Jaji Othman: Tume itajitahidi kutaka ushirikiano wa wote
Mwenyekiti wa tume iliyoteuliwa na rais wa Tanzania, kuchunguza yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29 nchini humo, Jaji Mstaafu Chande Othman amesema atajitahidi kutaka ushirikiano na wadau…
Zanzibar lures more investment in the blue economy, tourism sectors
ZANZIBAR: The government of Zanzibar has affirmed its commitment to continue inviting more investors, as it still has numerous investment opportunities that require collaboration with stakeholders and international institutions. The…
Afrika yadai fidia kwa waathirika wa Ukoloni
VIONGOZI wa Afrika wamekusanyika mjini Algiers, Algeria, kuhimiza kuwa uhalifu wa enzi za ukoloni unapaswa kutambulika, kuhalalishwa kama jinai na kushughulikiwa kupitia malipo ya fidia. The post Afrika yadai fidia…
Tanzania details the Inquiry Commission’s mission
DAR ES SALAAM: THE Retired Chief Justice of Tanzania, Mohammed Chande Othman, who serves as the Chairperson of the Inquiry Commission on the Violence Surrounding the October 29, 2025, General…
Why we need united front—regional action to save lives from resistant microbes now
DAR ES SALAAM: As years go by, we are witnessing worrying scenarios where a woman loses her husband to a drug-resistant infection, a newborn succumbs to in an infection which…
OGTL reaffirms commitment to clean energy promotion
DAR ES SALAAM: THE Oryx Gas Tanzania (OGTL) has reaffirmed its commitment to improving services by upgrading infrastructure and expanding its distribution network, aligning with the agenda of promoting clean…
Azam FC, Singida Black Stars kuliamsha upya Ligi Kuu
BAADA ya kumaliza majukumu ya mechi za kimataifa, wawakilishi wanaoshiriki hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, Azam FC na Singida Black Stars kesho watarudi katika Ligi Kuu kuanza…
Cameroon: Mpinzani wa Rais Biya amefariki dunia akiwa kizuizini
Kiongozi wa kisiasa na kiongozi wa chama cha upinzani cha Manidem, Anicet Ekane, amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu, Desemba 1.
Aibuka kidedea droo ya vilainishi vya Puma
DAR ES SALAAM; BOAZ Aywayo ameibuka mshindi wa droo ya vilainishi vya Puma Energy Tanzania. Kutokana na ushindi huo, Meneja wa Mauzo wa Puma Energy Tanzania, Sulpis Mmasi alimkabidhi mshindi…
Aibuka kidedea droo ya vilainishi vya Puma
DAR ES SALAAM; BOAZ Aywayo ameibuka mshindi wa droo ya vilainishi vya Puma Energy Tanzania. Kutokana na ushindi huo, Meneja wa Mauzo wa Puma Energy Tanzania, Sulpis Mmasi alimkabidhi mshindi…
Sababu Mwangata kubaki Mbeya City
UONGOZI wa Mbeya City umefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Malale Hamsini ikiwa ni saa chache tangu ichapwe bao 1-0 na Namungo katika mechi iliyopigwa…
Kinachombeba Fabrice Ngoy Namungo hiki hapa
MSHAMBULIAJI wa Namungo, Fabrice Ngoy amesema kitu pekee kinachombeba kwa sasa ni kutokana na ushirikiano wa wachezaji wenzake na kuaminiwa na benchi la ufundi, jambo linalomuongezea motisha ya kupambana kila…
Kinachombeba Fabrice Ngoy Namungo hiki hapa
MSHAMBULIAJI wa Namungo, Fabrice Ngoy amesema kitu pekee kinachombeba kwa sasa ni kutokana na ushirikiano wa wachezaji wenzake na kuaminiwa na benchi la ufundi, jambo linalomuongezea motisha ya kupambana kila…
LALIGA Jumanne hii
LALIGA Jumanne hii FC Barcelona watakuwa uwanja wa nyumbani Camp Nou wakiwakaribisha Atletico Madrid. Mechi hii itachezwa kuanzia saa 5:00 usiku na kuruka mbashara kupitia AzamSports4HD. Katika msimamo wa LALIGA,…
Sh317 milioni zatua Ligi ya Kikapu Taifa
LIGI ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) inayoendelea kuchezwa kwenye Uwanja wa Chinangali mkoani Dodoma imelamba udhamini wa Sh317,025,900 kutoka kampuni ya BetPawa.
Sh317 milioni zatua Ligi ya Kikapu Taifa
LIGI ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) inayoendelea kuchezwa kwenye Uwanja wa Chinangali mkoani Dodoma imelamba udhamini wa Sh317,025,900 kutoka kampuni ya BetPawa.
Madiwani wamchagua mwenyekiti halmashauri ya Longido
ARUSHA: MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha wamemchagua kwa kura zote 26 diwani wa Kata ya Longido Mjini, Thomas Ngobei kuwa mwenyekiti mteule wa halmashauri hiyo katika…
Madiwani wamchagua mwenyekiti halmashauri ya Longido
ARUSHA: MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha wamemchagua kwa kura zote 26 diwani wa Kata ya Longido Mjini, Thomas Ngobei kuwa mwenyekiti mteule wa halmashauri hiyo katika…
Bundesliga: Hatma ya kocha Henriksen yaning’inia
Mkurugenzi wa Michezo wa Mainz, Niko Bungert, ameacha gumzo la hatima ya kocha Bo Henriksen wazi baada ya timu hiyo kushuka hadi mkiani mwa msimamo wa Bundesliga.
Analysis Report on the International Conference on the Crimes of Colonialism in Africa
AFRICA: THE International Conference on the Crimes of Colonialism in Africa is taking place in Algiers on November 30 and December 1, 2025, marking a pivotal moment for the continent.…
Sima achomoza umeya Mwanza
MWANZA; DIWANI wa Kata ya Mhandu, Sima Constantine ndiye Meya mpya wa Jiji la Mwanza. Hatua hiyo inatokana leo kushinda kwenye kura za maoni ndani ya Chama cha Mapinduzi (CCM),…
Wahudumu wa afya wapata changamoto Sudan
Hali Sudan inaendelea kuwa mbaya. Katika kambi ya Al-Dabbah iliyopo umbali wa kilomita wa 770 kasikazini mashariki mwa mji wa Elfasher, wahudumu wa afya wanapata wakati mgumu kuwahudumia waathirika wa…
Wadau wanena mameneja Tanroads kubebeshwa zigo la foleni
Siku moja baada ya Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega kuwataka mameneja wa Wakala wa Barabara...
Exim Bank embraces the festive season with cashless innovation
DAR ES SALAAM: EXIM Bank Tanzania has officially launched its two-month festive season card-usage campaign, titled “Chanja Kijanja, Dili Ndio Hili.” This campaign, which runs from December 1, 2025, to…
Inquiry Commission commits to work diligently in probing sources of violence
DAR ES SALAAM: THE Chairperson of the Independent Commission of Inquiry into the violence that occurred during and after the General Election, retired Chief Justice Mohammed Chande Othman, has said…
Israel yawaweka wanajeshi wake Kusini mwa Lebanon
Mwaka mmoja baada ya kufikiwa makubaliano ya kusitisha mapigano kati ya Israel na Hezbollah, bado jeshi la Israel linaendelea kuyashikilia maeneo matano kusini mwa Lebanon.
Tanzania yapiga hatua kupambana VVU/UKIMWI
WAKATI dunia ikiendelea kukumbuka Siku ya Ukimwi Duniani, ripoti za mashirika ya afya duniani zinaonesha kuwa hatua kubwa zimefanyika katika mapambano dhidi ya Virusi vya Ukimwi (VVU/UKIMWI). Mamilioni ya watu…
African nations push for recognition of colonial crimes and reparations
ALGIERS, Algeria: African leaders pushed Sunday to have colonial-era crimes recognized, criminalized and addressed through reparations. At a conference in Algiers, diplomats and leaders convened to advance an African Union…
Ni kosa kisheria kupekua simu ya mume au mke wako, mwanasheria wetu anaelezea kwa undani
Ni kosa kisheria kupekua simu ya mume au mke wako, mwanasheria wetu anaelezea kwa undani. #SheriaUpdates (Feed generated with FetchRSS)
Wanaodaiwa kuingilia mifumo ya benki, waendelea kusota rumande
Raia wa Ghana, Valentine Kofi (45) na Watanzania watatu, wataendelea kubaki rumande hadi...
Utajiri wa Afrika: Volkano za Afrika
Barani Afrika kuna baadhi ya volkano za ajabu zaidi duniani likiripotiwa kuwa na zaidi ya volkano 100 ambazo zinaweza kulipuka wakati wowote.
Mitazamo ya pamoja ya Tehran-Ankara kuunga mkono Palestina na kukabiliana na uingiliaji wa kigeni
Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Hakan Fidan amekutana hapa mjini Tehran na kufanya mashauriano na Rais wa Iran Masoud Pezeshkian, Spika wa Bunge Mohammad Baqer Qalibaf, na Waziri…
Kisukari kinahitaji kila rika kujilinda
KISUKARI ni ugonjwa unaotokea pale mwili unaposhindwa kuzalisha homoni ya insulini kwa kiasi cha kutosha au unaposhindwa kutumia vizuri homoni hiyo iliyozalishwa mwilini. Kwa mujibu wa wataalamu, homoni hiyo ndiyo…
Dr Samia addresses the nation tomorrow
DAR ES SALAAM: PRESIDENT Samia Suluhu Hassan is expected to address the nation tomorrow, December 2, 2025, during her meeting with the elders of the Dar es Salaam region at…
Cameroon: Kiongozi wa upinzani Anicet Ekane afariki akiwa kizuizini
Kiongozi wa kisiasa na kiongozi wa chama cha Manidem, Anicet Ekane, amefariki usiku wa Jumapili kuamkia Jumatatu, Desemba 1, kulingana na wanasheria wake na familia yake asubuhi ya leo. Ekane…
Rais Mwinyi akaribisha uwekezaji wa kimataifa
ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Zanzibar itaendelea kuwakaribisha wawekezaji wa kimataifa kutokana na uwepo wa fursa nyingi za uwekezaji…
Tume kuchunguza mambo 6 vurugu za Okt.29
DAR ES SALAAM; Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, mwaka huu, imeweka wazi maeneo sita itakayofanyia…
Fahamu haya kuhusu Maua Sama
Kati ya wanamuziki waliojaliwa sauti nzuri kutokea katika Bongofleva, basi Maua Sama naye yumo...
Upofu wamvaa msanii Elton John
Mwimbaji mkongwe wa muziki duniani kutoka Uingereza, Sir Elton John amefichua amekuwa...
Kenya kukata rufaa dhidi ya uamuzi wa mahakama uliosimamisha mkataba wa biashara wa Umoja wa Ulaya
Shirika lisilo la kiserikali la Centre for Law Economics and Policy, liliwasilisha kesi hiyo dhidi ya Kenya kwa misingi kuwa makubaliano yalikiuka baadhi ya vipengele vya mkataba wa kuanzisha soko…
Oryx yaahidi raha matumizi nishati safi
DAR ES SALAAM; KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imewahakikishia Watanzania kuwa itaendelea kuboresha huduma zake kwa kuboresha miundombinu, kupanua mtandao wa usambazaji, ili kutekeleza ajenda ya kuhamasisha matumizi ya nishati…
Ardhi bure kwa Watanzania wanaotaka kujenga viwanda
Wakati jitihada za kuendelea kuvutia wawekezaji zikipamba moto nchini, Serikali imewaita...
Mkuu wa UN awasilisha kwa Kamati ya 5 bajeti iliyopunguzwa na inayoleta mageuzi
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres leo Jumatatu amewasilisha mbele ya Kamati ya Tano inayohusika na masuala ya bajeti ya Umoja wa Mataifa mpango wa makadirio yaliyorekebishwa, ukiweka…
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo yatangaza kumalizika kwa mlipuko wa 16 wa Ebola
Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya Duniani WHO, leo limetoa taarifa kuwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo DRC, imetangaza kumalizika kwa mlipuko wa 16 wa ugonjwa wa Ebola katika…
UNICEF na KISE wawapiga jeki watoto wenye ulemavu katika Kaunti ya Wajir Kenya
Katika Kaunti ya Wajir Kaskazini Mashariki mwa Kenya, Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia Watoto UNICEF kwa kushirikiana na Taasisi ya Elimu Maalum ya Kenya KISE wameanzisha mpango maalum…
Dunia ipo katika kipindi cha maamuzi kuhusu mustakbali wa ukimwi: UN
Kama tulivyokujuza le oni Siku ya UKIMWI Duniani na mwaka huu inaadhimishwa kwa onyo kali kuhusu janga hilo pamoja na wito wa kuchukua hatua. Ikibeba kaulimbiu “Kukabili misukosuko, kubadili mwelekeo…
Guterres ataka ahadi iliyoboreshwa ya kupiga marufuku mabomu ya kutegwa ardhini
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres amezitaka nchi wanachama wa Mkataba wa Kupiga Marufuku Mabobu ya Kutegwa Ardhini yanayokatili maisha ya watu kuimarisha azma yao ya kufikia dunia…
“VVU si mwisho wa maisha” – Safari ya Pooja kutoka mshtuko hadi uongozi
Pooja aliolewa akiwa na umri wa miaka 15, baadaye akiwa mdogo bado akagundua kuwa ana Virusi Vya Ukimwi, VVU, na leo ni Mratibu wa Kitaifa wa Vijana katika shirika la…
Maema: Hatuna cha kujitetea, tumejiangusha wenyewe
KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Neo Maema, amesema kitendo cha timu hiyo kupoteza mechi mbili za kwanza hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu, hakuna wa kulaumiwa zaidi ya…