Mbunge aisifu Tanzania kwa amani
DODOMA:MBUNGE wa Jimbo la Kahama Mjini, Benjamin Ngayiwa, amesema Tanzania ni nchi ya mfano kutokana na amani na utulivu inayodumu, wakati nchi nyingine zikumbwa na migogoro. Akizungumza kuhusu hali…
EACOP graduates first cohort of specialised welding trainee
TANGA: THE East African Crude Oil Pipeline (EACOP) Ltd, in collaboration with its joint venture and institutional partners, has successfully graduated the first cohort of its Orbital Specialist Training Programme,…
Drug traffickers jailed for life over heroin
DAR ES SALAAM: THE High Court, Corruption and Economic Crimes Division, has sentenced two men to life imprisonment after finding them guilty of trafficking more than 15 kilogrammes of heroin,…
Arsenal yasaka pesa za kuwanunua Julian Alvarez na Morgan Rogers, yawapeleka sokoni wachezaji 8
Arsenal lazima iwauze wachezaji wanane, akiwemo Gabriel Jesus, ili kununua Morgan Rogers na Julian Alvarez hii ni katika kujiandaa kusaka ubingwa ulaya.
Malebo afichua kuwa ana watoto 10 na dadake Mchungaji Munishi: “Nina wajukuu 14”
Malebo anashiriki maelezo kuhusu maisha yake ya familia, akifunua ndoa yake na dada ya Mchungaji Munishi, watoto wao kumi, na tafakari kuhusu maamuzi ya maisha.
Alkhamisi, tarehe 04 Juni, 2026
Leo ni Alkhamisi tarehe 18 Dhulhija 1447 Hijria sawa na tarehe 04 Juni 2026.
Wabunge waliokwenda kuishangilia Serengeti Boys kikaangoni
Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu ametoa siku nne kwa wabunge waliokwenda Morocco bila...
Zanzibar boosts insurance awareness campaign
ZANZIBAR: THE Zanzibar government has intensified public education on motor vehicle insurance and insurance rights as part of efforts to improve access to compensation and strengthen financial protection for citizens.…
Wabunge waliosafiri Morocco bila kibali, Zungu awapa siku nne wajieleze
Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Zungu ametoa siku nne kwa wabunge waliokwenda Morocco bila kibali cha Spika wajieleze huku akitoa onyo kwa wabunge watoro bungeni.
Govt allocates 4.6bn/- to support youth innovations
DODOMA: THE government has allocated 4.6bn/- through the Samia Innovation Fund to support the protection, registration and commercialisation of innovations developed by young people. Minister of State in the President’s…
TRA yasisitiza mazingira bora ya kazi kuimarisha ufanisi
DAR ES SALAAM; Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Moshi Kabengwe, amewataka viongozi wa taasisi hiyo kuzingatia afya ya akili kwa watumishi wanaowasimamia kwa…
Serengeti Boys yatawala kikosi bora AFCON
Licha ya kukosa ubingwa wa Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17...
Govt intervention shields consumers as petrol prices fall
DAR ES SALAAM: TANZANIAN consumers have received relief this month following a drop in petrol prices, thanks to government measures aimed at cushioning the economy from the effects of escalating…
The New Times: President Samia’s strategic visit to Russia and the recalibration of Tanzania’s global diplomacy
DAR ES SALAAM: One of the enduring aphorisms often invoked in diplomatic commentary is that “a friend in need is a friend indeed.” While in international discourse it is not…
Mbunge wa ODM George Aladwa afichua amekuwa hospitalini kwa siku kadhaa lakini anapata nafuu
Mbunge wa Makadara George Aladwa alifichua kwamba amelazwa hospitalini kwa siku kadhaa. Katibu mkuu wa ODM Catherine Omanyo alimtembelea na kumfariji.
Ivory Coast yazikimbiza Morocco, Senegal kuelekea Kombe la Dunia
Licha ya kuwa na kundi kubwa la nyota wenye majina makubwa, Morocco na Senegal zimezidiwa na...
Nairobi: Watu kadhaa wahofiwa kufariki baada ya ajali ya matatu eneo la viwandani
Ajali iliyohusisha Nganya kwenye Barabara ya Enterprise jijini Nairobi inadaiwa kusababisha vifo. Mashahidi wamelaumu udereva ovyo kwa ajali hiyo.
