Macky Sall, mgombea kwenye nafasi ya Katibu Mkuu wa UM, apokelewa na Emmanuel Macron
Mkutano huu unaweza kuzua hisia jijini Dakar. Siku ya Jumanne, Juni 2, Emmanuel Macron amempokea rais wa zamani wa Senegal Macky Sall katika Ikulu ya Élysée. Mkutano huo, uliorushwa na…
Magazeti ya Kenya: Martha Karua atifua mgogoro mpya ndani ya upinzani kuhusu mgombea Urais wa 2027
Wasiwasi kuhusu usalama katika shule Kenya unaongezeka, nao mvutano unaongezeka huku viongozi wa upinzani wakikinzana kuhusu uteuzi wa mgombea urais wa 2027.
Rais Donald Trump amesema anatamani “kukutana” na Kiongozi mkuu wa Iran Mojtaba Khamenei
Rais wa Marekani Donald Trump amesema siku ya Jumatano kwamba angependa kukutana na Kiongozi Mkuu wa Iran, Mojtaba Khamenei, akisema katika mahojiano na Gazeti la New York Post kwamba Kiongozi…
Mwanawe Diana Marua, Morgan avunja ukimya sababu ya Lenana School kufungwa ghafla
Mwanawe Diana Marua, Morgan, amefunguka kuhusu ghasia zilizotokea Lenana School baada ya wanafunzi kugoma na kuharibu mali na kumshambulia mwalimu mkuu.
Israel na Lebanon zakubaliana kusitisha mapigano
Hii inafuatia mashambulizi ya Israel kuua watu wasiopungua tisa kusini mwa Lebanon siku ya Jumatano na Hezbollah kufyatua makombora kaskazini mwa Israeli
Wabunge wa Marekani waidhinisha azimio la kuagiza kukomeshwa kwa vita vya Iran
Baraza la Wawakilishi la Marekani limepitisha azimio siku ya Jumatano linaloamuru kuondolewa kwa wanajeshi wa Marekani katika vita dhidi ya Iran, pigo kwa Donald Trump, ambaye aliingiza Marekani kwenye mzozo…
Moto wafufua mjadala wa CCTV mashuleni, usalama kwanza au faragha
"CCTV ni shahidi wa kimya, haiwezi kuzuia tukio kutokea, lakini inaweza kusaidia kubaini ukweli baada ya tukio kutokea'', anasema mtaalamu wa faragha ya data Philip Kisaka.
Mashariki ya Kati: Israel na Lebanon zakubaliana kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano
Katika taarifa ya pamoja iliyotolewa usiku wa Jumatano, Juni 3, kuamkia Alhamisi, Juni 4, Israel na Lebanon zimetangaza makubaliano yao ya kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano na kuanzisha maeneo ya…
Aden Duale ataja kaunti 12 katika hatari ya kunyemelewa na virusi vya Ebola: “Hatari kubwa”
Waziri wa Afya Aden Duale amefichua Kaunti 12 Kenya zilizo katika hatari kubwa ya kuvamiwa na Ebola, akisisitiza hatua za maandalizi na vituo vya kujitenga.
Mgawanyiko waongezeka kati ya Rais wa Senegal na Waziri Mkuu wa zamani
Mvutano kati ya Rais Bassirou Diomaye Faye wa Senegal na mshauri wake wa zamani, Ousmane Sonko umezusha mzozo wa kisiasa katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi inayosumbuliwa na deni kubwa.
Upinzani waanika mbinu mpya ya kupambana na UDA katika uchaguzi mdogo wa Ol Kalou
Muungano wa Upinzani sasa umekubali kumtetea mgombea mmoja katika uchaguzi mdogo wa ubunge wa Ol Kalou utakaofanyika mnamo Julai 16. Kalonzo Musyoka alisema.
Tehran yakanusha madai ya Marekani, yasema Washington inajaribu kuficha uhalifu wake dhidi ya Wairani
Iran imepinga vikali tuhuma za Waziri wa Mambo ya nje wa Marekani kwamba Tehran inataka kuwaua maafisa wa Marekani, ikiikosoa Washington kwa kujaribu kujionyesha kama mwathirika huku ikificha rekodi yake…
Bunge la Marekani lapitisha hatua ya kupunguza mamlaka ya vita ya Trump dhidi ya Iran
Baraza la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha azimio linalolenga kupunguza mamlaka ya vita ya Rais Donald Trump kuhusiana na Iran, ikiwa ni ishara ya changamoto kubwa kwa jinsi utawala wa Trump…
Foreign Policy: Chuki dhidi ya Wakristo imeongezeka huko Israel
Uchunguzi uliofanywa na baadhi ya vyombo vya habari umebaini kuwa chuki na hujuma dhidi ya Wakristo vimeongezeka huko Israel.
Iran yapinga ‘matakwa ya kupita kiasi’ katika mazungumzo au kusitisha mapigano
Mshauri wa Masuala ya Kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kuwa Tehran haitairuhusu Marekani kuwasilisha matakwa ya kupita kiasi, iwe ni katika mazungumzo…
Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 50, yumo kamanda mkuu wa kundi la ISWAP
Wanajeshi wa Nigeria wanaoendesha oparesheni kwa jina "Hadin Kai" wamewaangamiza magaidi wasiopungua 50, akiwemo kamanda mkuu wa tawi la ISWAP lililoungana na kundi la Boko Haram.
Tunachojua kuhusu mashambulizi mapya kati ya Marekani na Iran
Mashambulizi haya ya hivi karibuni yanatokea wakati mazungumzo ya kusitisha mapigano yamekwama, baada ya juhudi za kumaliza miezi kadhaa ya mapigano kushindwa kuleta maendeleo yoyote mwishoni mwa wiki.
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 4, 2026
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa... The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo…
Kafulila: Mindset shift crucial to achieving US$1 trillion economy
DODOMA: A shift in mindset is among the key changes needed for Tanzania to achieve its ambitious goal of becoming a US$1 trillion economy by 2050, which would subsequently raise…
Samia, Putin unveils major tech, industrial power shift
DAR ES SALAAM: TANZANIA and Russia have launched a decisive shift in their bilateral relations, elevating cooperation to a new strategic level after high level Kremlin talks that placed technology…
Kafulila azungumzia uchumi mataifa ya nje
MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, amesema mfumo wa ubia kati ya sekta ya umma na binafsi (PPP)…
Usugu wa vimelea wapungua, vifo vyashuka
DAR ES SALAAM: Matumizi ya dawa za antibiotiki kiholela yamepungua kwa 80%, hivyo kupelekea pia kupunguza vifo kwa 14% vitokanavyo na usugu wa vimelea dhidi ya dawa kwa binadamu. Aidha,…
Timu ya Taifa ya soka ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars imeichapa Malawi goli moja kwa sifuri katika mchezo wa kimataifa wa k…
Timu ya Taifa ya soka ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars imeichapa Malawi goli moja kwa sifuri katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki wa kalenda ya FIFA uliochezwa leo jioni…
YANGA SC | Kikosi cha Yanga SC kinaendelea na mazoezi kujiandaa na mechi tano za mwisho za Ligi Kuu ya NBC kikianza kuivaa Mashu…
YANGA SC | Kikosi cha Yanga SC kinaendelea na mazoezi kujiandaa na mechi tano za mwisho za Ligi Kuu ya NBC kikianza kuivaa Mashujaa FC Juni 13 mwaka huu katika…
KOMBE LA DUNIAN 2026 | Baada ya familia ya Azam TV kuongezeka kwa wachambuzi wa daraja la kwanza kujiunga nayo kuelekea fainali …
KOMBE LA DUNIAN 2026 | Baada ya familia ya Azam TV kuongezeka kwa wachambuzi wa daraja la kwanza kujiunga nayo kuelekea fainali za Kombe la Dunia 2026, baadhi ya mashabiki…
Kitendo cha Duale Kumvua Jamaa Kofia na Kumpa Kindiki Avae Chashtua Watu
Tukio hilo lilitokea Wajir wakati Kindiki na Duale walipoandamana na rais kwenda Kituo cha Dharura na Ajali cha Rufaa cha Kaunti ya Wajir. TUKO.co.ke
Tanzania, Russia ni kimkakati zaidi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema ziara yake ya kitaifa nchini Russia ni ya umuhimu mkubwa kwa...
Moses Kuria Amvaa Gachagua Hadharani na Shutuma Kali Kuhusu Ghasia za Mlima Kenya: “Nikome”
Aliyekuwa Mbunge wa Gatundu Kusini Mose Kuria alikanusha uhusiano wowote wa kuandaa ghasia huko Mlima Kenya. Alimkosoa kiongozi wa chama cha DCP Rigathi Gachagua.
Barabara ya Ipogolo-Kilolo yarahisisha usafirishaji mazao ya wakulima
Kwa miaka mingi, wakazi wa Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa waliishi katika changamoto ya usafiri...
Waliosababisha watumishi kutopandishwa vyeo kikaangoni
Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora ameagizwa kuwashughulikia waajiri...
Pingamizi za kituo cha Ebola Kenya chazua tumbojoto Marekani, Daktari Mehmet Oz atoa kauli nzito
Msimamizi wa CMS wa Marekani Mehmet Oz alionyesha matumaini kuhusu kituo cha Ebola cha Kenya licha ya pingamizi na akasisitiza umuhimu wa ukaribu na huduma za afya
Chadema: Bila mikataba bora, wananchi hawatanufaika na rasilimali zilizopo
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema uongozi thabiti na wenye maono...
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amewataka Watanzania kuacha kuwabeza mashabiki waliokwenda nchini M…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, amewataka Watanzania kuacha kuwabeza mashabiki waliokwenda nchini Morocco kuishangilia Serengeti Boys, akisisitiza kuwa uwepo wao ulikuwa sehemu muhimu ya kuipa timu…
CRDB yaja na huduma mpya kwa wafanyakazi wa umma
Katika jitihada za kuimarisha kipato kwa wafanyakazi wa serikali, Benki ya CRDB imetangaza...
GEF yaidhinisha Sh9.95 trilioni, fursa kwa Tanzania
Jitihada za dunia kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, upotevu wa bioanuwai na uharibifu wa...
Sh70 bilioni kuwezesha biashara ndogo
Benki ya Stanbic Tanzania imepata ufadhili wa Sh70 bilioni utakaotumika kuongeza mikopo kwa...
Rekodi ngumu zinazoshikiliwa Kombe la Dunia
Ikiwa zimebaki siku nane kuanza kwa Fainali za Kombe la Dunia 2026 zitakazofanyika kwa pamoja...
#DiplomasiaYaUchumi
#DiplomasiaYaUchumi #Dira2050 #TabasamuLaUtu #KaziNaUtuTunasongaMbele (Feed generated with FetchRSS)
Waagizaji mafuta watoa angalizo licha ya ruzuku kwa dizeli
Wakati Tanzania inaonekana kuwa miongoni mwa nchi zenye bei ndogo ya mafuta, Chama cha...
Mwanza ni moja ya miji mizuri zaidi Tanzania, maarufu kwa miamba yake ya kipekee, Ziwa Victoria na vivutio vingi vya utalii vina…
Mwanza ni moja ya miji mizuri zaidi Tanzania, maarufu kwa miamba yake ya kipekee, Ziwa Victoria na vivutio vingi vya utalii vinavyowavutia wageni kutoka sehemu mbalimbali. Bismarck Rock ni alama…
Wanahisa Swissport kupata gawio la Sh3.2 bilioni
Wanahisa wa kampuni ya Swissport Tanzania Plc wanatarajia kupanda thamani ya uwekezaji wao...
Utumishi Girls: Wakili Danstan Omari aeleza ukweli mchungu jinsi washukiwa wanaweza ponyoka kifungo
Wakili Dastan Omari amefichua sheria za kuzuia, kukamata na kushtaki watoto wanaodaiwa kuua wenzao katika shule ya Utumishi Girls Academy. TUKO.co.ke
Wadau waonya vitendo vinavyohatarisha taswira, mustakabali wa Taifa
Baadhi ya wanasiasa na wadau wa demokrasia wamewataka Watanzania kuthamini umuhimu wa Taifa kwa...
Timu ya Taifa ya kuogelea baharini kusaka medali Mauritius
Timu ya Taifa ya mchezo wa Kuogelea Baharini, imeahidi kurejea na medali katika mashindano ya...