Rukwa ni miongoni mwa mikoa inayoongoza nchini kwa udumavu wa watoto chini ya umri wa miaka mitano
Rukwa ni miongoni mwa mikoa inayoongoza nchini kwa udumavu wa watoto chini ya umri wa miaka mitano. Unashauri nini kifanyike kukabiliana na udumavu kwa watoto? Tuandikie maoni yako na tutayasoma…
VIWANJANI: Mchambuzi wa soka @akingamkono anasema miongoni mwa mbinu ambazo Kocha Miguel Gamondi ataingianazo kwenye fainali za …
VIWANJANI: Mchambuzi wa soka @akingamkono anasema miongoni mwa mbinu ambazo Kocha Miguel Gamondi ataingianazo kwenye fainali za #AFCON2025 ni pamoja na kuhakikisha timu yake hairuhusu kufungwa magoli mengi ili kupata…
Malale akaribishwa KVZ kwa kichapo
TIMU ya KVZ inayofundishwa na Malale Hamsini, imepokea kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa bingwa mtetezi wa Ligi Kuu Zanzibar, Mlandege, katika mechi ya ligi hiyo iliyochezwa jana Desemba 16,…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55….DESEMBA 17, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55....DESEMBA 17, 2025
Tanzania yatuma mwaliko kwa wabunge wa Marekani
Mwaliko huo unakuja wiki chache, baada ya serikali ya Marekani kusema kuwa inatathimini upya uhusiano wake na Tanzania.
Othman: SUK ni chombo cha kuleta umoja sio kulinufaisha kundi fulani
Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman amesema chama hicho kinaiangalia...
Majibu ya upotoshaji kuhusu maendeleo ya Tanzania
Hii ni tafsiri ya makala hii iliyochapishwa leo Desemba 16, 2025, kwenye gazeti la Aftonbladet...
Maega amsikia Bisura akipanga mipango ya kuzinasa hazina…Mzee kwa dharau anaondoka zake huku akijifanya hajasikia chochote, Bi…
Maega amsikia Bisura akipanga mipango ya kuzinasa hazina...Mzee kwa dharau anaondoka zake huku akijifanya hajasikia chochote, Bisura anadhani anaonewa wivu wa kimapenzi 😅 Tuendelee na hadithi tamu ya #PichaYanguSeries kila…
Hivi ni vipande vya video vilivyotolewa na Wizara ya Ulinzi ya Urusi kati ya Desemba 9 na 16 vikionesha maeneo kadhaa ya mji wa …
Hivi ni vipande vya video vilivyotolewa na Wizara ya Ulinzi ya Urusi kati ya Desemba 9 na 16 vikionesha maeneo kadhaa ya mji wa Guliaipole, kitovu muhimu cha usafirishaji katika…
Yaliyojificha nyuma ya matumizi ya manukato
Manukato ni kitu muhimu sana kwa mtu yeyote anayependa kuonekana nadhifu na mtanashati.
Watano wakiwemo askari polisi wafariki ajalini, tisa wajeruhiwa
Taarifa hiyo ya Polisi imewataja waliofariki dunia ni H.7042 CPL Chirungu Misango John...
Aliyekiri kuua kwa kudai kuvuta bangi, ahukumiwa kunyongwa
Bingwa wa kupangua adhabu ya kifo anasa, ndivyo unaweza kuelezea namna Kinyota Kabwe...
#HABARI: Serikali ipo katika utekelezaji wa hatua ya awali ya manunuzi kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa barabara ya lami ya harak…
#HABARI: Serikali ipo katika utekelezaji wa hatua ya awali ya manunuzi kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa barabara ya lami ya harakishi (express way) yenye urefu wa kilometa 210…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55….DESEMBA 17, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55....DESEMBA 17, 2025
Maresca: Nina furaha tupo nusu fainali
Meneja wa Chelsea, Enzo Maresca, ameelezea furaha yake baada ya kuimbiwa na mashabiki wa klabu...
Tanzania: Maafisa uhamiaji watatu wahukumiwa kunyongwa kwa kusababisha kifo
Hukumu hiyo imetolewa Desemba 15, 2025, na Jaji Augustine Rwizile, ambapo amesema kuwa ushahidi uliowasilishwa mahakamani hapo umethibitisha pasi na kuacha shaka kuwa maafisa hao watatu walimuua Enos, kwa kumtuhumu…
‘Mchezo mchafu’ usafiri wa mabasi usifumbiwe macho
KATIKA kipindi hiki cha mwisho wa mwaka, kumekuwapo na ongezeko kubwa la wasafiri wa masafa marefu, hasa kwa mabasi wakienda kusherehekea sikukuu za Krisimasi na Mwaka Mpya. Ni kipindi ambacho…
Balozi Matinyi akutana na Mfalme wa Sweden
Stockholm. Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi, amekutana...
“Unapokuwa na maji kidogo, kazi kubwa ni kuhakikisha haya maji hayapotei hovyo
"Unapokuwa na maji kidogo, kazi kubwa ni kuhakikisha haya maji hayapotei hovyo. Tumepewa maelekezo cha kwanza tuhakikishe tunafanya kazi mivujo yote inayopatikana kwenye maeneo yetu kusudi hiki kidogo kinachopatikana kiweze…
#HABARI: Godfrey Nyange Kaburu, Makamu Mwenyekiti wa zamani wa Simba, mchakato wa mabadiliko wa uendeshaji wa klabu ulichelewa k…
#HABARI: Godfrey Nyange Kaburu, Makamu Mwenyekiti wa zamani wa Simba, mchakato wa mabadiliko wa uendeshaji wa klabu ulichelewa kwa kuwa kuna watu walikwamisha lakini kwa sasa anaamini kila kitu kipo…
“Niseme tu kwamba wafanyakazi wa DAWASA wanafanya kazi kwa kuzingatia misingi ya utumishi wa Umma na sio tu kwa kipindi hiki hat…
"Niseme tu kwamba wafanyakazi wa DAWASA wanafanya kazi kwa kuzingatia misingi ya utumishi wa Umma na sio tu kwa kipindi hiki hata katika kipindi chote inapobainika na tunazopata taarifa sahihi…
#MEZAHURU: Kipi kifanyike kuboresha na katatua changamoto ya maji kwenye jiji la Dar es Slaam na Tanzania kwa ujumla..?
#MEZAHURU: Kipi kifanyike kuboresha na katatua changamoto ya maji kwenye jiji la Dar es Slaam na Tanzania kwa ujumla..?
“Nawaomba sana wakazi wa mkoa wa Dar es Salaam na Pwani imekuwa inatoa huduma kuanzia January hadi November tumepata hitilafu
"Nawaomba sana wakazi wa mkoa wa Dar es Salaam na Pwani imekuwa inatoa huduma kuanzia January hadi November tumepata hitilafu. Tunakubali tumepata maoni mengi, ushauri mwingi. Niwaambie kuwa hiki ni…
FYATU MFYATUZI: Tulaani mabeberu mabarubaru na maburebure! Ndivyo ilivyo
Kuna mafyatu wanatubagaza na kutushangaza. Si mabeberu ‘wameleta’ vuguvugu na vurugu kayani!
“Kwa hili iliyopo na kiwango cha maji tulichokuwa nacho ni kidogo na kipaumbele matumizi yake ya maji kwa sasa yatatumika kwa bi…
"Kwa hili iliyopo na kiwango cha maji tulichokuwa nacho ni kidogo na kipaumbele matumizi yake ya maji kwa sasa yatatumika kwa binadamu. Tumesitisha vibali kwa wale wadau wote wanatumia kwa…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55….DESEMBA 17 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55....DESEMBA 17 2025
“Sisi hatuna umaskini wa vyanzo vya maji
"Sisi hatuna umaskini wa vyanzo vya maji. Ndio maana nikasema hivi tulivyonavyo tuvitunze, tuvihifadhi na tuwe na mpango wa kuanzisha vyanzo vingine. "Ukijenga bwawa utakuwa umejenga chanzo kingine. Tunao mto…
Waziri wa Mambo ya Nje asisitizia tena azma ya Iran ya kutetea haki zake za kisheria za nyuklia
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Sayyid Abbas Araghchi amesisitizia azma ya Jamhuri ya Kiislamu ya kutetea haki zake za kisheria za nyuklia kulingana na Mkataba wa Kuzuia Usambazaji…
HAMAS: Israel imekiuka vipengele vyote vya usitishaji vita, makubaliano yako hatarini kuvunjika
Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS ameushutumu utawala wa kizayuni wa Israel kwa ukiukaji mkubwa na uliopangwa wa makubaliano ya kusitisha vita, akionya kwamba kuendelea…
Waziri Mkuu wa Australia amhutubu Muislamu aliyejitolea maisha yake: Wewe ni shujaa wa Australia
Waziri Mkuu wa Australia Anthony Albanese ametembelea Hospitali ya St. George kusini mwa Sydney ili kumjulia hali Ahmed Al Ahmed, Mwislamu aliyehatarisha maisha yake kwa kumvamia na kumpokonya bunduki mmoja…
Mke wa rais wa Guinea Bissau aliyepinduliwa akamatwa Ureno kwa tuhuma za kutakatisha pesa
Mamlaka za nchini Ureno zimemtia nguvuni na kumfungulia mashtaka mke wa rais wa Guinea-Bissau aliyepinduliwa, ikiwa ni sehemu ya uchunguzi kuhusu madai ya utakatishaji fedha. Hayo yameelezwa na polisi ya…
Mkuu wa White House akiri: Lengo hasa la kuzishambulia boti ni kumpindua Maduro
Mkuu wa wafanyakazi wa Ikulu ya Marekani White House Susie Wiles ametamka kuwa, mashambulizi ya jeshi la Marekani dhidi ya boti zinazodaiwa kuwa ni za madawa ya kulevya yanayofanywa katika…
Mkuu wa White House akiri: Lengo hasa la kushambulia boti ni kumpindua Maduro
Mkuu wa wafanyakazi wa Ikulu ya Marekani White House Susie Wiles ametamka kuwa, mashambulizi ya jeshi la Marekani dhidi ya boti zinazodaiwa kuwa ni za madawa ya kulevya yanayofanywa katika…
#HABARI: Baada ya Mji wa Uvira Kivu Kusini huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kutekwa na waasi wa AFC /M23 baadhi ya wapigan…
#HABARI: Baada ya Mji wa Uvira Kivu Kusini huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, kutekwa na waasi wa AFC /M23 baadhi ya wapiganaji wazalendo wameanza kusalimisha silaha zao kwa waasi…
#MICHEZO: Aliyewahi kuwa kocha wa Simba Dimitar Pantev wakati akizungumza na @hoseamchopa, ambaye alimuuliza kwa nini baada ya M…
#MICHEZO: Aliyewahi kuwa kocha wa Simba Dimitar Pantev wakati akizungumza na @hoseamchopa, ambaye alimuuliza kwa nini baada ya Mohamed Bajaber kurejea kutoka kwenye majeraha yake, alichelewa kumpa nafasi wakati mashabiki…
#HABARI:Serikali ya Kaunti ya Nairobi nchini Kenya imeidhinisha rasmi utaratibu wa kutoa siku mbili kila mwezi za kupumzika kwa …
#HABARI:Serikali ya Kaunti ya Nairobi nchini Kenya imeidhinisha rasmi utaratibu wa kutoa siku mbili kila mwezi za kupumzika kwa sababu ya hedhi kwa wanawake wafanyakazi, kama sehemu ya mfumo wa…
Wanapokosea upinzani kusaka dola nchi za Afrika
Safari ya vyama vya upinzani barani Afrika katika kuisaka dola inaendelea kuwa ngumu na yenye...
CHINA YAPUNGUZA USHURU WA NYAMA YA NGURUWE YA ULAYA
CHINA YAPUNGUZA USHURU WA NYAMA YA NGURUWE YA ULAYA #HABARI: China imepunguza ushuru wa uangizaji wa nyama ya nguruwe kutoka Umoja wa Ulaya, hatua iliyoanza kutekelezwa leo. Wizara ya Biashara…
Mkazi wa Mbezi meisho, leo mabalozi wa AzamTV wanakukaribisha katika mgodi wetu uliopo Magufuli Bus Stand waweze kukupa ofa ya k…
Mkazi wa Mbezi meisho, leo mabalozi wa AzamTV wanakukaribisha katika mgodi wetu uliopo Magufuli Bus Stand waweze kukupa ofa ya kufungia mwaka. #AzamTVBurudaniKwaWote
Robo fainali CARABAO CUP kuendelea leo Jumatano
Robo fainali CARABAO CUP kuendelea leo Jumatano Je, timu gani kwenda hatua ya nusu fainali kuungana na Chelsea Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mechi hizi #CarabaoCup #Azamtvsports
Mawakili wa Roger Lumbala kukata rufaa dhidi ya kifungo mteja wao cha miaka 30 jela
Timu ya mawakili inayomwakilisha kiongozi wa zamani wa upinzani nchini Kongo Roger Lumbala imetangaza siku ya Jumanne, Desemba 16, kwamba watakata rufaa siku ya Jumatano, baada ya mteja wao kuhukumiwa…
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kumsimamia vema mkandarasi anayejenga barabara ya Kitai hadi …
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kumsimamia vema mkandarasi anayejenga barabara ya Kitai hadi Ruanda ili aweze kuendana na kasi iliyotarajiwa. Dkt Mwigulu amesema tayari…
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mh
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mh. Said Mtanda, amewahimiza viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) kuendelea kujadili changamoto za elimu kwa uwazi na uwajibikaji, ili kuleta maendeleo katika sekta…
Sudan yaongoza kwenye orodha ya nchi zenye migogoro ya kibinadamu duniani
Sudan inaongoza kweye orodha ya chi zenye migogoro ya kibinadamu duniani kwa mwaka wa tatu mfululizo, kulingana na ripoti iliyochapishwa siku ya Jumanne na kundi la kimataifa la misaada, huku…
Kinga ni bora kuliko tiba
Misemo hii inaakisi kwa kina yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29...
Mzalendo ni gaidi wa kaburu
Siku moja Mwalimu Nyerere alisema kuwa aliona wakubwa wakienda kufanya azimio Zanzibar.
Marekani yatangaza kusitishwa kwa ushirikiano wake wa teknolojia na Uingereza
Washington imepaza sauti yake, ikisema kwamba utekelezaji wa makubaliano ya biashara yaliyofikiwa na London hauendelei haraka vya kutosha. Imechapishwa: 17/12/2025 – 06:23 Dakika 1 Wakati wa kusoma Matangazo ya kibiashara…