Skip to content
  • Sat. Jul 4th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Changamoto mpya inayowakabili Democrats: Je, msimamo wao kuhusu Israel ni upi? Spika Qalibaf: Kuimarisha uhusiano wa kimkakati kati ya Iran na China ni jambo la dharura Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya janga la haki za binaadamu al-Obeid Majaribio ya tiba ya Ebola yaanza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
IDHAA YA DUNIA

Changamoto mpya inayowakabili Democrats: Je, msimamo wao kuhusu Israel ni upi?

July 4, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Spika Qalibaf: Kuimarisha uhusiano wa kimkakati kati ya Iran na China ni jambo la dharura

July 4, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya janga la haki za binaadamu al-Obeid

July 4, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Majaribio ya tiba ya Ebola yaanza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

July 4, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu

July 3, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Changamoto mpya inayowakabili Democrats: Je, msimamo wao kuhusu Israel ni upi?
IDHAA YA DUNIA
Changamoto mpya inayowakabili Democrats: Je, msimamo wao kuhusu Israel ni upi?
Spika Qalibaf: Kuimarisha uhusiano wa kimkakati kati ya Iran na China ni jambo la dharura
HABARI ZA KIPEKEE
Spika Qalibaf: Kuimarisha uhusiano wa kimkakati kati ya Iran na China ni jambo la dharura
Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya janga la haki za binaadamu al-Obeid
HABARI ZA KIPEKEE
Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya janga la haki za binaadamu al-Obeid
Majaribio ya tiba ya Ebola yaanza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
HABARI ZA KIPEKEE
Majaribio ya tiba ya Ebola yaanza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Changamoto mpya inayowakabili Democrats: Je, msimamo wao kuhusu Israel ni upi?
IDHAA YA DUNIA
Changamoto mpya inayowakabili Democrats: Je, msimamo wao kuhusu Israel ni upi?
Spika Qalibaf: Kuimarisha uhusiano wa kimkakati kati ya Iran na China ni jambo la dharura
HABARI ZA KIPEKEE
Spika Qalibaf: Kuimarisha uhusiano wa kimkakati kati ya Iran na China ni jambo la dharura
Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya janga la haki za binaadamu al-Obeid
HABARI ZA KIPEKEE
Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya janga la haki za binaadamu al-Obeid
Majaribio ya tiba ya Ebola yaanza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
HABARI ZA KIPEKEE
Majaribio ya tiba ya Ebola yaanza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
DW SWAHILI

Ulinzi mkali katika miji mkubwa Tanzania

December 9, 2025 mjombazecoder

Polisi wametawanywa kwa kiwango kikubwa katika mitaa iliyo mitupu katika miji mikuu ya Tanzania siku ya Jumanne, kabla ya maandamano yaliyopangwa ambayo serikali imeyatangaza mapema kuwa ni haramu.

Uncategorized

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza limeahidi kuendelea kusimamia shughuli za maendeleo na ku…

December 9, 2025 mjombazecoder

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza limeahidi kuendelea kusimamia shughuli za maendeleo na kuongeza mapato ya halmashauri hiyo. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri…

Uncategorized

#HABARI:Stendi ya Magufuli ilivyo katika siku ya leo ya kuadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa Tanzania Desemba 09, 2025

December 9, 2025 mjombazecoder

#HABARI:Stendi ya Magufuli ilivyo katika siku ya leo ya kuadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa Tanzania Desemba 09, 2025.

TRT SWAHILI

Tanzania yaadhimisha miaka 64 ya Uhuru huku kukiwa na hofu ya usalama

December 9, 2025 mjombazecoder

Tanzania Bara kwa kawaida, kila tarehe 9 Desemba huadhimisha Siku ya Uhuru, na mwaka huu taifa hilo linatimiza miaka 64 tangu lipate uhuru wake.

Uncategorized

#HABARI: Mkoani Kagera katika Manispaa ya Bukoba hakuna kundi lolote lililojitokeza barabarani kushiriki maandamano yaliyotajwa …

December 9, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mkoani Kagera katika Manispaa ya Bukoba hakuna kundi lolote lililojitokeza barabarani kushiriki maandamano yaliyotajwa kufanywa leo siku ya Uhuru nchini kote.

