Minister orders speedy construction of 37bn/- EASTRIP infrastructure
DAR ES SALAAM: THE Deputy Minister for Education, Science and Technology, Wanu Hafidh Ameir, has directed the contractor, COMFIX & ENGINEERING, to speed up the construction of infrastructure under the…
DAWASA calls for proper use of water
DAR ES SALAAM: THE Chief Executive Officer of the Dar es Salaam Water Supply and Sanitation Authority (DAWASA), Engineer Mkama Bwire, has urged residents to develop a culture of conserving…
Wahajiri wa Kiafrika waaga dunia kwa baridi mpaka wa Morocco, Algeria
Wahamiaji tisa wa Kiafrika wamepoteza maisha kutokana na baridi kali karibu na mpaka wa Morocco na Algeria.
IRGC: Maadui watakabiliwa na mwelekeo mpya wa uwezo wa Iran iwapo wataanzisha vita
Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC Ali-Mohammad Naeini amesema kwamba ikiwa vita vitazuka, adui atakabiliwa na viwango vipya na vya hali ya juu vya nguvu ya…
IRGC: Maadui watakabiliwa na mwelekeo mpya wa uwezo wa Iran wataanzisha vita
Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu IRGC Ali-Mohammad Naeini amesema kwamba ikiwa vita vitazuka, adui atakabiliwa na viwango vipya na vya hali ya juu vya nguvu ya…
Bado siku tatu kufika Desemba 18, siku ambayo tamthilia ya Mrs Garcia itaanza
Bado siku tatu kufika Desemba 18, siku ambayo tamthilia ya Mrs Garcia itaanza. #MrsGarcia #AzamONE
Yemen yaonya kuhusu kushtadi jinai za Israel Gaza, Ukingo wa Magharibi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imetahadharisha dhidi ya kuongezeka kwa ukatili unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Gaza na Ukingo wa Magharibi wa…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55….DESEMBA 15, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55....DESEMBA 15, 2025
Ulimwengu wa Spoti, Dec 15
Hujambo mpenzi mskilizaji na karibu tuangazie baadhi ya matukio makubwa yaliyojiri viwanjani ndani ya siku saba zilizopita kote duniani.
TANROADS rubbishes social media report on Dodoma-Gairo road
DODOMA: THE Tanzania National Roads Agency (TANROADS) has dismissed reports circulating on social media alleging that a section of road was constructed below standard in the Makaravati area, Kongwa District,…
Mwigulu Nchemba awataka Watanzania kuweka akiba ya kutosha ya chakula
Ushauri wa Waziri Mkuu huyo wa Tanzania unakuja wakati maeneo tofauti ya nchi hiyo yakishuhudia kuchelewa kwa mvua.
Mwigulu Nchemba awataka Watanzania kuweka akiba ya kutosha ya chakula
Ushauri wa Waziri Mkuu huyo wa Tanzania unakuja wakati maeneo tofauti ya nchi hiyo yakishuhudia kuchelewa kwa mvua.
Raia 500 wa Burundi warejea salama nchini mwao kutoka Uvira
Watu zaidi ya 500 raia wa Burundi waliokuwa wamekwama katika mji wa Uvira mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kutokana na mapigano kati ya waasi wa M23 na jeshi…
PM orders conservation of food reserve after Vuli rains delay
DODOMA: THE Prime Minister, Mwigulu Nchemba, has asked Tanzanians to conserve their existing food reserves due to the delayed onset of the rainy season. Dr Nchemba made the statement on…
Mwambe aachiwa, aongezewa tuhuma mpya kutaka kumuua mkuu wa Polisi
Wajibu maombi wengine katika shauri hilo ni Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) na Mkuu wa Upelelezi...
Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho wawasili Abasia ya Mtakatifu Benedikto Peramiho, misa ya kumuombea yafanyika
Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho wawasili Abasia ya Mtakatifu Benedikto Peramiho, misa ya kumuombea yafanyika Mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Mhe. Jenista Mhagama, umewasili katika Kanisa…
Wanawake wanavyohimiza amani kulilinda taifa
BAADA ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa Oktoba 29, 2025 kupita, serikali imesisitiza kuwa inachukua hatua ya maridhiano kuhakikisha mazungumzo kati yake na makundi mbalimbali ili kujenga taifa lenye amani…
ECOWAS kuwawekea vikwazo wanaovuruga utawala wa kiraia
Jumuiya ya Maendeleo ya Kiuchumi ya Afrika Magharibi ECOWAS yasema mpangilio wa demokrasia unajaribiwa na itawawekea vikwazo wahusika.
