Skip to content
  • Sat. Jul 4th, 2026

  • CONTACT US
  • TERMS AND CONDITIONS
  • PRIVACY POLICY
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE

Latest Post

Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi #hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa Dar es Salaam Watanzania Wanne kushuhudia mechi ya Mexico na England kupitia promosheni ya Mixx
TUKO SWAHILI NEWS

Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu

July 3, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi

July 3, 2026 mjombazecoder

#hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa

July 3, 2026 mjombazecoder

Dar es Salaam

July 3, 2026 mjombazecoder
MWANANCHI

Watanzania Wanne kushuhudia mechi ya Mexico na England kupitia promosheni ya Mixx

July 3, 2026 mjombazecoder
  • Latest
  • Popular
  • Trending
Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
TUKO SWAHILI NEWS
Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
TUKO SWAHILI NEWS
Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
#hiinikubwakuliko
#Kilichoborakabisa
#hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa
Dar es Salaam
Dar es Salaam
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
LTV ENGLISH NEWS
Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
HABARILEO
Samia kutunukiwa shahada ya heshima Nigeria
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Klabu ya Fountain Gate FC imethibitisha rasmi kumteua Fred Felix Minziro “Majeshi” kuwa Kocha Mkuu mpya, akichukua nafasi ya Moh…
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
HABARI ZA KIPEKEE
Trump anakabiliwa na chaguzi ‘mbaya’ au ‘mbaya zaidi’ kuhusu Iran: Jenerali wa IRGC
Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
TUKO SWAHILI NEWS
Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
TUKO SWAHILI NEWS
Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
#hiinikubwakuliko
#Kilichoborakabisa
#hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa
Dar es Salaam
Dar es Salaam
Uncategorized

Siku ni leo

December 8, 2025 mjombazecoder

Siku ni leo. Karibu sana mjengoni @pichayanguseries 🔥😍 Jumatatu - Alhamisi saa 1:30 Usiku chaneli namba 106 #SinemaZetuHD

Benin: ‘Hali imedhibitiwa,’ anasema Rais Talon baada ya jaribio la mapinduzi

December 8, 2025 mjombazecoder

Nchini Benin, kufuatia tangazo la jeshi kwamba “ameondolewa madarakani,” Rais Patrice Talon amehutubia taifa Jumapili, Desemba 7, 2025, kwenye televisheni ya kitaifa. Amesema kwamba Imechapishwa: 08/12/2025 – 05:11Imehaririwa: 08/12/2025 –…

TRT SWAHILI

Serikali ya Nigeria yahakikisha kuachiliwa kwa watoto 100 wa shule waliotekwa nyara

December 8, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Nigeria imefanikisha kuachiliwa kwa watoto 100 wa shule ambao walitekwa nyara mwezi uliopita katika jimbo la Niger, kituo cha utangazaji cha Channels Televisheni kiliripoti Jumapili.

MWANANCHI

Wakazi Dar na kilio cha ulinzi shirikishi

December 8, 2025 mjombazecoder

Wakati Serikali za mitaa zikisisitiza ushiriki wa wananchi katika kulinda makazi yao, baadhi ya...

Uncategorized

🔴KUMEKUCHA: MITA JANJA ZA TANESCO…DESEMBA 08, 2025

December 8, 2025 mjombazecoder

🔴KUMEKUCHA: MITA JANJA ZA TANESCO...DESEMBA 08, 2025

DW SWAHILI

Mapigano makali yaendelea kushuhudiwa huko Uvira

December 8, 2025 mjombazecoder

Mapigano makali yameendelea kushuhudiwa huko Uvira mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambapo waasi wa M23 wanaoungwa mkono na Rwanda wanakabiliana na jeshi la Kongo linaloungwa mkono na wanajeshi…

DW SWAHILI

Viongozi wa nchi tatu za Ulaya kukutana na Zelensky

December 8, 2025 mjombazecoder

Viongozi wa nchi tatu za Ulaya wanakutana Jumatatu mjini London na rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky ili kuujadili mpango wa amani uliopendekezwa na Marekani.

DW SWAHILI

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani ziarani China

December 8, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani Johann Wadephul amewasili China Jumatatu kwa ziara yake ya kwanza nchini humo.

TRT SWAHILI

Benin yawakamata watu 14 kwa jaribio la mapinduzi

December 8, 2025 mjombazecoder

Watu 14 wamekamatwa kuhusiana na jaribio la mapinduzi lililofeli nchini Benin siku ya Jumapili, msemaji wa serikali ya taifa hilo la Afrika Magharibi aliambia Reuters.

Uncategorized

#KIPIMAJOTO: Visima vya DAWASA kutatua Kero ya upatikanaji wa maji katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani nyakati za kiangazi

December 8, 2025 mjombazecoder

#KIPIMAJOTO: Visima vya DAWASA kutatua Kero ya upatikanaji wa maji katika mikoa ya Dar es Salaam na Pwani nyakati za kiangazi. Je, iwezeshwe Kifedha ivichimbe vingi zaidi ili Kero hiyo…

DW SWAHILI

Nigeria yawezesha kuachiwa huru wanafunzi 100 waliotekwa

December 8, 2025 mjombazecoder

Serikali ya Nigeria imewezesha mpango wa kuachiliwa huru kwa wanafunzi 100 waliotekwa nyara na watu wenye silaha katika shule ya Kikatoliki mwezi uliopita.

HABARI ZA KIPEKEE

Iran: Mkakati mpya wa Usalama wa Taifa wa Marekani unaandikwa hasa kwa ajili ya Israel

December 8, 2025 mjombazecoder

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema Mkakati mpya wa Usalama wa Taifa wa Marekani (NSS) unaobainisha misingi na vipaumbele vya Washington katika…

HABARI ZA KIPEKEE

AU, ECOWAS zalaani jaribio la mapinduzi Benin; zasema zinaiunga mkono serikali

December 8, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Afrika (AU) na Jumuiya ya Uchumi ya Nchi za Afrika Magharibi (ECOWAS) zimelaani jaribio la mapinduzi nchini Benin siku ya Jumapili, na kueleza kuwa zinaiunga mkono serikali katika…

DW SWAHILI

Mamlaka ya Benin yazima jaribio la mapinduzi ya kijeshi

December 8, 2025 mjombazecoder

Mamlaka ya Benin imetangaza Jumapili kuzima jaribio la mapinduzi ya kijeshi lililolenga kumuondoa madarakani Rais Patrice Talon. Umoja wa Afrika umelaani jaribio hilo huku Jumuiya ya ECOWAS ikituma msaada wa…

HABARI ZA KIPEKEE

AU yalaani shambulio la RSF lililoua zaidi ya raia 100 katika mji wa Kalogi, kusini mwa Sudan

December 8, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Afrika, AU umelaani vikali mashambulizi ya ndege zisizo na rubani yaliyofanywa na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka, RSF yaliyoua makumi ya watu wakiwemo watoto katika mji wa Kalogi…

HABARI ZA KIPEKEE

HAMAS: Tuko tayari kukabidhi silaha kwa utawala wa Wapalestina ikiwa Israel itaondoka kikamilifu Ghaza

December 8, 2025 mjombazecoder

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema, iko tayari kukabidhi silaha zake katika Ukanda wa Ghaza kwa mamlaka ya utawala ya Wapalestina itakayosimamia uendeshaji wa eneo hilo, kwa…

HABARI ZA KIPEKEE

Qatar yakanusha kuisaidia kifedha HAMAS, yasema mawasiliano yao yalianza miaka 13 nyuma

December 8, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar amesema mawasiliano baina ya Doha na harakati ya Hamas yalianza miaka 10 hadi 13 iliyopita kwa lengo la kurahisisha juhudi za kusitisha mapigano…

HABARI ZA KIPEKEE

Kwa nini Wamarekani wengi wanapinga hatua ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran?

December 8, 2025 mjombazecoder

Takwimu za hivi karibuni zinaonyesha kuwa idadi kubwa ya raia wa Marekani wanapinga mashambulizi ya kijeshi yaliyofanywa na serikali ya Rais Donald Trump dhidi ya Iran.

HABARI ZA KIPEKEE

Jumatatu, 08 Disemba, 2025

December 8, 2025 mjombazecoder

Leo ni Jumatatu, 17 Mfunguo Tisa Jamadithani 1447 Hijria sawa na 08 Disemba, 2025.

DW SWAHILI

08.12.2025 Matangazo ya Mchana

December 8, 2025 mjombazecoder

Syria yaadhimisha mwaka mmoja tangu Assad kuondolewa madarakani+++Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer anatarajiwa leo kukutana na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky mjini London kujadili kuhusu mpango wa amani kwa…

DW SWAHILI

08.12.2025: Taarifa ya Habari ya Asubuhi

December 8, 2025 mjombazecoder

Mamlaka ya Benin yatangaza kuzima jaribio la mapinduzi ya kijeshi. Viongozi wa Uingereza, Ujerumani na Ufaransa kukutana Jumatatu na rais wa Ukraine mjini London. Mapigano makali yaendelea kushuhudiwa huko Uvira,…

Uncategorized

NUKUU MWALIMU NYERERE:-“MAREKANI HAWA NI HAWAHAWA AU NI WENGINE MIMI MBONA BADO NI YULEYULE

December 7, 2025 mjombazecoder

NUKUU MWALIMU NYERERE:-"MAREKANI HAWA NI HAWAHAWA AU NI WENGINE MIMI MBONA BADO NI YULEYULE... NB:-Kama huja follow akaunti yetu follow ili uweze kupata habari nyingi zaidi pia usisahau ku bonyeza…

Uncategorized

Taarifa kutoka kwa ubalozi wa Urusi nchini Tanzania 👇👇👇👇

December 7, 2025 mjombazecoder

Taarifa kutoka kwa ubalozi wa Urusi nchini Tanzania 👇👇👇👇 Habari ya Sweden kuelekeza msaada wake kutoka nchi kadhaa za Afrika zikiwemo Tanzania kwenye Ukraine inaonyesha wazi kwamba, kwa baadhi ya…

Uncategorized

HAPA UPEWE KINYWAJI GANI..,😀

December 7, 2025 mjombazecoder

HAPA UPEWE KINYWAJI GANI..,😀

Uncategorized

Dube aing’arisha Yanga ikisogelea kileleni

December 7, 2025 mjombazecoder

BAADA ya kuanza kwa kusuasua katika Ligi Kuu Bara msimu huu, sasa Prince Dube amefunga mfululuzo baada ya leo Desemba 7, 2025 kuweka kambani bao moja lililoipa Yanga ushindi wa…

Uncategorized

Nyerere katika ujamaa wake na falsafa ya kikomunia au kikomunist aliweza kuwa na ushawishi mkubwa kwa warusi na wachina , na Mre…

December 7, 2025 mjombazecoder

Nyerere katika ujamaa wake na falsafa ya kikomunia au kikomunist aliweza kuwa na ushawishi mkubwa kwa warusi na wachina , na Mrekani aliijua nguvu ya nyerere na Tanzania ambaye alikuwa…

Uncategorized

Tanzania ndio key master wa siasa za maziwa makuu kwa miaka 40 sasa, ila kinachoonekana sasa nafasi hiyo imechukuliwa na Kenya

December 7, 2025 mjombazecoder

Tanzania ndio key master wa siasa za maziwa makuu kwa miaka 40 sasa, ila kinachoonekana sasa nafasi hiyo imechukuliwa na Kenya. Kwa sasa eneo la Afrika Mashariki, Marekani kaamua kuipa…

MWANANCHI

Aweso: Maji ya Ruvu yawe kwa matumizi ya binadamu pekee

December 7, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Maji, Jumaa Aweso, amepiga marufuku matumizi ya maji yanayotoka Mto Ruvu kwa shughuli...

Uncategorized

TAARIFA

December 7, 2025 mjombazecoder

TAARIFA

MWANANCHI

Polisi yakana kuwateka viongozi Chadema Songwe, yadai inawashikilia kwa vitendo vya uhalifu

December 7, 2025 mjombazecoder

Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe limekanusha madai ya kutekwa kwa Mwenyekiti wa Chadema mkoani...

MWANANCHI

Serikali yachunguza ubadhirifu wa Sh2.5 bilioni Temesa

December 7, 2025 mjombazecoder

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema wizara imebaini tuhuma za ubadhirifu wa Sh2.5 bilioni...

MWANANCHI

Hekta 170 za Mlima Hanang zaungua moto

December 7, 2025 mjombazecoder

Hekta 170 za hifadhi ya mazingira asili ya mlima Hanang mkoani Manyara, zimeungua moto uliodumu...

Uncategorized

” Hata Urusi wana maslahi yao nchini kwetu kwa sababu hakuna biashara bila maslahi lakini tumekubali kufanya biashara na Urusi k…

December 7, 2025 mjombazecoder

" Hata Urusi wana maslahi yao nchini kwetu kwa sababu hakuna biashara bila maslahi lakini tumekubali kufanya biashara na Urusi kwa sababu wanazingatia maslahi yetu zaidi tofauti na wengine wanaozingatia…

Uncategorized

🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI DESEMBA 07, 2025 -DAWASA YATAKIWA KUGAWA MAJI KIDOGO YANAYOPATIKANA

December 7, 2025 mjombazecoder

🔴TAARIFA YA HABARI YA SAA MBILI DESEMBA 07, 2025 -DAWASA YATAKIWA KUGAWA MAJI KIDOGO YANAYOPATIKANA

MWANANCHI

Jengo la vifaa vya kilimo lazinduliwa Kilolo, Wakulima wahimizwa kilimo tija

December 7, 2025 mjombazecoder

Katika mchakato wa kuongeza tija kwa wakulima na kuhamasisha matumizi ya teknolojia katika...

Uncategorized

KANISA KATOLIKI

December 7, 2025 mjombazecoder

KANISA KATOLIKI

Uncategorized

#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Bw

December 7, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Bw. Hamadi Mbega, amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo, Bw. Abdallah Nandonde, pamoja na wataalaam wengine kwa kusimamia vyema zoezi la ukusanyaji…

Uncategorized

Matola aulizwa maswali mazito, Mnyama akipasuka kwa Azam FC

December 7, 2025 mjombazecoder

Mechi bora ya Ligi Kuu Bara imepigwa leo kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam na Azam kumaliza ubabe wa Simba kwa kuichapa mabao 2-0.

Uncategorized

Azam FC yaifumua Simba Kwa Mkapa

December 7, 2025 mjombazecoder

Mechi bora ya Ligi Kuu Bara imepigwa leo kwenye Uwanja wa Mkapa jijini Dar es Salaam na Azam kumaliza ubabe wa Simba kwa kuichapa mabao 2-0.

Uncategorized

“Walimuua Sankara kisha wakaweka Rais wanayemtaka wao kwa maslahi yao, baada ya kumuondoa Rais waliyemtaka wao sasa wanajaribu k…

December 7, 2025 mjombazecoder

"Walimuua Sankara kisha wakaweka Rais wanayemtaka wao kwa maslahi yao, baada ya kumuondoa Rais waliyemtaka wao sasa wanajaribu kutugawa kupitia sisi kwa sisi kupitia vikundi vya uasi, wanatufanya tupigane sisi…

MWANANCHI

Azam yaifumua Simba

December 7, 2025 mjombazecoder

Mechi bora ya Ligi Kuu Bara imepigwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam...

Uncategorized

#HABARI: Kundi lenye Tembo zaidi ya 15 wamevamia hekari zaidi 55 na kula pia kuharibu zaidi ya hekari 3 za miti ya mikorosho, m…

December 7, 2025 mjombazecoder

#HABARI: Kundi lenye Tembo zaidi ya 15 wamevamia hekari zaidi 55 na kula pia kuharibu zaidi ya hekari 3 za miti ya mikorosho, mahindi na miti ya matunda, kwenye kilimo…

Uncategorized

Katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, viongozi wapya wa kisiasa wameweka msisitizo katika usimamizi wa mapato,…

December 7, 2025 mjombazecoder

Katika Halmashauri ya Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, viongozi wapya wa kisiasa wameweka msisitizo katika usimamizi wa mapato, uimarishaji wa huduma kwa wananchi na kuboresha uchumi wa kaya, muda mfupi…

Uncategorized

… Marekani kwenye ujumbe wao…

December 7, 2025 mjombazecoder

... Marekani kwenye ujumbe wao wanasema kuwa vitendo vya hivi karibuni vya serikali ya Rais Samia vimeweka hatarini maslahi yake ... Wengi tunafikiri kuwa ni yale yaliojiri October 29 ?…

Uncategorized

🔴HAPA NA PALE KUTOKA KATAVI – DESEMBA 07, 2025 –

December 7, 2025 mjombazecoder

🔴HAPA NA PALE KUTOKA KATAVI - DESEMBA 07, 2025 -

MWANANCHI

Bodaboda wataka polisi imwachie diwani mstaafu Chadema

December 7, 2025 mjombazecoder

Vijana wa Kata ya Kiwira wilayani Rungwe wamekemea vitendo vya uvunjifu wa amani, huku...

MWANANCHI

Watumishi legelegewaonywa wilayani hai

December 7, 2025 mjombazecoder

Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, wametakiwa kuweka mikakati...

DW SWAHILI

Umoja wa Afrika walaani jaribio la mapinduzi nchini Benin

December 7, 2025 mjombazecoder

Umoja wa Afrika umelaani vikali jaribio la mapinduzi ya kijeshi nchini Benin na ukawataka wanajeshi kurejea katika kambi zao. Hii ni kulingana na taarifa iliyotoa leo.

DW SWAHILI

Netanyahu atarajia kuingia awamu ya pili ya makubaliano

December 7, 2025 mjombazecoder

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema leo kwamba anatazamia kuingia katika awamu ya pili ya mpango wa kusitisha mapigano Gaza unaofadhiliwa na Marekani "hivi karibuni".

DW SWAHILI

UN: Kipindi cha mpito cha Syria bado ni tete

December 7, 2025 mjombazecoder

Jopo la wachunguzi wa Umoja wa Mataifa limesema leo kuwa kipindi cha mpito cha Syria bado ni tete, mwaka mmoja baada ya kupinduliwa kwa Bashar al-Assad, na kwamba hali ya…

Posts pagination

1 … 703 704 705 … 1,032

Recent Posts

  • Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu
  • Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi
  • #hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa
  • Dar es Salaam
  • Watanzania Wanne kushuhudia mechi ya Mexico na England kupitia promosheni ya Mixx

Recent Comments

  1. EdithUrili on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  2. Nancyurike on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  3. ChaelLah on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  4. TrickSit on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit
  5. Larryverse on Cameroon separatists to pause fighting ahead of Pope visit

Archives

  • July 2026
  • June 2026
  • May 2026
  • April 2026
  • March 2026
  • February 2026
  • January 2026
  • December 2025
  • November 2025
  • October 2025
  • September 2025
  • August 2025
  • June 2025
  • August 2024
  • July 2024
  • May 2023
  • June 2016

Categories

  • ASTV TANZANIA
  • CRI SWAHILI
  • DW SWAHILI
  • HABARI ZA KIPEKEE
  • HABARILEO
  • IDHAA YA DUNIA
  • ITVBONGO
  • LTV ENGLISH NEWS
  • MAGAZETI
  • MWANANCHI
  • MWANASPOTI
  • RFI SWAHILI
  • TRT SWAHILI
  • TUKO SWAHILI NEWS
  • TZSPORTS
  • Uncategorized

You missed

TUKO SWAHILI NEWS

Linda Mwananchi wathibitisha Gachagua hawamuachi kamwe, wasema kumng’oa Ruto ni juhudi ya kila mtu

July 3, 2026 mjombazecoder
TUKO SWAHILI NEWS

Ndindi Nyoro athibitisha kuhama UDA, asema anajuta kumuunga mkono Ruto 2022 sasa aomba radhi

July 3, 2026 mjombazecoder

#hiinikubwakuliko #Kilichoborakabisa

July 3, 2026 mjombazecoder

Dar es Salaam

July 3, 2026 mjombazecoder

Proudly powered by WordPress | Theme: Newsup by Themeansar.

  • Home
  • CONTACT US
  • LIGI KUU TANZANIA LIVE
  • PRIVACY POLICY
  • TERMS AND CONDITIONS