Somalia: Mapigano yazuka katika mji mkuu Mogadishu
Mapigano yameanza usiku wa Jumatano kuamkia Alhamisi mjini Mogadishu, ambapo moshi mwingi unaonekana katika mji mkuu wa nchi hiyo, kulingana na waandishi wa habari wa shirika la habri la AFP.…
Gilmour alia kukosa Kombe la Dunia
Kiungo wa Scotland, Billy Gilmour, amesema kuwa atachukua muda kukubaliana na maumivu ya kukosa...
Jacky Vike afichua uso wa mwanawe kwa mara ya kwanza: “Ukuu na ukuandame”
Jacky Vike, almaarufu Awinja, anasherehekea bathidei ya mwanawe Mosi kwa sifa za dhati. Ameonyesha mambo machache kumhusu na wasiwasi kuhusu faragha yake.
Kilimo cha maua kilivyo fursa mpya ya ajira nchini
Katika kipindi hiki ambapo Tanzania inaendelea kushuhudia ongezeko kubwa la vijana wanaoingia...
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) leo, tarehe 3 Juni, 2026, zimesaini Makubaliano y…
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) leo, tarehe 3 Juni, 2026, zimesaini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) yatakayowezesha maandalizi na utekelezaji wa Sensa…
Kutoka kivuli hadi alama ya nguvu duniani, Putin alijengaje taswira yake?
Kwa miaka mingi, Vladimir Putin ameibadilisha Urusi kutoka taifa lenye demokrasia changa na dhaifu kuwa dola yenye mfumo wa kiutawala wa kimabavu ambao kwa kiasi kikubwa umejengwa kumzunguka yeye kama…
Mahakama Kuu ilivyoiokoa Bonite Bottlers kupoteza mamilioni
Mahakama Kuu Masijala Ndogo wa Dar es Salaam, imeruhusu rufaa iliyokatwa na kampuni ya Bonite...
Samia’s Kremlin honor: Tanzania levels up globally
DAR ES SALAAM: WHEN President Samia Suluhu Hassan receives an Honorary Doctorate from the Peoples Friendship University of Russia (RUDN University), the occasion will represent far more than an academic…
Raia 18 wa Kiafrika wafariki katika mkasa wa moto hotelini India
Watu ishirini na mmoja waliangamia katika moto katika hoteli moja huko New Delhi. Kituo hiki kilikuwa kinawahudumia wagonjwa wa kigeni na familia zao. Miongoni mwao wagonjwa hao walikuwa Waafrika 18…
Kwanini Kim Jong-un huwa hamzungumzii mama yake?
Ko alifariki kabla ya Kim Jong-il, ila kifo chake katika hospitali moja mjini Paris hakikutajwa na vyombo vya habari vya Korea kaskazini.
Kwanini Kim Jong-un huwa hamzungumzii mamake?
Ko alifariki kabla ya Kim Jong-il, ila kifo chake katika hospitali moja mjini Paris hakikutajwa na vyombo vya habari vya Korea kaskazini.
Meru: Walimu 2 waombolezwa baada ya kupoteza maisha yao katika ajali ya kutisha
Ajali mbaya ya barabarani ilichukua maisha ya walimu wawili kutoka Shule ya Sekondari ya Kirindine Day, Lian Mugendi na Eric Muchangi, na kuacha jamii inayoomboleza.
Meru: Wanafunzi, walimu waomboleza huku walimu 2 wakiangamia katika ajali
Ajali mbaya ya barabarani ilichukua maisha ya walimu wawili kutoka Shule ya Sekondari ya Kirindine Day, Lian Mugendi na Eric Muchangi, na kuacha jamii inayoomboleza.
Macky Sall, mgombea kwenye nafasi ya Katibu Mkuu wa UM, apokelewa na Emmanuel Macron
Mkutano huu unaweza kuzua hisia jijini Dakar. Siku ya Jumanne, Juni 2, Emmanuel Macron amempokea rais wa zamani wa Senegal Macky Sall katika Ikulu ya Élysée. Mkutano huo, uliorushwa na…
Magazeti ya Kenya: Martha Karua atifua mgogoro mpya ndani ya upinzani kuhusu mgombea Urais wa 2027
Wasiwasi kuhusu usalama katika shule Kenya unaongezeka, nao mvutano unaongezeka huku viongozi wa upinzani wakikinzana kuhusu uteuzi wa mgombea urais wa 2027.
Rais Donald Trump amesema anatamani “kukutana” na Kiongozi mkuu wa Iran Mojtaba Khamenei
Rais wa Marekani Donald Trump amesema siku ya Jumatano kwamba angependa kukutana na Kiongozi Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, akisema katika mahojiano na Gazeti la New York Post kwamba Kiongozi…
Mwanawe Diana Marua, Morgan avunja ukimya sababu ya Lenana School kufungwa ghafla
Mwanawe Diana Marua, Morgan, amefunguka kuhusu ghasia zilizotokea Lenana School baada ya wanafunzi kugoma na kuharibu mali na kumshambulia mwalimu mkuu.
Israel na Lebanon zakubaliana kusitisha mapigano
Hii inafuatia mashambulizi ya Israel kuua watu wasiopungua tisa kusini mwa Lebanon siku ya Jumatano na Hezbollah kufyatua makombora kaskazini mwa Israeli
Wabunge wa Marekani waidhinisha azimio la kuagiza kukomeshwa kwa vita vya Iran
Baraza la Wawakilishi la Marekani limepitisha azimio siku ya Jumatano linaloamuru kuondolewa kwa wanajeshi wa Marekani katika vita dhidi ya Iran, pigo kwa Donald Trump, ambaye aliingiza Marekani kwenye mzozo…
Moto wafufua mjadala wa CCTV mashuleni, usalama kwanza au faragha
"CCTV ni shahidi wa kimya, haiwezi kuzuia tukio kutokea, lakini inaweza kusaidia kubaini ukweli baada ya tukio kutokea'', anasema mtaalamu wa faragha ya data Philip Kisaka.
Mashariki ya Kati: Israel na Lebanon zakubaliana kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano
Katika taarifa ya pamoja iliyotolewa usiku wa Jumatano, Juni 3, kuamkia Alhamisi, Juni 4, Israel na Lebanon zimetangaza makubaliano yao ya kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano na kuanzisha maeneo ya…
Aden Duale ataja kaunti 12 katika hatari ya kunyemelewa na virusi vya Ebola: “Hatari kubwa”
Waziri wa Afya Aden Duale amefichua Kaunti 12 Kenya zilizo katika hatari kubwa ya kuvamiwa na Ebola, akisisitiza hatua za maandalizi na vituo vya kujitenga.
Mgawanyiko waongezeka kati ya Rais wa Senegal na Waziri Mkuu wa zamani
Mvutano kati ya Rais Bassirou Diomaye Faye wa Senegal na mshauri wake wa zamani, Ousmane Sonko umezusha mzozo wa kisiasa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi inayosumbuliwa na deni kubwa.
Upinzani waanika mbinu mpya ya kupambana na UDA katika uchaguzi mdogo wa Ol Kalou
Muungano wa Upinzani sasa umekubali kumtetea mgombea mmoja katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou utakaofanyika mnamo Julai 16. Kalonzo Musyoka alisema.
Tehran yakanusha madai ya Marekani, yasema Washington inajaribu kuficha uhalifu wake dhidi ya Wairani
Iran imepinga vikali tuhuma za Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani kwamba Tehran inataka kuwaua maafisa wa Marekani, ikiikosoa Washington kwa kujaribu kujionyesha kama mwathirika huku ikificha rekodi yake…
Bunge la Marekani lapitisha hatua ya kupunguza mamlaka ya vita ya Trump dhidi ya Iran
Baraza la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha azimio linalolenga kupunguza mamlaka ya vita ya Rais Donald Trump kuhusiana na Iran, ikiwa ni ishara ya changamoto kubwa kwa jinsi utawala wa Trump…
Foreign Policy: Chuki dhidi ya Wakristo imeongezeka huko Israel
Uchunguzi uliofanywa na baadhi ya vyombo vya habari umebaini kuwa chuki na hujuma dhidi ya Wakristo vimeongezeka huko Israel.
Iran yapinga ‘matakwa ya kupita kiasi’ katika mazungumzo au kusitisha mapigano
Mshauri wa Masuala ya Kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kuwa Tehran haitairuhusu Marekani kuwasilisha matakwa ya kupita kiasi, iwe ni katika mazungumzo…
Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 50, yumo kamanda mkuu wa kundi la ISWAP
Wanajeshi wa Nigeria wanaoendesha oparesheni kwa jina "Hadin Kai" wamewaangamiza magaidi wasiopungua 50, akiwemo kamanda mkuu wa tawi la ISWAP lililoungana na kundi la Boko Haram.
Tunachojua kuhusu mashambulizi mapya kati ya Marekani na Iran
Mashambulizi haya ya hivi karibuni yanatokea wakati mazungumzo ya kusitisha mapigano yamekwama, baada ya juhudi za kumaliza miezi kadhaa ya mapigano kushindwa kuleta maendeleo yoyote mwishoni mwa wiki.