MWANANCHI

Hali ilivyo mitaani leo Siku ya Uhuru

December 9, 2025 mjombazecoder

Waandaaji wa maandamano ambao hawafahamiki waliitisha tena maandamano yasiyo na ukomo ya...

Uncategorized

Rais Samia Suluhu Hassan leo Disemba 09, 2025, Tanzania ikiadhimisha miaka 64 ya uhuru wa Tanzania Bara ametangaza kuwasamehe wa…

December 9, 2025 mjombazecoder

Rais Samia Suluhu Hassan leo Disemba 09, 2025, Tanzania ikiadhimisha miaka 64 ya uhuru wa Tanzania Bara ametangaza kuwasamehe wafungwa 1,036 ambapo 22 kati yao wameachiwa huru na waliobaki 1,014…

Uncategorized

#HABARI: Hali ilivyo eneo la Mbezi mchana huu ambapo ulinzi umeimarishwa ardhini na angani helkopta ya JWTZ imeonekana ikiimaris…

December 9, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Hali ilivyo eneo la Mbezi mchana huu ambapo ulinzi umeimarishwa ardhini na angani helkopta ya JWTZ imeonekana ikiimarisha ulinzi. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma…

TRT SWAHILI

Burkina Faso yalaumu ndege ya kijeshi ya Nigeria kutua kwa dharura

December 9, 2025 mjombazecoder

Muungano wa nchi za Sahel - ulioundwa na Mali, Niger na Burkina Faso - umeeleza kuwa ndege hiyo ilibeba wanajeshi 11 na haikuruhusiwa kuruka katika anga ya Burkina Faso.

MWANANCHI

Alonso apewa Man City, Zidane, Klopp watajwa Real Madrid

December 9, 2025 mjombazecoder

Kwa mujibu wa ripoti hizo, uamuzi uliotolewa katika kikao hicho ni kwamba Alonso, aliyeanza...

Uncategorized

#HABARI: Hali ilivyo barabara ya Morogoro kuelekea Kimara jijini Dar es Salaam

December 9, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Hali ilivyo barabara ya Morogoro kuelekea Kimara jijini Dar es Salaam.

MWANANCHI

Wazalishaji wa batiki Dar wapewa mafunzo ya usalama, afya

December 9, 2025 mjombazecoder

Washiriki walijifunza mada mbalimbali ikiwemo dhana ya usalama na afya kazini, utambuzi wa...

Uncategorized

#HABARI: Hali ilivyo barabara ya Sam Nujoma jijini Dar es Salaam

December 9, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Hali ilivyo barabara ya Sam Nujoma jijini Dar es Salaam.

Uncategorized

Bisura amerudi nyumbani na kutaka Maega awaambie watoto wao kuwa yeye ndio mama yao…Watoto wamemkataa na hawataki kabisa kumsi…

December 9, 2025 mjombazecoder

Bisura amerudi nyumbani na kutaka Maega awaambie watoto wao kuwa yeye ndio mama yao...Watoto wamemkataa na hawataki kabisa kumsikia...Kumbuka Bisura pia amelipia kikundi cha kijasusi kitafute zilipo hazina za mume…

Uncategorized

Muya: Dhidi ya Yanga tumeshindwa kushikilia bomba

December 9, 2025 mjombazecoder

BAADA ya kupoteza pointi tatu dhidi ya Yanga, Kocha mkuu wa Coastal Union, Mohammed Muya amesema kipigo cha Yanga kilichangiwa na wenyewe kushindwa kushikilia bomba, japo ubora wa wachezaji wa…

Uncategorized

#HABARI: Hali ilivyo katika baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam kukionekana kukiwa na utulivu na magari machache barabaran…

December 9, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Hali ilivyo katika baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam kukionekana kukiwa na utulivu na magari machache barabarani hususan magari binafsi huku Daladala, Bajaji na Pikipiki zikiadimika.

