Bibi kizimbani, akidaiwa kusafirisha gramu tatu za bangi
Mshtakiwa amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatatu Desemba 15, 2025 na kusomewa kesi ya jinai...
Makalla awafikia bajaji, bodaboda
IRINGA: Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla leo Jumatatu Desemba 15, 2025 ameongoza kikao cha kusikiliza kero na changamoto za bodaboda na bajaji Mkoa wa Arusha. Kikao…
Uturuki imelaani shambulio dhidi ya kambi ya UN nchini Sudan lililoua walinda amani sita
Ankara inasisitiza kuunga mkono juhudi za kutafuta suluhu la amani kwa migogoro inayoendelea nchini Sudan.
Uturuki imelaani shambulio dhidi ya kambi ya UN nchini Sudan lililoua walinda amani sita
Ankara inasisitiza kuunga mkono juhudi za kutafuta suluhu la amani kwa migogoro inayoendelea nchini Sudan.
#PichaYangSeries Kutana na MBOTE: Kigogo wa Shirika la Kijasusi la AIA lililomuajiri Mussa kwenye kasri la Mzee Maega
#PichaYangSeries Kutana na MBOTE: Kigogo wa Shirika la Kijasusi la AIA lililomuajiri Mussa kwenye kasri la Mzee Maega. Ukiachana na kuwa muajiriwa wa serikali, Mbote ana mkataba pembeni na Bisura…
Tanzania envisions generating 8,000 MW of electricity by 2030
MOROGORO: TANZANIA, is set to generate 8,000 megawatts of electricity through a mix of energy sources, including the implementation of new power generation projects to ensure a reliable power supply.…
RC Kheri: Haki ni chanzo cha amani na maendeleo
IRINGA: Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amesema umoja na mshikamano wa Watanzania, amani ya nchi na maendeleo yanayoonekana leo ni matunda ya haki. RC Kheri aliyasema hayo leo…
Baada ya shangwe za kuhitimu na picha za joho, maisha halisi huanza
Baada ya shangwe za kuhitimu na picha za joho, maisha halisi huanza. Joho la Mtaa ni mjadala unaochambua safari ya wahitimu wa vyuo vikuu wanapokutana na uhalisia wa maisha nje…
Beki Mzenji aziingiza nne vitani
WAKATI beki wa kati wa Coastal Union, Haroub Mohamed, akibakisha miezi sita katika mkataba wake na kikosi hicho cha jijini Tanga, tayari timu mbalimbali zimeanza kuiwinda saini yake zikiwamo za…
Hatma ya kiungo Mnigeria ipo kwa Maxime
UONGOZI wa Mbeya City huenda ukaachana na mpango wa kumtema kiungo Mnigeria, Paschal Onyedika Okoli katika dirisha dogo la Januari mwakani, baada ya awali nyota huyo kudaiwa hana furaha kutokana…
Noela avunja mkataba, sasa kutimkia Lithuania
BEKI kisiki wa timu ya taifa ya Wanawake ya Tanzania, Noela Luhala amevunja mkataba na klabu ya 1207 Antalya Spor ya Uturuki kwa makubaliano ya pande mbili na kwa sasa…
Jinsi ya kutunza vyakula visiharibike haraka, athari za utunzaji mbovu
Katika mazingira ya sasa, ambako gharama za maisha zimepanda na upatikanaji wa chakula umekuwa...
Kobisi atakiwa kuigiza kama mume wa Shida kwa mara ya mwisho ili waokote kwenye shughuli 😎
Kobisi atakiwa kuigiza kama mume wa Shida kwa mara ya mwisho ili waokote kwenye shughuli 😎 #KombolelaSeries #KombolelaSeason2
PM, Speaker attend Jenista Mhagama requem
SONGEA: PRIME Minister, Dr. Mwigulu Nchemba, along with Speaker of Parliament, Mussa Zungu, attended the funeral mass for the late former Peramiho Member of Parliament, Jenista Mhagama, held today, December…
Malindi upepo umekata visiwani
ULE upepo mzuri ilioanza nao Malindi katika Ligi Kuu Zanzibar (ZPL), umekata baada ya kucheza mechi saba mfululizo sawa na dakika 630 bila kuonja ushindi, huku ikielezwa tatizo ni kutimuliwa…
#HABARI: Mtu mmoja ambaye hajafahamika jina lake anayesadikiwa kuwa ni jambazi ameuawa, katika tukio la unyang’anyi wa kutumia s…
#HABARI: Mtu mmoja ambaye hajafahamika jina lake anayesadikiwa kuwa ni jambazi ameuawa, katika tukio la unyang’anyi wa kutumia silaha ndani ya Ziwa Tanganyika, katika majibizano ya risasi na Jeshi la…
Carabao Cup
Carabao Cup Mechi za hatua ya robo fainali kupigwa wiki hii. Je, timu gani kwenda hatua ya robo fainali? Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama mechi hizi #CarabaoCup #Azamtvsports
Ushahidi butu ulivyomnusuru Bukuku kifungo miaka 20 jela
Wakati wa usikilizwaji wa shauri hilo, Raphael alitiwa hatiani bila kuhudhuria mahakamani na...
Jimmy Lai akutwa na hatia katika kesi ya usalama wa taifa
Mahakama ya Hong Kong imempata na hatia tajiri anayeunga mkono demokrasia Jimmy Lai, katika kesi ya historia ya Usalama wa Taifa, hatua inayoweza kumfanya akuhumiwe kifungo cha maisha jela.
“Kwa sababu Mimi kama mama nitakwenda kukopa Kausha damu na kila siku lazima urejeshe kitu
"Kwa sababu Mimi kama mama nitakwenda kukopa Kausha damu na kila siku lazima urejeshe kitu. Haijalishi unazalisha au la. Lazima inaathiri familia nzima. Sisi kama vikoba nawashauri sana tuepukane sana…
PICHA: Matukio mkutano wa 9 mkuu majeshi ya ulinzi
TANGA: Matukio mbalimbali wakati wa Mkutano wa 9 wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na makamanda uliofanyika katika Shule ya Kijeshi ya Ulinzi wa Anga (SKUA) mkoani Tanga. Mkutano…
“….. ninaomba kila aliyeko humu ndani ashuhudie kusema Jenista ni mtu mwema….ukimshuhudia mtu mwema malaika hupeleka salamu …
"..... ninaomba kila aliyeko humu ndani ashuhudie kusema Jenista ni mtu mwema....ukimshuhudia mtu mwema malaika hupeleka salamu kwa Mungu wetu.....Mkuu wa mkoa uko hapa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi uko…
Teknolojia yatajwa kupunguza urasimu, rushwa kwenye utoaji haki
Matumizi ya teknolojia yametajwa kupunguza urasimu na rushwa katika vyombo vya utoaji haki hapa...
Urbig kuchukua nafasi ya Neuer Bayern
Nahodha wa Bayern Munich, Manuel Neuer, atakosa michezo yote iliyosalia mwaka huu baada ya kuumia msuli wa nyuma ya paja la kulia.
Australia: Majimbo yakubaliana kuhusu sheria kali za umiliki wa bunduki
Wamiliki wa bunduki wanakabiliwa na vikwazo vya idadi ya silaha wanazoweza kumiliki na ni raia wa Australia pekee wataweza kushikilia leseni, waziri mkuu wa Australia Anthony Albanese anasema. Imechapishwa: 15/12/2025…
Tanzania supports SADC efforts to restore peace in Madagascar
BUKOBA: TANZANIA has supported the efforts of the Southern Africa Development Community (SADC) to restore peace and harmony in the Republic of Madagascar, disrupted by a recent coup d’état. Tanzanian…
Tiba Asilia sasa ni uhalisia wa kimataifa
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani (WHO) leo hii, limesema kuwa tiba asilia imekuwa sehemu muhimu ya huduma za afya duniani, kwa kuwa mamilioni ya watu, hususan katika…
Ban Ki-moon: Baraza la Usalama la UN linahitaji mageuzi
Taswira inayojitokeza inakumbusha zama ambazo si za mbali sana lakini kwa kiasi kikubwa zimepita. Katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani, ndani ya ukumbi wa Baraza…
Balozi Matinyi ahimiza Watanzania kuchangamkia ufadhili wa masomo Sweden
Kwa mujibu wa Balozi Matinyi, uongozi wa SI ulimueleza kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi...
Ripoti ya viashiria ya Mkataba wa Kimataifa wa Wakimbizi yaonesha mafanikio na changamoto za wakimbizi duniani
Ripoti ya Viashiria ya Mkataba wa Kimataifa wa Wakimbizi (GCR) imebainisha hatua zilizopigwa katika kukabiliana na changamoto za wakimbizi duniani, huku ikionya kuwa kupungua kwa ufadhili na kudhoofika kwa mshikamano…
Programu za WHO zinasaidia watu kutojitenga na kujihisi wapweke
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya duniani WHO linaendelea na mfululizo wa programu ya kuiunganisha jamii au Social Connection ikiwa na lengo la kusaidia watu kutojitenga na kujihisi wapweke,…
Mkutano wa kupambana na rushwa waanza kwa wito wa kutumia Akili Unde (AI)
Mkutano mkubwa zaidi duniani wa kupambana na rushwa au ufisadi umeanza leo Desemba 15 mjini Doha nchini Qatar kwa wito wa kutumia teknolojia zinazoibuka katika mapambano dhidi ya rushwa na…
Raia 60,000 wa DRC waliofurushwa na M23 wamekimbilia Burundi ndani ya siku kumi: UNHCR/UNICEF
Baada ya shambulio la kundi lenye silaha la M23 dhidi ya mji wa Uvira katika jimbo la Kivu Kusini, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, karibu raia wa…
Ni wajibu wetu viijana kumakinika na ukiukwaji wa haki za binadamu mtandaoni: Melissa
Haki ni msingi wa Kila siku, hiyo ndio ilikuwa kaulimbiu ya siku ya Haki za binadamu mwaka huu iliyoadhimishwa wiki iliyopita. Lakini kila uchao haki za binadamu zinaendelea kukiukwa kuanzia…
Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dodoma umekanusha taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii ikionesha kipand…
Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) Mkoa wa Dodoma umekanusha taarifa inayosambaa katika mitandao ya kijamii ikionesha kipande cha barabara kilichojengwa chini ya kiwango katika eneo la Makaravati Wilayani Kongwa katika…
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55….DESEMBA 15, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NANE NA DAKIKA 55....DESEMBA 15, 2025
Gereza la Kibondo lageukia ubunifu nishati safi ya kupikia
Jeshi la Magereza wilayani Kibondo mkoani Kigoma limeanza kutumia mkaa mbadala unaotokana na...
Serikali ya Mkoa wa Mtwara imeishauri Wizara ya TAMISEMI kuangalia namna ya kutoidhinisha vibali vya uhamisho kwa watumishi wana…
Serikali ya Mkoa wa Mtwara imeishauri Wizara ya TAMISEMI kuangalia namna ya kutoidhinisha vibali vya uhamisho kwa watumishi wanaoomba kuhama vituo vyao vya kazi ndani ya mkoa huo, hatua hii…
Wananchi wa Mkoa wa Kagera wamesema ujenzi wa tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kampasi ya Kagera utafungua fursa mbalimbali…
Wananchi wa Mkoa wa Kagera wamesema ujenzi wa tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kampasi ya Kagera utafungua fursa mbalimbali za kibiashara na kuwasaidia wazazi kupunguza gharama za…
Tanzania yashitakiwa Mahakama ya Afrika Mashariki kwa kuzima Intaneti
Kupitia shauri hilo, wanaharakati uzimwaji wa intaneti nchini Tanzania ulikuwa na athari kwenye uchumi, jamii na haki za kiraia.
Tanzania yashitakiwa Mahakama ya Afrika Mashariki kwa kuzima Intaneti
Kupitia shauri hilo, wanaharakati uzimwaji wa intaneti nchini Tanzania ulikuwa na athari kwenye uchumi, jamii na haki za kiraia.
Tanzania’s youth must embrace vision 2050 opportunities
DAR ES SALAAM: TANZANIA is embarking on a bold path over the next five years, with a strategy designed to boost investment, create jobs for young people, and strengthen the…
Iran: IAEA haina haki ya kutaka kukagua vituo vilivyoshambuliwa
Mkuu wa shirika la nyuklia la Iran amekosoa wito wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA wa kufanya ukaguzi mpya kwenye maeneo ya nyuklia yaliyoshambuliwa, akisisitiza kwamba taasisi…
Majirani za Afghanistan wapinga uingiliaji wa kigeni, vikwazo
Wawakilishi maalum wa nchi majirani za Afghanistan wamepinga vikali uwepo wowote wa kijeshi wa maajinabi, wakizitaka nchi zilizopelekea kushuhudiwa mgogoro wa sasa nchini humo kuchangia ujenzi mpya bila kutumia msaada…
Morocco: Watu wasiopungua 37 wamefariki katika mafuriko ya ghafla katika mji wa pwani wa Safi
Watu thelathini na saba wamepoteza maisha siku ya Jumapili Desemba 14, huko Safi, kwenye pwani ya Atlantiki ya Morocco, kutokana na mafuriko ya ghafla kufuatia mvua kubwa iliyosababisha maji kuingia…
Mapigano FARDC-M23: Watoto 100,000 wako katika hali mbaya Kivu Kusini (UNICEF)
Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) linaripoti kwamba mamia ya maelfu ya watoto na familia wanalazimika kukimbia wakitafuta hifadhi ndani ya DRC na nje ya nchi hususan nchini…
Kundi la waasi la M23 linadaiwa kujipanga kuendelea na mashambulizi yake nje ya Mkoa wa Kivu Kusini, Mashariki mwa Jamhuri ya Ki…
Kundi la waasi la M23 linadaiwa kujipanga kuendelea na mashambulizi yake nje ya Mkoa wa Kivu Kusini, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), baada ya kudhibiti mji wa…
The 9th CDFs, Commanders meeting in pictures
TANGA: THE 9th Meeting of the Chiefs of Defence Forces and Commanders was held today, December, at the Air Defence Military School (SKUA) in Tanga. President of the United Republic…
Huyu ndio Bala Hatun, Malkia wa moyo wa Osman Bey
Bala Hatun anayefananishwa na mfano wa mwanamke shupavu katika historia ya dola ya Ottoman...