Himid Mao anazeeka na utamu wake
Kama kuna kiungo ambaye bado mpira wa miguu unamuhitaji ni Himid Mao Mkami lakini umri ndiyo...
Narges Mohammadi mahututi baada ya kuumizwa Iran
Mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel Narges Mohammadi amepelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi mara mbili wiki hii, baada ya kudaiwa kupigwa na maafisa wa usalama walipokuwa wanamkamata Iran.
The court starts hearing Mwambe’s bail application today
DAR ES SALAAM: THE Resident Magistrate’s Court at Kisutu in Dar es Salaam is today, Monday, December 15, 2025, hearing a bail application filed by former minister Geofrey Mwambe, who…
Presha ya macho inavyowatesa watu wasiooona
TRAKOMA ni ugonjwa wa macho unaoweza kuzuilika na kutibika, na ukiachwa bila matibabu husababisha upofu wa kudumu. Kwa mujibu wa madaktari bingwa wa magonjwa ya macho, ugonjwa husababishwa na bakteria…
Australia kuweka sheria kali za umiliki wa bunduki
Viongozi nchini Australia wamekubaliana leo kuweka sheria kali zaidi kuhusu umiliki wa bunduki baada ya kushuhudiwa kwa shambulio baya zaidi la ufyatuaji risasi nchini humo katika kipindi cha takriban miongo…
Ommy Dimpoz kutoka sekondari hadi kimataifa
Msanii wa Bongo Fleva, Ommy Dimpoz alianza kujizolea mashabiki kwa uandishi wake wa kuvutia...
Umuhimu wa ‘kukagua’ mtoto wa kiume mara kwa mara
KWA mujibu wa wataalamu wa sayansi, mtoto wa kiume anapoanza kuumbwa, korodani zake huwa tumboni na huanza safari ya kushuka chini kuanzia wiki ya nane hadi ya 15 ya ujauzito.…
🔴HABARI ZA SAA, SAA sita NA DAKIKA 55….DESEMBA 15, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA sita NA DAKIKA 55....DESEMBA 15, 2025
Zelensky atoa msimamo kuhusu kujiunga Nato
Zelensky aliwaambia waandishi wa habari Ukraine ipo tayari kufanya uamuzi mgumu kwa ajili ya...
#MEZAHURU: Je unafahamu utaratibu wowote kisheria juu ya kumuwekea mtu dhamana polisi au mahakamani..?
#MEZAHURU: Je unafahamu utaratibu wowote kisheria juu ya kumuwekea mtu dhamana polisi au mahakamani..? na kipi kifanyike kuwapa elimu watu kwenye neon dhamana..?
Waasi wa M23 watishia kupanua mashambulizi Kivu Kusini
Mji huo ulikuwa makao makuu ya serikali ya DRC katika mkoa huo, baada ya mji wa Bukavu...
Ukaguzi uliofanywa na kikosi cha usalama barabarani mkoani Geita umebaini kuwa kuelekea mwisho wa mwaka kuna ongezeko la tabia h…
Ukaguzi uliofanywa na kikosi cha usalama barabarani mkoani Geita umebaini kuwa kuelekea mwisho wa mwaka kuna ongezeko la tabia hatarishi miongoni mwa baadhi ya madereva wanaofanya shughuli zao kwa kuangalia…
Ushirikiano unahitajika kuokoa maisha ya watoto njiti
MTOTO njiti ni mtoto anayezaliwa kabla ya muda wa kawaida wa mjamzito kujifungua wa wiki 37 za ujauzito. Inakadiriwa watoto njiti milioni 13.4 walizaliwa mwaka 2020, ikiwa ni takribani mtoto…
#HABARI: Wakili Hekima Mwasipu amesema Mteja wake Geoffrey Mwambe ameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi hapo jana Desemba 14,…
#HABARI: Wakili Hekima Mwasipu amesema Mteja wake Geoffrey Mwambe ameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi hapo jana Desemba 14,2025. Mwambe ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, anatuhumiwa…
Balaa la sura mpya kwenye muziki 2025
Mwaka 2025 unaenda ukingoni kabla ya kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2026. Ni mwaka ambao yametokea...
Peramiho wasimamisha shughuli kumuaga Jenista Mhagama
Dar es Salaam. Vilio na huzuni vimetanda kila kona kwa wakazi wa Peramiho huku watu wengi...
Wananchi wasimamisha shughuli Peramiho, Jenista Mhagama akiagwa
Dar es Salaam. Vilio na huzuni vimetanda kila kona kwa wakazi wa Jimbo la Peramiho huku idadi...
Rita yaagizwa vyeti vya kuzaliwa saa 48
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Juma Homera amezindua mpango wa Wakala ya Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wa utoaji wa vyeti vya kuzaliwa ndani ya saa 48 za kazi.…
Samia holds first meeting with military Chiefs
TANGA: Tanzania’s President and Commander-in-Chief, Dr. Samia Suluhu Hassan, on Monday met senior commanders of the Tanzania People’s Defence Force (TPDF) in a closed-door session at the Air Defence Military…
Ukiachana na mazoea ya muda mrefu ya kuwaandaa na kupamba maharusi wa kike kwa ajili ya ndoa, hivi sasa mambo yamebadilika
Ukiachana na mazoea ya muda mrefu ya kuwaandaa na kupamba maharusi wa kike kwa ajili ya ndoa, hivi sasa mambo yamebadilika. Katika nyakati za sasa, hata vijana wa kiume visiwani…
Carragher ataja atakayeinyima Arsenal ubingwa EPL
Nyota wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher amemtaja mshambuliaji Phil Foden wa Manchester...
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55….DESEMBA 15, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55....DESEMBA 15, 2025
Antonio Guterres: Tanzania ni kielelezo cha amani Afrika, duniani
Kauli hiyo ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa inakuja siku chache, baada ya kadhaa za magharibi ikiwemo Marekani, kusema kwamba inatathmini upya uhusiano wake na Tanzania.
Antonio Guterres: Tanzania ni kielelezo cha amani Afrika, duniani
Kauli hiyo ya Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa inakuja siku chache, baada ya kadhaa za magharibi ikiwemo Marekani, kusema kwamba inatathmini upya uhusiano wake na Tanzania.
Wakandarasi wanawake watumia bil 45 kujenga barabara
WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameeleza kuridhishwa na ujenzi wa barabara ya Ruanda -Idiwili mkoani Songwe unaotekelezwa na wakandarasi wanawake waliopata fursa kwa maelekezo ya Rais Samia Suluhu Hassan. The…
Tributes flood in for former Yanga, TP Mazembe winger
DAR ES SALAAM: TRIBUTES have flooded in following the death of former TP Mazembe, Young Africans and Leopards A’ winger Chico Ushindi (29), who passed away on Saturday, in Lubumbashi…
#MEZAHURU:”Kuwekewa Dhamana”
#MEZAHURU:"Kuwekewa Dhamana". Tunaagalia juu ya utaratibu na haki ya kuwekewa dhamana kisheria. Upi utaratibu sahihi wa dhamana
Stars edge Egyptian club
MOROCCO: TAIFA Stars defeated Egyptian club Halas El Ho- dood SC 1-0 in an international friendly ahead of the Africa Cup of Nations (AFCON 2025), which kicks off on Sunday…
Mama wa Christophe Gleizes amwomba rais wa Algeria amsamehe mwanawe
Mama wa mwandishi wa habari wa michezo wa Ufaransa Christophe Gleizes, aliyehukumiwa kifungo cha miaka saba jela mwanzoni mwa mmwezi Desemba nchini Algeria, ametuma ombi la msamaha kwa Rais wa…
TCB drives cashless ecosystem through new initiative
DAR ES SALAAM: THE Tanzania Commercial Bank (TCB) has launched a new initiative aimed at accelerating the country’s transition to a cashless economy, reinforcing its commitment to digital financial inclusion…