Uncategorized

📶 Gharama ya 1GB Duniani: Nchi Zinazoongoza Kwa Ugali na Urahisi wa Data

December 9, 2025 mjombazecoder

📶 Gharama ya 1GB Duniani: Nchi Zinazoongoza Kwa Ugali na Urahisi wa Data Ripoti ya Cable.co.uk ya mwaka 2023 imeonesha tofauti kubwa ya bei ya 1GB ya intaneti duniani. Baadhi…

Uncategorized

Prisons yasaka wawili kumaliza uhaba wa mabao

December 9, 2025 mjombazecoder

TANZANIA Prisons imesema licha ya matokeo kuwa magumu, lakini inaridhishwa na kiwango bora cha wachezaji na namna wanavyojituma uwanjani, huku benchi la ufundi likianza kusaka nyota wawili wa kuongeza nguvu…

Uncategorized

Leo ni siku ya Uhuru wa Tanganyika (#Disemba 9) ambapo Wananchi wametakiwa kubaki majumbani kwao kama hakuna sababu ya kutoka nj…

December 9, 2025 mjombazecoder

Leo ni siku ya Uhuru wa Tanganyika (#Disemba 9) ambapo Wananchi wametakiwa kubaki majumbani kwao kama hakuna sababu ya kutoka nje ili kudumisha zaidi amani huku hali ya mitaa mingi…

Uncategorized

Mgunda awabana mastaa Namungo

December 9, 2025 mjombazecoder

KOCHA Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda amesema anatambua ugumu wa kuwaachia wachezaji katikati ya mashindano na kuwabana akiwapa programu maalumu ili waitumie wakiwa mapumziko kusudi wakirudi wawe timamu kimwili.

Uncategorized

#HABARI: Hari ilivyo katika kuadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa Tanzania Desemba 09, 2025 maeneo ya Salasala barabara ya kuelekea…

December 9, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Hari ilivyo katika kuadhimisha miaka 64 ya Uhuru wa Tanzania Desemba 09, 2025 maeneo ya Salasala barabara ya kuelekea Kinzudi.

Uncategorized

Soko la Kawe lililopo Manispaa ya Kinondoni, Jijini Dar es salaam limeendelea kutoa huduma zake kama kawaida ambapo Clouds imesh…

December 9, 2025 mjombazecoder

Soko la Kawe lililopo Manispaa ya Kinondoni, Jijini Dar es salaam limeendelea kutoa huduma zake kama kawaida ambapo Clouds imeshuhudia Wananchi wakiendelea kujipatia mahitaji yao mbalimbali ya nyumbani. #CloudsDigitalupdates

Uncategorized

#HABARI: Hali ilivyo eneo la Wazo jijini Dar es Salaam ambapo maduka yamefungwa barabara nyeupe

December 9, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Hali ilivyo eneo la Wazo jijini Dar es Salaam ambapo maduka yamefungwa barabara nyeupe. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo…

Uncategorized

Kadri Osman anavyotanua mbawa zake za utawala ndivyo anakutana na miamba mingine mizito

December 9, 2025 mjombazecoder

Kadri Osman anavyotanua mbawa zake za utawala ndivyo anakutana na miamba mingine mizito. Usikose leo saa 4:00 usiku ndani ya #AzamTWO

Uncategorized

Kocha Pamba Jiji akiri mambo ni magumu

December 9, 2025 mjombazecoder

KOCHA Mkuu wa Pamba Jiji, Francis Baraza amekiri Ligi Kuu Bara msimu huu, presha ni kubwa kwa nafasi iliyopo timu hiyo, huku akitoa mapumziko kwa mastaa hadi Januari 3, mwakani.

HABARI ZA KIPEKEE

Israel yalaaniwa vikali kwa kuvamia ofisi za UNRWA Quds Mashariki

December 9, 2025 mjombazecoder

Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia wakimbizi wa Kipalestina, UNRWA, limesema kwamba polisi wa Israel walivamia makao yake makuu katika Quds (Jerusalem) Mashariki mapema Jumatatu, hatua ambayo limeitaja kuwa “changamoto…

Uncategorized

HALI ILIVYO KATIKA BAADHI YA MAENEO MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM

December 9, 2025 mjombazecoder

HALI ILIVYO KATIKA BAADHI YA MAENEO MBALIMBALI JIJINI DAR ES SALAAM..

