa nchi hiyo ambayo yanatishia…
Ubakaji kama silaha ya vita: Safari ya manusura wa Congo katika kupata uponyaji na heshima
Ubakaji unaotumika kama silaha ya vita huacha majeraha yasiyofutika ya mwili, akili na ya roho. Katika ushuhuda huu wenye nguvu, manusura mmoja kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, DRC ambaye…
Wakimbizi kutoka DRC wanazidi kumiminika nchini Burundi
Kuongezeka kwa machafuko katika jimbo la Kivu Kusini nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC kumesababisha watu wengi kuyahama makazi yao ndani na kumbilia kusaka hofadhi nchi Jirani ya Burundi.…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….DESEMBA 17, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....DESEMBA 17, 2025
Wanasiasa wa Ujerumani wailaani Urusi kwa kuifungia DW
Wanasiasa wa Ujerumani wameikosoa Urusi baada ya kulipiga marufuku shirika la utangazaji la umma la Deutsche Welle. Wizara ya Sheria ya Urusi imeiongeza rasmi DW kwenye orodha ya mashirika yasiyotakiwa…
Mauaji ya Bondi Beach: Mshukiwa afunguliwa mashtaka mazito
Polisi wa Australia wamemfungulia mashtaka mshukiwa wa shambulio la Bondi Beach, Sydney, yakihusisha mauaji ya watu 15, kufanya ugaidi na majaribio 40 ya mauaji, wakati wa sherehe za Hanukkah.
Marekani yaziondolea viza nchi 15 ikiwamo Tanzania kuingia nchini humo
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Marekani, sababu ya kuzia makundi kadhaa ya viza...
Dk Kusiluka aonya maofisa habari wa Serikali, atoa mwelekeo mpya
Katibu Mkuu Kiongozi, Dk Moses Kusiluka amewataka maofisa habari wa Serikali, kujipanga...
Ushuzi wa mwanamke na siri afya ya ubongo wake
Ingawa wanaume kwa kawaida hutoa kiasi kikubwa zaidi cha gesi, utafiti ulibaini kuwa ushuzi wa...
“….wanaoathirika ni zaidi ya wanaowalenga….watu ambao wao wanaamini wanawachukia madhara yanayotukuta ni zaidi ya wanaowachukia……
“….wanaoathirika ni zaidi ya wanaowalenga….watu ambao wao wanaamini wanawachukia madhara yanayotukuta ni zaidi ya wanaowachukia….hakuna tunda linaloota bila mbegu, mbegu ya vurugu za tarehe 29 na vurugu walizotaka zifanyike tarehe…
Bado siku moja kufika Desemba 18, siku ambayo tamthilia ya Mrs Garcia itaanza
Bado siku moja kufika Desemba 18, siku ambayo tamthilia ya Mrs Garcia itaanza. #MrsGarcia #AzamONE
Marekani yazinyima viza nchi 15 ikiwamo Tanzania kuingia nchini humo
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Ikulu ya Marekani, sababu ya kuzia makundi kadhaa ya viza...
Madumu 23,755 ya mafuta ya magendo yakamatwa, wafanyabiashara walia urasimu
Wakati Serikali ikikamata madumu 23,755 ya mafuta ya kula yaliyoingizwa nchini kinyume na...
Ursula von der Leyen: Ulaya ni lazima ijihakikishie usalama
Rais wa Halmashauri Kuu ya Umoja wa Ulaya Ursula Von der Leyen, amesema Ulaya inapaswa kuwajibika yenyewe katika masuala yake ya usalama.
Trump aweka marufuku kamili ya usafiri kwa nchi saba zaidi
Marekani imetangaza masharti makali zaidi ya kuingia nchi hiyo na kuongeza orodha ya mataifa ambayo raia wake wamepigwa marufuku kuingia nchi hiyo.
Mtuhumiwa wa mashambulizi ya Bondi ashitakiwa kwa mauaji
Mwanaume anayetuhumiwa kufanya mashambulizi katika ufukwe wa Bondi mjini Sydney, Australia ameshtakiwa kwa makosa 59 yakiwemo mashtaka 15 ya mauaji.
Waziri wa zamani na mshirika wa Kabila akamatwa Kinshasa
Katibu mtendaji wa chama cha PPRD cha rais wa zamani wa Kongo, Joseph Kabila, Emmanuel Ramazani Shadary amekamatwa jijini Kinshasa.
Trump atia saini marufuku ya kusafiri kwa nchi nyengine saba
Rais wa Marekani Donald Trump ameongeza orodha ya marufuku ya kusafiri na kuzuia watu kutoka nchi saba zaidi, ikiwemo Syria, pamoja na wamiliki wa pasi za kusafiria za Mamlaka ya…
Afrika Kusini yawakamata Wakenya 7 wasikuwa na vibali
Maafisa wa Afrika Kusini wamewakamata raia saba wa Kenya wanaotuhumiwa kufanya kazi bila kuwa na nyaraka sahihi za ajira.
Adam anajishauri kumwambia Irene ukweli anaumwa nini 🙌
Adam anajishauri kumwambia Irene ukweli anaumwa nini 🙌 #NomaSeries
Waziri Mkuu atetea wasanii waliosusiwa kazi zao
Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba awajia juu wanaolaumu wasanii kushiriki kwenye kampeni za CCM.
Juhudi za kusaka amani Ukraine zaendelea
Baada ya mikutano mbalimbali kati, wajumbe wa Marekani na Ukraine wanatarajiwa kukutana tena mwishoni mwa wiki ijayo kabla ya mapendekezo hayo kuwasilishwa Moscow.
Kongo yasema M23 bado wako Uvira licha ya kudai kujiondoa
Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo imelikataa tangazo la waasi wa M23 kwamba wanajiondoa kwenye mji wa Uvira ulioko Kivu Kusini.
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI-17/12/2025
#LIVE:TAARIFA YA HABARI YA ADHUHURI-17/12/2025