China, Tanzania na Zambia zasaini makubaliano ya kuboresha reli ya TAZARA
Nchi ya Uchina Alhamisi ya wiki hii ilisaini makubaliano ya dola bilioni 1.4 na Zambia pamoja na Tanzania ili kuboresha reli ya TAZARA inayounganisha taifa hilo lisilo na Bahari. Imechapishwa:…
Serikali ya Niger yatangaza kuyafungia mashirika ya kiraia
Serikali ya Niger, imetangaza kuyafunga mamia ya mashrika ya kiraia ya ndani na yale ya kimataifa yakiwemo pia yale ya misaada, hatua hii ikiwa ni muendelezo wa utawala wa kijeshi…
Hali ya wasiwasi yashuhudiwa Masisi Kivu Kaskazini nchini DRC
Hali ya wasiwasi imezidi kushuhudiwa katika maeneo kadhaa ya Masisi,Kivu Kaskazini ,nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,maeneo yanayokaliwa na waasi wa AFC/M23 ambapo kumeshuhudiwa mapigano kati ya waasi hao na…
Tanapa yaita wawekezaji Hifadhi ya Taifa ya Nyerere
BODI ya Wadhamini wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) imeendelea kuhamasisha na kuwakaribisha wawekezaji kuja kuwekeza katika Hifadhi ya Taifa Nyerere ili kukuza utalii katika Ukanda wa Kusini…
Ubepari wa Magharibi na Kuporomoka kwa Maadili
Ubepari katika jamii za Magharibi, na msisitizo wake juu ya faida ya mtu binafsi na kutenganisha maadili na uchumi, umesababisha madhara makubwa na matokeo mabaya sana kwa maadili ya binadamu.
Ijumaa, Novemba 21, 2025
Leo ni Ijumaa tarehe 30 Jamadil Awwal 1447 Hijria sawa na Novemba 21 mwaka 2025.
Azimio jipya la Bodi ya Magavana ya IAEA lina lengo la kufidia kushindwa Marekani na Troika ya Ulaya
Mwakilishi wa kudumu na balozi wa Iran katika taasisi za kimataifa zenye makao yake mjini Vienna Austria amesema kupitishwa azimio la kisiasa dhidi ya nishati ya nyuklia ya Iran yenye…
WFP: Karibu robo ya wananchi wa Somalia wanakabiliwa na njaa kali
Mpango wa Chakula Duniani (WFP) jana ulitahadharisha kuwa karibu robo ya jamii ya watu wa Somalia wanakabiliwa na njaa kali huku watoto zaidi ya milioni 1.85 walio na umri chini…
Nigeria yafunga shule katika jimbo la Kwara kufuatia ongezeko la ukosefu wa usalama
Mamlaka husika katika Jimbo la Kwara nchini Nigeria zimefunga shule zote katika eneo la Iflodun, Ekiti, Irepodun, Isin na Oke Ero kufuatia vitisho vipya vya usalama katika jimbo hilo.
Save the Children: Israel imeua takriban watoto 20,000 huko Gaza
Shirika la Save the Children limesema katika taarifa yake kuwa silaha za kijeshi na mada za milipuko zimeua idadi kubwa zaidi ya watoto duniani kote mwaka 2024, huku Ukanda wa…
Marekani kuiuzia Saudia ndege za kivita za F-35 zilizopunguzwa uwezo ili kuilinda Israel
Maafisa wa Marekani na wataalamu wa ulinzi wanasema ndege za kivita aina ya F-35 ambazo Marekani inapanga kuuzia Saudi Arabia zitapungzwa uwezo kwa kiasi kikubwa ikilinganishwa na ndege kama hizo…
Marekani kuiuzia Saudia ndege za kivita F-35 zilizopunguzwa uwezo ili kuilinda Israel
Maafisa wa Marekani na wataalamu wa ulinzi wanasema ndege za kivita aina ya F-35 ambazo Marekani inapanga kuuzia Saudi Arabia zitapungzwa uwezo kwa kiasi kikubwa ikilinganishwa na ndege kama hizo…
Usafiri wa mwendokasi waanza Mbagala
HUDUMA za usafi ri wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) kutoka Mbagala kwenda Posta na Gerezani imerejea jana baada ya kusitishwa kwa muda. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert…
Tusiharibu miundombinu ya umeme
VIONGOZI wa serikali za mitaa na madiwani wametakiwa kuwa mstari wa mbele kupambana na wizi wa umeme ili kuzuia uharibifu mkubwa wa miundombinu na hasara kwa taifa. The post Tusiharibu…
Halmashauri zitenge bajeti ya chakula mashuleni
ILI taifa lifanikiwe katika kupambana na athari za lishe duni, watoto wenye umri wa miaka sita hadi 15 wasiachwe nyuma kupata lishe shuleni. Kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita, Mkoa…
Tuipe ushirikiano Tume ya Uchunguzi
RAIS Samia Suluhu Hassan ameteua na kuizindua Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, mwaka huu. The…
Chongolo aahidi kutimiza malengo Wizara ya Kilimo
WAZIRI wa Kilimo, Daniel Chongolo ameieleza menejimenti na watumishi wa wizara hiyo kuwa kazi na malengo yaliyopangwa yatafi kiwa kwa kuendeleza pale mtangulizi wake, Hussein Bashe alipoishia ili kukuza na…
SADC yazindua Mkakati wa Mawasiliano 2025/2030
JUMUIYA ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) imezindua Mkakati wa Mawasiliano na Uhamasishaji ya mwaka 2025/2030 ili kuimarisha mawasiliano, uhusiano wa kikanda na maendeleo endelevu kwa nchi wanachama. The post…
No mine water threatens public use, officials say
MWANZA: RESIDENTS across the Lake Zone have been reassured that robust measures are firmly in place to prevent contaminated water from any mines flowing into public water sources. Speaking to…
Shirika la kimataifa kuendeleza ushirikiano miradi na Tanzania
SHIRIKA la Maendeleo ya Mfuko wa Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UNDCF) limekubali kuendelea kushirikiana na Tanzania katika kutekeleza Programu ya LoCAL awamu ya pili. Kupitia programu hiyo, serikali inatekeleza…
GGML-supported sunflower farming strengthens rural livelihoods
GEITA: IN Kasota, Geita, sunflower farmer and seamstress Monica Kazinza is among a growing group of smallholder farmers whose livelihoods have been strengthened through the support of community development initiatives…
Strengthen global partnerships, Mzumbe University told
MOROGORO: MZUMBE University (MU) in Morogoro has been urged to strengthen its international relations and partnerships to attract more foreign students and expand opportunities for its faculty to teach abroad.…
Tourism boom fuels air travel surge
TANGA: TANZANIA’S aviation sector is experiencing a sharp rise in passenger numbers, driven by rapid growth in tourism and major investment projects, with air travellers increasing by 16 per cent…
Dk Mwinyi apokea kitabu cha kampeni Uchaguzi Mkuu
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Mwinyi amepokea Kitabu Maalumu chenye mkusanyiko wa habari picha za kampeni za Uchaguzi Mkuu wa Rais wa Chama Cha…
Tanzania turns libraries into youth innovation hubs
DAR ES SALAAM: TANZANIA is strengthening its position as a knowledge-driven nation as the Tanzania Library Services Board (TLSB) prepares to host the 32nd National Book Fair from November 21st…
Govt to broaden public education on Union, environment
DODOMA: MINISTER of State in the Vice -President’s Office (Union and Environment), Engineer Hamad Masauni, has outlined plans to expand Union and environmental education for stakeholders, including the media. Eng…
Mchakamchaka nafasi za umeya CCM waanza
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) leo kinafunga pazia la kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya meya, naibu meya na wenyeviti wa halmashauri katika halmashauri mbalimbali nchini kabla ya kuanza vikao vya…
Dodoma social development officers urged to strengthen community participation
DODOMA: SOCIAL Development officers in Dodoma have been reminded to consider their duties as key pillars in rolling out development policies and ensuring full citizen participation in planning and executing…
WRRB unveils strategy to reach more stakeholders
DAR ES SALAAM: The Warehouse Receipts Regulatory Board (WRRB) has unveiled a broad strategic plan aimed at strengthening and expanding the Warehouse Receipt System (WRS) to reach more farmers, traders…
Vijana watakiwa kutumia hotuba ya rais kupata suluhu
VIJANA nchini wametakiwa kuijadili na kuitumia hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan wakati akizindua Bunge la 13 kama suluhu ya changamoto zinazowakabili. Wakizungumza na HabariLEO viongozi wa wafanyabiashara wadogo maarufu…
Gwajima urges ministry staff to enhance speed, efficiency
DODOMA: MINISTER for Community Development, Gender, Women and Special Groups, Dr Dorothy Gwajima, has urged ministry staff to work with greater speed, commitment and efficiency as the government intensifies efforts…
Tume Uchunguzi vurugu Oktoba 29 yazinduliwa
RAIS Samia Suluhu Hassan amezindua Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Ameitaka tume hiyo kuchunguza…
Industrial demand pushes imports up
DAR ES SALAAM: Imports of goods and services rose by 5.79 per cent in the year ending September, driven mainly by higher demand for industrial supplies, transport equipment and parts,…
BMH rolls out pioneering non-surgical treatment for spinal pain
DODOMA: BENJAMIN Mkapa Hospital (BMH) has introduced a breakthrough non-surgical treatment for spinal pain, becoming the first in the central zone to provide such service. Consultant Neurologist, Dr Maxgama Ndosi,…
BoT urges public to protect banknotes quality
DAR ES SALAAM: The Bank of Tanzania (BoT) is stepping up efforts to improve currency quality, emphasising public responsibility in handling banknotes. By targeting the circulation of worn and dirty…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Novemba 21, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
A doctor arrested for criminal offences investigations in Geita
GEITA: The Police Force in Geita Region has confirmed the arrest of Dr Kibaba Furaha Michael, an employee of the Geita Regional Referral Hospital, in connection with ongoing investigations into…
Embrace agroforestry to boost yields, farmers tipped
MARA: FARMERS have been encouraged to fully adopt agroforestry practices to improve their agricultural productivity and curb the impacts of climate change. The call was made by the Director for…
Kibaha’s Bokomnemela City project to create 150,000 youth jobs
KIBAHA: THE Bokomnemela Modern City construction project in Kibaha District, Coast Region, which is scheduled to begin in January 2026, is expected to provide a total of 150,000 employment opportunities…
Wadau wahimizwa kufuata miongozo kuhakikisha usalama wa mabwawa
Wadau na wamiliki wa mabwawa nchini Tanzania,wametakiwa kuzingatia miongozo,mipango pamoja na...
Dk Mwinyi ateua, kubadilisha makatibu wakuu wizara nane, naibu makatibu wakuu wizara tano
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amefanya uteuzi na kubadilisha makatibu wa wizara nane...
Waziri Mkuu akutana na Katibu TEC
DAR ES SALAAM; Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba, leo Novemba 20, 2025 amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Charles Kitima, katika…
Dakika 180 kuamua hatima ya Italia Kombe la Dunia
Italia italazimika kushinda mechi mbili za mchujo mwezi Machi mwakani ili ikate tiketi ya...
Madiwani 72 wajitokeza CCM kuwania umeya, uenyekiti Kilimanjaro
Jumla ya madiwani 72 kutoka Halmashauri sita za Wilaya na Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro,...
Vicoba bila usajili ni kuitafuta jela
DODOMA: Kuendesha shughuli za huduma ndogo za fedha ( VICOBA ) bila usajili kutoka Benki Kuu ya Tanzania ni kosa la jinai, adhabu yake ni faini Sh milioni 1-10, kifungo…
Mzize, Mayele kiboko ya Waarabu Tuzo za CAF
"Habari za jioni mabibi na mabwana, jina langu ni Asamoah Gyan, nipo na Manucho. Tupo hapa...
Kiongozi wa harakati za kujitenga ahukumiwa kifungo maisha kwa mashtaka ya ugaidi nchini Nigeria
Mahakama ya Nigeria Alhamisi imemhukumu Nnamdi Kanu, kiongozi wa harakati za kujitenga za Indigenous People of Biafra (IPOB), yaani Watu wa Asili wa Biafra, kifungo cha maisha jela baada ya…
Wasanii wamlilia MC Pilipili wakihoji wako wapi waliosababisha kifo chake
Kama ingekuwa ni sherehe ya kawaida, basi kila mmoja angetamani vazi jeusi liendelee kuvaliwa...
Chongolo aitaa benki ya ushirika kuimarisha huduma
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo ameitaka Benki ya Ushirika Tanzania (Coop Bank) kuimarisha...
Mwenyekiti AAFP aishauri ACT Wazalendo kuingia SUK
Mwenyekiti wa Chama cha Wakulima (AAFP) Taifa, Said Soud Said amekishauri Chama cha...