EACOP, PCK strengthens local workforce development
MOSHI: THE EACOP Tanzania Branch has reaffirmed its commitment to developing a skilled and competitive workforce, positioning the locals to effectively support the country’s broader infrastructure and energy ambitions. “The…
#MICHEZO: Wekundu wa Misimbazi Simba SC, wameanza maandalizi ya mchezo wao wa pili wa Ligi ya Mabingwa barani Afrika dhidi ya St…
#MICHEZO: Wekundu wa Misimbazi Simba SC, wameanza maandalizi ya mchezo wao wa pili wa Ligi ya Mabingwa barani Afrika dhidi ya Stade Malien ya nchini Mali. Simba walianza vibaya mashindano…
Fumba Town celebrates a decade of urban innovation
Fumba emerges as a sustainable, modern, and inclusive community Zanzibar. A decade ago, Fumba Town was little more than an audacious idea: a plan to build a modern, sustainable, privately…
Jeshi la Israel lazindua ‘operesheni kubwa’ kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi
Jeshi la Israel limetangaza leo Jumatano, Novemba 26, uzinduzi wa “operesheni kubwa” dhidi ya makundi yenye silaha ya Palestina kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi unaokaliwa. Imechapishwa: 26/11/2025 – 09:59 Dakika…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, NOVEMBA 26, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TANO NA DAKIKA 55, NOVEMBA 26, 2025
“Tanzania’s Tooku Garments impress Korean businesspeople
DAR ES SALAAM: A delegation of businesspeople from the Republic of Korea has visited the Tooku Garments, which manufactures jeans, to observe various stages of the production process. During the…
Nyuklia, hatima ya Cécile Kohler na Jacques Paris: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran azuru Paris
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araghchi yuko Paris leo Jumatano, Novemba 26. Amepanga mkutano na mwenzake wa Ufaransa, Jean-Noël Barrot. Nchi hizo mbili zimeendelea na majadiliano licha…
SimBanking: Daraja la mapinduzi ya huduma za benki kidijitali na uboreshaji maisha ya Watanzania
Ni fahari kubwa pale ubunifu wa kibiashara unapokuwa nguvu ya kuleta mabadiliko chanya katika...
Tanzania yafufuka Kombe la Dunia Futsal ikiichapa New Zealand
Tanzania imeandika historia kwa kupata ushindi wa kwanza kwenye Fainali za Kombe la Dunia la...
Kushabikia uvunjifu wa amani ni kujikwamisha wenyewe kimaendeleo
MOJA ya siri kubwa ya maendeleo katika taifa lolote ni utulivu wa kisiasa, kijamii na kiuchumi. Hata hivyo utulivu huo hauwezi kupatikana kama hakuna amani ndani ya taifa husika, ndio…
Inside the Ministry: The faces behind the promise
DAR ES SALAAM: IT was a late afternoon at the University of Dodoma, in the Chimwaga area east of downtown Dodoma, eight kilometres from the city centre. The sky above…
Karne moja baada ya kugawanywa Afrika
DAR ES SALAAM: Karne moja baada ya Ulaya kulitawanya Bara la Afrika katika kile kilichoitwa “Scramble for Africa,” ushindani mpya wa kijiografia unaibuka wakati huu ukiwa wa kimataifa, lakini mizizi…
Vita Ukraine: Kyiv inaunga mkono ‘kanuni’ za mpango wa amani wa Marekani
Katika mkutano wa Muungano wa nchi zinazojitolea kwa Ukraine uliofanyika Jumanne, Novemba 25, Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amewaambia washirika wake kwamba yuko tayari “kusonga mbele” na mpango mpya wa…
Uongozi Kanisa la Gwajima wadai kuwapo uharibifu, upotevu wa mali
Wakati uongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima la Askofu Josephat Gwajima ukidai kuwapo uharibifu...
FYATU MFYATUZI: Sasa natangaza rasmi ufalme wa Fyatuland
Kuanzia sasa, Fyatuland si jamhuri tena. Ni ufalme wa Fyatu Mfyatuaji awafyatuaye mafyatu...
Let young Tanzanians exploit the TAZARA future
DAR ES SALAAM: RECENTLY, Tanzania–Zambia Railway Authority (TAZARA) announced a major regional mining and energy forum that a global engineering giant will invest over 1.4 billion US dollars (about 3.4tr/-)…
ICC: Kesi ya Mahamat Saïd Abdel Kani, kiongozi wa zamani wa Seleka CAR, yahitimishwa
Kiongozi wa zamani wa Seleka anatuhumiwa kwa uhalifu dhidi ya ubinadamu na uhalifu wa kivita uliofanywa kati ya mwezi Aprili na Agosti 2013 nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati. Vikao…
Ushabiki wa vifo Okt 29 unafunika ubinadamu
Watanzania walipoteza maisha katika vurugu za Oktoba 29, 2025, na baada yake. Hilo halibishaniwi.
Government: Researchers need to produce feedback for national development
MWANZA: RESEARCHERS in the country have been urged to conduct impactful studies and ensure their findings reach the public to help address community challenges and stimulate national economic growth. The…
Haki inapogeuzwa silaha, Tanzania na siasa za ICC
DAR ES SALAAM: Kwa miongo kadhaa, Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) imejiweka kama mwamuzi mkuu wa haki duniani. Lakini katika sehemu kubwa ya Afrika inaonekana sio huru, bali chombo…
NIKWAMBIE MAMA: Mwenye njaa hakosi hasira
Umasikini ni nyenzo kubwa kwenye migogoro ya watu. Unaweza kutokea mzozo wa kawaida, pengine...
Tanzania yaichakaza New Zealand Kombe la Dunia Futsal
TIMU ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake kwa mchezo wa Futsal, imeitandika New Zealand mabao 4-2 kwenye mechi ya kundi C ya kuwania ubingwa wa Kombe la Dunia.
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, NOVEMBA 26, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, NOVEMBA 26, 2025
Sudan: Watafiti wa Marekani washutumu RSF kwa kuunguza miili ya watu waliouawa El-Fasher
Mwezi mmoja baada ya kuchukuwa udhibti wa mji mkuu wa jimbo la Kaskazini mwa Darfur, wanajeshi wa Jenerali Hemedti bado wanajaribu kuficha mauaji wanayotuhumiwa kuyafanya katika mji huo, kulingana na…
Zanzibar, China deepen health partnership to combat diseases
ZANZIBAR: THE Zanzibar Ministry of Health has reaffirmed its commitment to deepen cooperation with China in order to strengthen health services across the islands, particularly in the fight against schistosomiasis…
Dk Mwigulu ahimiza umoja kutekeleza Dira 2050
WAZIRI Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amehimiza watendaji wa serikali, viongozi na Watanzania kuunganisha nguvu katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Dk Mwigulu alisema hayo alipozungumza na wahariri…
Dodoma businesses buzz as varsities reopen
DODOMA: BUSINESSES across Dodoma City have become vibrant again following the reopening of the new academic year for higher learning institutions. Dodoma hosts one of the country’s largest university, the…
Yanga yafanya kufuru Algeria ikijiandaa kuikabili JS Kabylie
Baada ya kutua jijini Algiers jana mchana Novemba 25, 2025, Yanga imekuwa na safari ya umbali...
Afrika, Ulaya kuimarisha uchumi, wagusia kuheshimu utawala wa sheria
Viongozi kutoka Afrika na Ulaya waliokutana katika mji mkuu wa Angola, Luanda, kuanzia juzi...
DRC: Ripoti za UM zinabainisha kuongezeka kwa ukiukwaji wa haki za binadamu
Ukiukwaji wa haki za binadamu unaripotiwa kuongezeka tena nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC). Ofisi ya Pamoja ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imechapisha mahitimisho yake kwa…
Sirro vows action against fishing gear theft on Lake Tanganyika
KIGOMA: KIGOMA Regional Commissioner, Ambassador Simon Sirro, has issued a strong warning to individuals involved in the theft of fishing gear on Lake Tanganyika, saying the government has begun taking…
Haya ni baadhi ya maoni, matarajio ya wananchi mara baada ya kuundwa kwa wizara mpya ya maendeleo ya vijana, ambapo kuongezeka k…
Haya ni baadhi ya maoni, matarajio ya wananchi mara baada ya kuundwa kwa wizara mpya ya maendeleo ya vijana, ambapo kuongezeka kwa fursa na kusikilizwa kwa matatizo kwa uharaka ni…
Z’bar, China deepen health partnership to combat diseases
ZANZIBAR: THE Zanzibar Ministry of Health has reaffirmed its commitment to deepen cooperation with China in order to strengthen health services across the islands, particularly in the fight against schistosomiasis…
Zanzibar leaders urge continuous prayers
ZANZIBAR: THE Zanzibar Second Vice-President, Mr Hemed Suleiman Abdulla has urged Muslim clerics Sheikhs, Imams and Madrasa teachers to continue praying for the nation and its leaders so that God…
Cuban envoy vows to strengthen longstanding ties with TZ
KIBAHA: CUBAN Ambassador to Tanzania Mr Yordens Vera has reaffirmed that his country will continue to work to maintain and strengthen its relationship with the Tanzanian government for the benefit…
Mkutano wa AU-EU Luanda: Mkutano wamalizika bila matangazo makubwa lakini ahadi nyingi
Katika taarifa yao ya mwisho iliyochapishwa siku ya Jumanne, Novemba 25, taasisi hizo mbili zimesifu ushirikiano wao “wa kipekee na wa kimkakati” na kutoa ahadi nyingi. Miongoni mwa ahadi hio…
Analysts: Local leaders hold key to Tanzania’s peace
DAR ES SALAAM: ANALYSTS and security stakeholders have emphasised the critical role of Local Government Authorities (LGAs), including street, village and ward leaders, in advocating for peace among citizens through…
Asilimia 86 ya vijiji vya Iran vimeunganishwa kwa barabara za lami
Wizara ya Uchukuzi ya Iran imesema kuwa karibu vijiji tisa kati ya kumi hapa nchini vimeunganishwa kwa barabara za lami; hatua inayoashiria panuzi mkubwa wa miundombinu ya vijijini nchini Iran.
UN: Tangazo la RSF la kusitisha mapigano ni ‘hatua katika mwelekeo sahihi’
Umoja wa Mataifa umekaribisha kwa tahadhari tangazo la kibinadamu la kusitisha mapigano lililotolewa jana na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF), ukisema kuwa linawakilisha kupiga hatua lakini linahitaji…
Rais wa Nigeria: Wanafunzi wa kike 24 waliotekwa nyara wiki jana wakombolewa
Wanafunzi wa kike 24 waliokuwa wametekwa nyara kutoka katika shule yao ya bweni wiki iliyopita kaskazini magharibi mwa Nigeria wameachiwa huru. Hii ni kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya…
COP30: Urgent financing to transform agrifood systems
CLIMATE change is no longer a future threat; it is a reality that is reshaping agrifood systems and compromising global food security. Its impacts are evident in both the quantity…
Russia: Tupo tayari kuisaidia Nigeria katika mapambano dhidi ya ugaidi
Maria Zakharova Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema kuwa nchi hiyo ipo tayari kusaidia na kuung amkono juhudu za nigeria za kupambana na ugaidi. Bi Zakharova…
Cuba: Marekani inaishinikiza Venezuela ili kuitwaa ardhi ya nchi hiyo
Bruno Rodriguez Waziri wa Mambo ya Nje wa Cuba amesema kuwa Marekani inatumia uzushi kuhalalisha operesheni zake za kijeshi dhidi ya Venezuela, kwa lengo la kuiangusha serikali ya nchi hiyo…
Ulega ataka haki za wazawa miradi ya barabara
WAZIRI wa Ujenzi, Abdallah Ulega ameagiza mameneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) wasimamie haki na maslahi ya wafanyakazi wazawa kwa wakandarasi kwenye miradi ya ujenzi barabara. Aidha, serikali imeruhusu…
#HABARI: Wakulima wa zao la mwani zaidi ya 700 kutoka kata 4 zilizopo wilayani Mkinga wameiomba Serikali kuingilia kati haraka k…
#HABARI: Wakulima wa zao la mwani zaidi ya 700 kutoka kata 4 zilizopo wilayani Mkinga wameiomba Serikali kuingilia kati haraka kabla madhara makubwa hayajajitokeza kufuatia wavuvi haramu wanaotumia makokoro kuendelea…
Never again!
PM warns against economic saboteurs DAR ES SALAAM: PRIME Minister Dr Mwigulu Nchemba has called on Tanzanians to unite and ensure that the violence and unrest experienced during and after…
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, NOVEMBA 26, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA TATU NA DAKIKA 55, NOVEMBA 26, 2025
#HABARI: Serikali nchini Nigeria imesema watoto wa shule 24 waliotekwa nyara katika Jimbo la Magharibi la Kebbi wiki iliyopita w…
#HABARI: Serikali nchini Nigeria imesema watoto wa shule 24 waliotekwa nyara katika Jimbo la Magharibi la Kebbi wiki iliyopita wameachiliwa huru. Katika taarifa yake, Rais wa Nigeria Bola Ahmed Tinubu…