HABARI ZA KIPEKEE

Iran yalalamikia FIFA kuhusu nara ya mechi yake na Misri katika Kombe la Dunia

December 9, 2025 mjombazecoder

Shirikisho la Soka la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limewasilisha malalamiko rasmi kwa Shirikisho la Soka Duniani, FIFA, dhidi ya hatua isiyo ya kimichezo ya kamati ya maandalizi ya Kombe…

HABARI ZA KIPEKEE

Mwanaharakati: Nchi za Afrika ziige mfano wa Kenya wa kuchunguza jinai za jeshi la Uingereza

December 9, 2025 mjombazecoder

Uchunguzi wa bunge la Kenya kuhusu makosa na ukiukaji uliofanywa na Kikosi cha Mafunzo cha Jeshi la Uingereza nchini Kenya (BATUK) umeibua wito wa muda mrefu wa kuhoji mienendo ya…

HABARI ZA KIPEKEE

Rais wa DRC aituhumu Rwanda kwa kukiuka makubaliano ya ‘amani’ yaliyofikiwa Marekani

December 9, 2025 mjombazecoder

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Félix Tshisekedi, ameituhumu Rwanda kwa kukiuka makubaliano ya amani yaliyosimamiwa na Marekani na kutiwa saini wiki iliyopita mjini Washington DC.

HABARI ZA KIPEKEE

Mlipuko wa kipindupindu DRC umeua watu 1,888, wakiwemo watoto 340

December 9, 2025 mjombazecoder

Mlipuko wa kipindupindu mwaka huu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) umeleta madhara makubwa, ukiwa na jumla ya wagonjwa 64,427 tangu mwanzo wa mwaka huu 2025, na kusababisha vifo…

Uncategorized

Lady Boss ana wakati mgumu kwa sasa

December 9, 2025 mjombazecoder

Lady Boss ana wakati mgumu kwa sasa. Usipange kukosa uhondo wa Mines of Passion leo saa 3;00 usiku ndani ya #AzamONE chaneli namba 101 kwenye kisimbuzi chako cha #AzamTV

Uncategorized

Kila kitu kina gharama zake kwenye maisha

December 9, 2025 mjombazecoder

Kila kitu kina gharama zake kwenye maisha. Ndivyo ilivyo kwa ‘Single Mama’ SARAH kupitia tamthilia ya ‘THE PRICE,’ utakayoanza kuitazama kuanzia Desemba 10, 2025 kupitia #AzamTWO makao makuu ya burudani…

MWANANCHI

Rais Samia awasamehe wafungwa 1,036, wengine waachiwa huru

December 9, 2025 mjombazecoder

Idadi ya wafungwa walioachiwa huru leo, Desemba 9, 2025 inafanana na ile ya waliochiwa katika...

Uncategorized

“Wapo wananchi ambao bado wanahofu na wapo ambao nimeona wameenda sokoni wananunua vitu vya muda mrefu kwamba labda kutakuwa na …

December 9, 2025 mjombazecoder

"Wapo wananchi ambao bado wanahofu na wapo ambao nimeona wameenda sokoni wananunua vitu vya muda mrefu kwamba labda kutakuwa na 'lockdown' sisi kama kamati ya amani katika mkoa wetu tunaamini…

Uncategorized

Ni siku nyingine huko Mystery Bay, Stella anarudishwa na kujikuta akiwa na maiti na watoto wake hawajulikani walipo; mji haujapo…

December 9, 2025 mjombazecoder

Ni siku nyingine huko Mystery Bay, Stella anarudishwa na kujikuta akiwa na maiti na watoto wake hawajulikani walipo; mji haujapoa. Usikose kutazama BAY OF FIRES leo saa 4:00 usiku ndani…

Uncategorized

Hivi Camila ana hamu hata ya kujua kinachoendelea kupotea kwa mume wake?

December 9, 2025 mjombazecoder

Hivi Camila ana hamu hata ya kujua kinachoendelea kupotea kwa mume wake? Mama Juana amlalamikia mwanaye kisa kuwa na uhusiano wa karibu na Gaby. Juana inaendelea kutema burudani na leo.…

Uncategorized

Tatizo Simba lipo hapa, yapewa ujanja kujiokoa mapema

December 9, 2025 mjombazecoder

Soma zaidi hapa

Uncategorized

Tatizo Simba ipo hapa, yapewa ujanja kujiokoa mapema

December 9, 2025 mjombazecoder

Soma zaidi hapa

Uncategorized

NENO MOJA HAPA…😔😔

December 9, 2025 mjombazecoder

NENO MOJA HAPA...😔😔

Uncategorized

#HABARI: Hii ndiyo hali halisi katika maeneo ya Mwenge Stendi jijini Dar es Salaam asubuhi ya leo, Desemba 9, 2025

December 9, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Hii ndiyo hali halisi katika maeneo ya Mwenge Stendi jijini Dar es Salaam asubuhi ya leo, Desemba 9, 2025. Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - Tuma…

MWANANCHI

Kicheko bei ya petroli, dizeli zashuka Zanzibar

December 9, 2025 mjombazecoder

Amesema, lita moja ya mafuta ya ndege itauzwa kwa Sh2,376 kutoka Sh2,405 sawa na punguzo la Sh29.

Uncategorized

Pedro asimulia ya Dube, ampa kazi nzito

December 9, 2025 mjombazecoder

Soma zaidi hapa

MWANANCHI

Safari ya jasho, machozi na damu kuutafuta Uhuru wa Tanganyika

December 9, 2025 mjombazecoder

Katika karne ya 19, ardhi ya Tanganyika ilijumuisha jamii na makabila mbalimbali, wakiishi...

Benin: Baada ya mapinduzi yaliyoshindwa, Patrice Talon akutana na baraza la mawaziri

December 9, 2025 mjombazecoder

Kufuatia jaribio la mapinduzi lililoshindwa nchini Benin, mkutano usio kuwa wa kawaida wa baraza la mawaziri umefanyika siku ya Jumatatu, Desemba 8, katika ikulu ya rais, ukiongozwa na Rais Patrice…

Uncategorized

Bisura ameleta mpasuko nyumbani kwa mzee Maega…Watoto wameanza kukwaruzana…Shakei anampanga Sheiza nani wa kumsikiliza kweny…

December 9, 2025 mjombazecoder

Bisura ameleta mpasuko nyumbani kwa mzee Maega...Watoto wameanza kukwaruzana...Shakei anampanga Sheiza nani wa kumsikiliza kwenye jumba la mzee Maega. Usikose kutazama #PichaYanguSeries leo saa 1:30 usiku ndani ya #SinemaZetuHD

Uncategorized

KANISA LA UFUFUO NA UZIMA ‘KITANZINI’!

December 9, 2025 mjombazecoder

KANISA LA UFUFUO NA UZIMA 'KITANZINI'! Hili ni jengo la Kanisa la Ufufuo na Uzima pale Kibaha. Hasi sasa utepe bado upo na Kanisa hilo halijafunguliwa ingawa Waziri Mkuu Dkt.…

MWANANCHI

Tafakuri ya fursa na changamoto kwa Watanzania

December 9, 2025 mjombazecoder

Uhai wa Tanganyika (sasa Tanzania) kama Taifa huru, umetimiza miaka 64, umri ambao ndani yake...

Senegal: Waziri Mkuu Ousmane Sonko amedhihirisha malengo yake katika uchaguzi wa rais wa 2029

December 9, 2025 mjombazecoder

Kwa mara ya pili tangu PASTEF iingie madarakani mwezi Machi 2024, mkuu wa serikali ya Senegal ameonyesha nia yake katika uchaguzi ujao wa urais. “Hakuna kinachoweza kunizuia kuwa mgombea!” alitangaza…

Uncategorized

Happy #IndependecyDay #2025 #Tanzania

December 9, 2025 mjombazecoder

Happy #IndependecyDay #2025 #Tanzania @officialbakhresagroup

Posts pagination

1 … 697 698 699 … 1,032

Recent Posts

  • Changamoto mpya inayowakabili Democrats: Je, msimamo wao kuhusu Israel ni upi?
  • Spika Qalibaf: Kuimarisha uhusiano wa kimkakati kati ya Iran na China ni jambo la dharura
  • Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya janga la haki za binaadamu al-Obeid
  • Majaribio ya tiba ya Ebola yaanza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
  • Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • July 2026
  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

IDHAA YA DUNIA

Changamoto mpya inayowakabili Democrats: Je, msimamo wao kuhusu Israel ni upi?

July 4, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Spika Qalibaf: Kuimarisha uhusiano wa kimkakati kati ya Iran na China ni jambo la dharura

July 4, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Umoja wa Mataifa watahadharisha juu ya janga la haki za binaadamu al-Obeid

July 4, 2026 mjombazecoder
HABARI ZA KIPEKEE

Majaribio ya tiba ya Ebola yaanza Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

July 4, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS