Skip to content
  • Sat. Jul 4th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi Mwili wa Ekarist Mushi, mkazi wa Kitongoji cha Vikweme katika Kijiji cha Mikumi mkoani Morogoro, umehifadhiwa kwa siku tatu bila… #hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa Mamilioni ya waombolezaji pamoja na viongozi wa kidini, maafisa wa serikali na wageni wa kimataifa wanatarajiwa kuhudhuria kesho…
TUKO SWAHILI NEWS

Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu

July 3, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi

July 3, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Mwili wa Ekarist Mushi, mkazi wa Kitongoji cha Vikweme katika Kijiji cha Mikumi mkoani Morogoro, umehifadhiwa kwa siku tatu bila…

July 3, 2026 mjombazecoder

#hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa

July 3, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Mamilioni ya waombolezaji pamoja na viongozi wa kidini, maafisa wa serikali na wageni wa kimataifa wanatarajiwa kuhudhuria kesho…

July 3, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
TUKO SWAHILI NEWS
Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
TUKO SWAHILI NEWS
Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
Mwili wa Ekarist Mushi, mkazi wa Kitongoji cha Vikweme katika Kijiji cha Mikumi mkoani Morogoro, umehifadhiwa kwa siku tatu bila…
ASTV TANZANIA
Mwili wa Ekarist Mushi, mkazi wa Kitongoji cha Vikweme katika Kijiji cha Mikumi mkoani Morogoro, umehifadhiwa kwa siku tatu bila…
#hiinikubwakuliko
#Kilichoborakabisa
#hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
TUKO SWAHILI NEWS
Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
TUKO SWAHILI NEWS
Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
Mwili wa Ekarist Mushi, mkazi wa Kitongoji cha Vikweme katika Kijiji cha Mikumi mkoani Morogoro, umehifadhiwa kwa siku tatu bila…
ASTV TANZANIA
Mwili wa Ekarist Mushi, mkazi wa Kitongoji cha Vikweme katika Kijiji cha Mikumi mkoani Morogoro, umehifadhiwa kwa siku tatu bila…
#hiinikubwakuliko
#Kilichoborakabisa
#hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa

Burundi inalaani mashambulizi ya Rwanda katika ardhi yake na ‘tabia yake ya uhasama’

December 9, 2025 mjombazecoder

Burundi imelaani “tabia ya kivita” ya Rwanda siku ya Jumatatu, Desemba 8, ikiishutumu nchi hiyo kwa “kurusha mabomu” katika ardhi yake, na kuwajeruhi watu wawili. Imechapishwa: 09/12/2025 – 06:28Imehaririwa: 09/12/2025…

Uncategorized

Uongozi na wafanyakazi wa Azam Media Limited unawatakia Watanzania wote heri ya maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Tanzania Bar…

December 9, 2025 mjombazecoder

Uongozi na wafanyakazi wa Azam Media Limited unawatakia Watanzania wote heri ya maadhimisho ya miaka 64 ya Uhuru wa Tanzania Bara. #HappyIndependeceDay

TRT SWAHILI

Wachimba migodi DRC wahimiza mazungumzo ya haraka ili kuondoa mlundikano wa mauzo ya nje ya Kobalt

December 9, 2025 mjombazecoder

Chama cha wachimba madini cha DRC kimeitisha mazungumzo ya dharura na serikali ili kuainisha sheria mpya za usafirishaji wa kobalt, na kusema kwamba utata wa kisheria na vikwazo vya kutii…

Zelensky akutana na washirika wa Ulaya London kujadili mpango wa amani wa Marekani

December 9, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky almekutana na viongozi wa Uingereza, Ufaransa, na Ujerumani jijini London Jumatatu, wakionyesha uungaji mkono wa Ulaya kwa Ukraine katika kile walichokielezea kama wakati “muhimu” katika…

Kikosi kipya cha maafisa wa polisi 230 kutoka Kenya kimewasili nchini Haiti

December 9, 2025 mjombazecoder

Kenya imetuma kikosi kipya cha maafisa wa polisi 230 nchini Haiti siku ya Jumatatu ili kuimarisha ujumbe wa kimataifa ambao tayari umeombwa na mataifa mengi kusiriki, na ambao umeshindwa kudhibiti…

TRT SWAHILI

Somalia inatoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wa Sudan walioathiriwa na vita

December 9, 2025 mjombazecoder

Miongo kadhaa baada ya maelfu ya wanafunzi wa Kisomali kupata hifadhi na elimu mjini Khartoum huku taifa lao likikabiliwa na changamoto za kijamii na kisiasa, Somalia imefungua milango yake kwa…

Netanyahu kukutana na Trump kuhusu Gaza mnamo Desemba 29

December 9, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu atakutana na Rais wa Marekani Donald Trump mnamo Desemba 29 kujadili hatua zinazofuata za kusitisha mapigano Gaza, msemaji wa serikali ya Israel amesema siku…

TRT SWAHILI

Uturuki na Hungary watia saini mikataba ya usalama, mila kuimarisha ushirikiano wa kimkakati

December 9, 2025 mjombazecoder

Rais wa Uturuki Erdogan asema kuwa Ankara na Budapest wanakaribia kufikia kiwango cha biashara cha dola bilioni 6 katika mkutano wa pamoja wa wanahabari mjini Istanbul.

Tanzania imepiga marufu maandamano yoyote ya Desemba 9

December 9, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Tanzania imewaonya raia wake kutothobutu kuingia mitaani, ikisema maandamano yoyote ya Desemba 9 ni kinyume na sheria na yatachukuliwa kama jaribio la mapinduzi. Imechapishwa: 09/12/2025 – 05:20 Dakika…

Uncategorized

SUDAN IMEINGIA MKATABA NA RUSSIA WA MIAKA 25 UNAO RUHUSU RUSSIA KUJENGA BASE YA KIJESHI AMBAYO ITAKUWA NA WANAJESHI 300

December 9, 2025 mjombazecoder

SUDAN IMEINGIA MKATABA NA RUSSIA WA MIAKA 25 UNAO RUHUSU RUSSIA KUJENGA BASE YA KIJESHI AMBAYO ITAKUWA NA WANAJESHI 300. HII NDIO ITAKUWA BASE YA KWANZA YA RUSSIA BARANI AFRIKA.

TRT SWAHILI

Wanajeshi kadhaa waliuawa wakati wa kukabiliana na jaribio la mapinduzi, serikali ya Benin inasema

December 9, 2025 mjombazecoder

Watu kadhaa walifariki nchini Benin wakati wa jaribio la mapinduzi lililozuiwa mwishoni mwa juma, serikali ya nchi hiyo ya Afrika Magharibi ilitangaza Jumatatu baada ya mkutano wa dharura wa baraza…

Uncategorized

🔴#MAGAZETI: RAIS: BAKI NYUMBANI KAMA HUNA DHARURA -DESEMBA 09- 2025

December 9, 2025 mjombazecoder

🔴#MAGAZETI: RAIS: BAKI NYUMBANI KAMA HUNA DHARURA -DESEMBA 09- 2025

HABARI ZA KIPEKEE

Mwanadiplomasia: Iran iliitia Israel hasara ‘kubwa na iliyoenea’ wakati wa Vita vya Siku 12

December 9, 2025 mjombazecoder

Mwanadiplomasia mwandamizi wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu iliusababishia utawala wa kizayuni wa Israel uharibifu 'mkubwa na ulioenea' wakati wa uvamizi wake uliofanya mwezi Juni dhidi ya Iran kwa uungaji…

Uncategorized

Kuanzisha kituo maalum cha kusaidia vijana kuanzisha miradi ya uwekezaji Je

December 9, 2025 mjombazecoder

Kuanzisha kituo maalum cha kusaidia vijana kuanzisha miradi ya uwekezaji Je. kutaongeza motisha kwa vijana kuwa wabunifu zaidi?

DW SWAHILI

Zelensky: Hatuwezi kamwe kuiachia Urusi ardhi yetu

December 9, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema Ukraine haina haki ya kisheria au kimaadili ya kuikabidhi ardhi yake kwa Urusi chini ya makubaliano yoyote yenye lengo la kukomesha uvamizi wa karibu…

DW SWAHILI

M23 yakaribia Uvira, wanajeshi wa Kongo wakimbilia Burundi

December 9, 2025 mjombazecoder

Waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wanaendelea kusonga mbele katika uwanja wa mapambano huko mashariki mwa Kongo na kukaribia kuchukua udhibiti wa mji wa Uvira unaopakana na nchi jirani…

DW SWAHILI

Zelensky akutana na washirika wake wa Ulaya mjini London

December 9, 2025 mjombazecoder

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amefanya Jumatatu mazungumzo na washirika wake wa Ulaya mjini London na kujadili namna ya kuboresha mpango wa amani uliopendekezwa na Marekani unaolenga kumaliza vita vya…

DW SWAHILI

Tanzania yapiga marufuku maandamano ya Desemba 9

December 9, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Tanzania imeonya kwamba maandamano yaliyopangwa kufanyika Jumanne ni kinyume cha sheria na yatachukuliwa kama jaribio la mapinduzi, huku ikiwataka wananchi kusalia majumbani mwao.

DW SWAHILI

Netanyahu kukutana na Trump Desemba 29 kuhusu Gaza

December 9, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu atafanya mazungumzo na Rais wa Marekani Donald Trump mnamo Desemba 29 ili kujadili hatua zinazofuata katika mpango wa amani kuhusu Gaza unaosimamiwa na Marekani.

DW SWAHILI

Kikosi kipya cha Kenya chenye Polisi 230 chawasili Haiti

December 9, 2025 mjombazecoder

Polisi 230 wa Kenya wamewasili Haiti Jumatatu jioni, kikiwa ni kikosi cha kwanza cha kigeni tangu Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipoidhinisha kutanua kikosi kilichopo na kinachopambana na…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI…DESEMBA 09, 2025

December 9, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI...DESEMBA 09, 2025

HABARI ZA KIPEKEE

Idadi ya waliokufa kutokana na hujuma ya RSF Kusini mwa Kordofan, Sudan, yafikia 114

December 9, 2025 mjombazecoder

Mamlaka za Sudan katika jimbo la Kordofan Kusini zimethibitisha maafa makubwa: shambulio la ndege isiyo na rubani la waasi wa RSF lililotokea Alhamisi, Desemba 4, hadi sasa limeua watu 114…

HABARI ZA KIPEKEE

Ripoti: Wapalestina wasiopungua 110 wamefariki katika magereza ya Israel tangu Ben-Gvir achukue wadhifa

December 9, 2025 mjombazecoder

Ripoti mpya imebainisha kuwa angalau Wapalestina 110 wamepoteza maisha ndani ya magereza ya utawala haramu wa Israel tangu Itamar Ben-Gvir, kinara mwenye misimamo mikali wa chama cha 'Nguvu ya Mayahudi'…

HABARI ZA KIPEKEE

Tinubu: Jeshi la Nigeria ‘lililinda’ Benin kufuatia jaribio la mapinduzi

December 9, 2025 mjombazecoder

Rais wa Nigeria, Bola Tinubu, amesema vikosi vya ulinzi vya nchi yake vilisaidia kulinda taifa jirani la Benin baada ya jaribio la mapinduzi ya kijeshi Jumapili.

HABARI ZA KIPEKEE

Ukosefu mkubwa maji unazidi kusambaa kusini mwa Somalia

December 9, 2025 mjombazecoder

Vyanzo muhimu vya maji kusini mwa Somalia vinakauka kwa kasi huku ukame ukiongezeka, na kusababisha uhaba mkubwa kwa mamia ya maelfu ya watu.

HABARI ZA KIPEKEE

Jumanne, tarehe 9 Disemba, 2025

December 9, 2025 mjombazecoder

Jumanne tarehe 18 Jamadithani 1447 Hijria sawa na Disemba 9 mwaka 2025.

HABARI ZA KIPEKEE

Ni kwa kiwango gani hatua ya Israel ya kutumia watu wenye ushawishi inaweza kubadilisha simulizi ya kimataifa

December 9, 2025 mjombazecoder

Kufuatia kuchukizwa sana kwa walimwengu na utawala wa Kizayuni, hasa baada ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo huko Palestina, baraza la mawaziri la utawala huo limetenga bajeti ya…

DW SWAHILI

09.12.2025 Matangazo ya Jioni

December 9, 2025 mjombazecoder

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Umoja wa Mataifa unasema watu 200,000 wamekimbia makwao mashariki mwa Congo katika siku za hivi karibuni, wakati waasi wa M23 wanaodaiwa kuungwa mkono na Rwanda…

DW SWAHILI

09.12.2025 Matangazo ya Mchana

December 9, 2025 mjombazecoder

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Nchini Tanzania katika maeneo mbali mbali ya taifa hilo hali inaripotiwa kuwa kimya / Waziri wa mambo ya kigeni wa Burundi amesema nchi yake haitoendelea…

DW SWAHILI

09.12.2025 Matangazo ya Asubuhi

December 9, 2025 mjombazecoder

Miongoni mwa taarifa zilizoandaliwa ni: Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amefanya mazungumzo na washirika wake wa Ulaya mjini London / Sudan inaingia katika hatua hatari zaidi ya vita vyake vya…

DW SWAHILI

09.12.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

December 9, 2025 mjombazecoder

Waasi wa M23 waukaribia mji wa Uvira huku wanajeshi wa Kongo wakikimbilia Burundi. Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky akutana na washirika wake wa Ulaya mjini London. Tanzania yapiga marufuku maandamano…

Uncategorized

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

December 8, 2025 mjombazecoder

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA MAWASILIANO YA RAISI, IKULU Dodoma 08 Desemba, 2025 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI (KWA KUTOLEWA MARA MOJA) TANZANIA NA MAREKANI ZASONGA MBELE KUKAMILISHA…

Uncategorized

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt

December 8, 2025 mjombazecoder

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na Kaimu Balozi wa Marekani nchini Tanzania, Andrew Lentz, Ikulu ya Chamwino kujadili ushirikiano wa pande mbili na…

Uncategorized

Karibu kwenye msimu mpya Ottoman 🙌

December 8, 2025 mjombazecoder

Karibu kwenye msimu mpya Ottoman 🙌

Uncategorized

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 08 DESEMBA 2025

December 8, 2025 mjombazecoder

🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 08 DESEMBA 2025

TRT SWAHILI

Erdogan apongeza hatua iliyopigwa na Syria baada ya Assad, aahidi kuisaidia kujenga umoja wa kitaifa

December 8, 2025 mjombazecoder

Rais Erdogan wa Uturuki ameonesha utayari wa nchi yake kuilinda Syria.

Uncategorized

Photos from East Africa TV plus+’s post

December 8, 2025 mjombazecoder

KUTOKA MITANDAONI Taarifa kwa wanaojua kingereza watutafsirie...

Uncategorized

Viongozi wa Kata ya Chanika,wilaya ya Handeni mkoani Tanga wakiongozwa na Diwani wa Kata hiyo, Habibu Mbota, wameunda rasmi Kama…

December 8, 2025 mjombazecoder

Viongozi wa Kata ya Chanika,wilaya ya Handeni mkoani Tanga wakiongozwa na Diwani wa Kata hiyo, Habibu Mbota, wameunda rasmi Kamati ya Amani ngazi ya kata na mitaa, lengo likiwa ni…

Uncategorized

Serikali ya Tanzania na Marekani zimefikia hatua ya mwisho ya majadiliano, ili kutia saini na kuanza rasmi utekelezaji wa Mradi …

December 8, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Tanzania na Marekani zimefikia hatua ya mwisho ya majadiliano, ili kutia saini na kuanza rasmi utekelezaji wa Mradi wa Gesi Asilia ya Kimiminika (LNG) wenye thamani ya Dola…

Uncategorized

Wataalamu kutoka Taasisi ya Udhibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) wamewashauuri wakulima nchini kununua mbegu zilizofanyiwa u…

December 8, 2025 mjombazecoder

Wataalamu kutoka Taasisi ya Udhibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) wamewashauuri wakulima nchini kununua mbegu zilizofanyiwa utafiti na kuhakikiwa ili kuepuka kupata hasara kwenye mavuno yao. Joyce Mwakalinga amewashuhudia wataalamu…

Uncategorized

🥹🙏🏽

December 8, 2025 mjombazecoder

🥹🙏🏽

TRT SWAHILI

Uganda: Jeshi la Polisi kuchunguza madai ya askari wake kuwachapa fimbo wapinzani

December 8, 2025 mjombazecoder

Mara kwa mara, chama cha upinzani cha Bobi Wine kijulikanacho kama National Unity Platform, kimeituhumu serikali ya Museveni kwa kuhusika na utekaji na utesaji wa wanachama wake.

Uncategorized

Ni kwa namna gani unaweza kujifunza kuwa mvumilivu?

December 8, 2025 mjombazecoder

Ni kwa namna gani unaweza kujifunza kuwa mvumilivu? Unaweza kuchangia mada zetu kila Jumatatu hadi Ijumaa kupitia kundi la WhatsApp 👉 065 229 1057 Hosted by @missloloh_ @djfantastic255 #TheSparkShow

Uncategorized

🥹

December 8, 2025 mjombazecoder

🥹

Uncategorized

“Kwenye hili suala la mwisho wa mwaka, kila mwaka huwa lipo, mahitaji makubwa ya usafiri…inapotokea dharura kama hii ya wasafi…

December 8, 2025 mjombazecoder

"Kwenye hili suala la mwisho wa mwaka, kila mwaka huwa lipo, mahitaji makubwa ya usafiri...inapotokea dharura kama hii ya wasafiri kuwa wengi... tunatoa vibali vya muda watu wanaomba wenye magari…

Uncategorized

“Katika Mafanikio Yangu Alikiba Anahusika Asilimia 60”-Amesema Niffer

December 8, 2025 mjombazecoder

"Katika Mafanikio Yangu Alikiba Anahusika Asilimia 60"-Amesema Niffer.

Uncategorized

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu ametembelea kambi maalumu iliyoandaliwa na Ubalozi wa India nchini kwa lengo la ku…

December 8, 2025 mjombazecoder

Spika wa Bunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu ametembelea kambi maalumu iliyoandaliwa na Ubalozi wa India nchini kwa lengo la kutoa viungo mbadala kwa wahitaji 600. Viungo hivyo vitakayogharimu Dola…

Uncategorized

Mussa amewasili Lushoto na kupokelewa na mwenyeji wake Baba Hamida, huku amepewa utambulisho mpya kama Sheiza pasina kujua kuwa …

December 8, 2025 mjombazecoder

Mussa amewasili Lushoto na kupokelewa na mwenyeji wake Baba Hamida, huku amepewa utambulisho mpya kama Sheiza pasina kujua kuwa ni jasusi aliyekuja kumpeleleza Mzee Maega ambaye anadhani ni msaidizi wa…

TRT SWAHILI

Rais wa DRC Felix Tshisekedi aituhumu Rwanda kwa kukiuka makubaliano ya amani

December 8, 2025 mjombazecoder

Disemba 4, 2025, wawili hao walitia saini mkataba wa ‘kihistoria’ mbele ya Rais Donald Trump wa Marekani.

Uncategorized

🔴DAKIKA 45 NAMKURUGENZI MKUU LATRA, CPA DKT

December 8, 2025 mjombazecoder

🔴DAKIKA 45 NAMKURUGENZI MKUU LATRA, CPA DKT. HABIBU SULUO, DESEMBA 08, 2025

Posts pagination

1 … 698 699 700 … 1,032

Recent Posts

  • Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
  • Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
  • Mwili wa Ekarist Mushi, mkazi wa Kitongoji cha Vikweme katika Kijiji cha Mikumi mkoani Morogoro, umehifadhiwa kwa siku tatu bila…
  • #hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa
  • Mamilioni ya waombolezaji pamoja na viongozi wa kidini, maafisa wa serikali na wageni wa kimataifa wanatarajiwa kuhudhuria kesho…

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • July 2026
  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

TUKO SWAHILI NEWS

Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu

July 3, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi

July 3, 2026 mjombazecoder
ASTV TANZANIA

Mwili wa Ekarist Mushi, mkazi wa Kitongoji cha Vikweme katika Kijiji cha Mikumi mkoani Morogoro, umehifadhiwa kwa siku tatu bila…

July 3, 2026 mjombazecoder

#hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa

July 3, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS