Palestina inaipongeza Afrika Kusini kwa kuwapokea zaidi ya raia 150 wa Gaza
Afrika Kusini ilitoa msamaha wa viza ya siku 90 kwa Wapalestina licha ya kukosa hati zinazohitajika na mihuri ya kuondoka.
Wabuni mfumo masoko ya mazao kudhibiti madalali
Taasisi ya Sotech imetengeneza mfumo wa kisasa wa kusaidia wakulima kuuza mazao yao kwa njia ya...
COP30 yataka ufadhili wenye usawa na kasi
Katika mkutano wa Nchi wanachama wa mkataba wa mabadiliko ya tabianchi COP30 unaendelea huko mjini Belém, Brazil hoja moja imekuwa ikitawala: je, fedha za tabianchi zinaweza kugeuka kutoka ahadi kuwa…
Zaidi ya nusu ya watu wa Sudan wanahitaji msaada
Zaidi ya nusu ya idadi ya watu wa Sudan wanahitaji msaada wa kibinadamu. Hayo yameelezwa na Mkuu wa Baraza la Wakimbizi la Denmark, huku mapigano yakiliharibu taifa hilo la kaskazini…
Watalii zaidi ya milioni 3 wa kigeni watembelea Iran katika muda wa miezi sita
Waziri wa Turathi za Utamaduni na Utalii wa Iran ametangaza kuongezeka kwa idadi ya watalii wa kigeni wanaoingia na kutembelea Iran.
Afrika Kusini inafuatilia kesi ya mauaji ya kimbari yaliyofanywa na Israel
Serikali ya Afrika Kusini imetangaza kuwa, itaendelea kuchukua hatua za kisheria dhidi ya Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki kwa tuhuma za kutenda mauaji ya kimbari katika Ukanda wa…
Senegal: Mvutano kati ya rais na waziri mkuu wake waanza kushughulikiwa
Nchini Senegal, kufuatia mzozo kati ya rais na waziri mkuu wake, upatanishi sasa ndio utaratibu wa kila siku ili kuepuka kuzorota kwa taasisi. Mzozo wa madaraka kati ya Ousmane Sonko…
Tanzania resorts to developing value-added industries in forest products
DODOMA: THE Ministry of Natural Resources and Tourism continues to collaborate with stakeholders in the forestry and beekeeping sectors to improve the conservation and development of forest and bee resources…
Shambulizi la droni lasababisha kifo cha mtu mmoja Ukraine
Mtu mmoja ameuawa na mwengine kujeruhiwa katika mashambulizi makali ya droni ya Urusi kwenye eneo la Dnipro mashariki mwa Ukraine. Haya ni kwa mujibu wa Gavana wa eneo hilo Vladyslav…
Baraza la Usalama la UN lagawanyika kuhusu Gaza
Marekani na Urusi zimewasilisha rasimu pinzani za maazimio kuhusu mzozo wa Gaza kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, na kuibua hali ya mvutano kati ya mataifa hayo mawili…
Lumbala atangaza mgomo wa kula kupinga kesi dhidi yake
Aliyekuwa kiongozi wa waasi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Roger Lumbala, ameanza mgomo wa kula ili kupinga kesi dhidi yake iliyoanza wiki hii .
UN yarefusha muda wa kikosi chake cha amani huko Abyei
Baraza la Usalama la UN limepigia kura azimio la kuongeza muda wa ujumbe wa kulinda amani katika eneo la Abyei lenye utajiri wa mafuta na linalozozaniwa kati ya Sudan na…
Trump ajisalimisha kwa mfumuko wa bei; Marekani kupunguza ushuru kwa baadhi ya nchi za Amerika ya Kusini
Ongezeko la bei za baadhi ya bidhaa za kimsingi nchini Marekani limeilazimisha serikali kujizuia kutoza ushuru wa ziada kwa uagizaji wa baadhi ya bidhaa kutoka Amerika Kusini.
Ripoti: Usafirishaji haramu wa mafuta kati ya Libya na Sudan umeongezeka
Tangu kuanza kwa vita nchini Sudan mnamo mwezi Aprili 2023, ripoti kadhaa za wataalamu wa Umoja wa Mataifa na mashirika yasiyo ya kiserikali ya kimataifa zimetaja kuwepo kwa usafirishaji haramu…
Bodaboda Tanga hawataki maandamano
TANGA: CHAMA cha Madereva wa Bodaboda na Bajaji Mkoa wa Tanga (UWAPIBATA)kimewapiga marufuku wanachama wake kutoshiriki au kujihusisha na maandamano yanayotajwa kufanyika Desemba 9. Akitoa tamko la makubalinao hayo kwa…
Rais Mwinyi kuwaapisha mawaziri wapya leo
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi leo anawaapisha mawaziri wapya aliowateua hivi karibuni.
Mil 584/- kukamilisha shule mpya ya sekondari Chato
SERIKALI imepanga kutumia sh milioni 584 kwa ajili ya ujenzi wa shule mpya ya sekondari Butengolumasa wilayani Chato mkoa wa Geita ili kusogeza huduma ya elimu. Mradi wa ujenzi wa…
#HABARI: Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya misitu na ufugaji nyuki ili kuboresha uhifad…
#HABARI: Wizara ya Maliasili na Utalii inaendelea kushirikiana na wadau wa sekta ya misitu na ufugaji nyuki ili kuboresha uhifadhi na uendelezaji wa rasilimali za misitu na nyuki, pamoja na…
Hersi: Yanga inakwenda kutimiza ndoto ya watoto Bongo
RAIS wa Yanga, Mhandisi Hersi Said amesema gharama za ada kwa Yanga Soccer School itategemea na maeneo ili kuhakikisha ndoto ya kila mtoto kuwa mchezaji inatimia.
Vijana kupenda ‘mishangazi’ ni zaidi ya kufuata fedha
Ni msemo uliozoelekea mitaani kuwa wanawake wenye umri mkubwa ni benki za vijana.
Zaidi ya Bil 33/-zatekeleza miradi ya jamii Mara
MKOA wa Mara umeendelea kunufaika na uwekezaji wa Sekta ya Madini baada ya kutekeleza zaidi ya miradi 398 ya maendeleo yenye thamani ya Sh Bilioni 33.81 katika wilaya zote ndani…
Mosimane apewa jukumu maalum Yanga
Yanga imemkabidhi Pitso Mosimane jukumu la kuwanoa makocha wa Mpango wake maalum wa soka la...
TEC yahimiza uchunguzi huru vurugu Oktoba 29, Katiba Mpya
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), limekemea vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025, huku...
UN extends peacekeeping mission in disputed Abyei region for another year
SUDAN: THE United Nations Security Council has voted to renew a UN Interim Security Force for Abyei (UNISFA), the peacekeeping mission in the oil-rich disputed region between Sudan and South…
Baraza la usalama la UN laongezea mwaka mmoja ujumbe wa amani wa Abyei
Azimio, lililoandikwa na Marekani, lilipata kura 12 huku mataifa mengi wanachama yakiibua wasiwasi kuhusu lugha mpya ya mamlaka ya ujumbe huo
Trump threatens to sue the BBC for up to $5 billion
US: US President Donald Trump on Friday said he would sue the British Broadcasting Corporation (BBC) for up to $5 billion (€ 4.3 billion), after the broadcaster apologized for a…
Mabondia wajiandae kwa ndondi za Dubai
TIMU ya Taifa ya Ngumi za Ridhaa inatarajia kushiriki mashindano ya ngumi ya dunia yatakayofanyika Dubai, Falme za Kiarabu mwezi ujao. Mashindano hayo makubwa yanaandaliwa na Chama cha Kimataifa cha…
Trump says he’s asking Justice Department to investigate Epstein’s ties to slew of high-profile figures
USA: PRESIDENT Donald Trumpsaid Friday he will ask Attorney General Pam Bondi to investigate convicted sex offender Jeffrey Epstein’s ties to many other high-profile figures, in an extraordinary step that…
Ndani ya Boksi: Oktoba 29, wasanii kujenga jamii mpya
Oktoba 29 imebaki kama alama ya uchungu katika kumbukumbu za Watanzania. Ni siku iliyoacha...
DRC: Mkutano wa tisa wa ICGLR, fursa ya kuzindua diplomasia ya kikanda
DRC ni mwenyeji wa mkutano wa 9 wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) leo Jumamosi, Novemba 15. Hakujakuwa na mkutano katika ngazi hii ndani ya ICGLR tangu mwezi…
Daktari abainisha njia sita kuzuia UTI
Wakati maambukizi ya njia ya mkojo (UTI) yakiongezeka kwa kasi na kugeuka chanzo cha mateso...
Kiongozi wa zamani wa waasi wa DRC anayeshtakiwa Paris kwa uhalifu wa kivita aanza mgomo wa kula
Roger Lumbala, aliyekuwa kiongozi wa waasi ameshtakiwa kwa "njama ya uhalifu kuandaa uhalifu dhidi ya ubinadamu" na "ushirikiano wa uhalifu dhidi ya ubinadamu" wakati wa vita kutoka 1998 hadi 2003.
Mahakama ya Kimataifa yakataa kuikabidhi Rwanda Félicien Kabuga
Félicien Kabuga hatarudishwa nchini Rwanda, majaji wa Mfumo uliopewa jukumu la kukamilisha kesi zilizobaki za Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ya Rwanda wameamua siku ya Ijumaa, Novemba 14. Imechapishwa: 15/11/2025…
Lengo ifikapo 2030 watalii mil 8
RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kuelekea mwaka 2030 mpango wa serikali ni kukuza sekta ya utalii lengo likiwa kufikisha watalii wa ndani na nje milioni 8. Amesema hayo wakati akifungua…
JKT Queens in do-or-die battle against TP Mazembe
EGYPT: JKT Queens face a must-win encounter today as they take on TP Mazembe in their final group-stage match of the CAF Women’s Champions League in Ismailia, Egypt, with victory…
Ujumuishaji endelevu wa fedha barani Afrika
Washirika wa biashara barani Afrika wamethibitisha kujitolea kwao kuendeleza ushirikiano kati ya watunga sera, wawekezaji, wavumbuzi na viongozi wa sekta ya fedha, kwa kutilia mkazo mkubwa maendeleo ya ujumuishaji wa…
Katika kupanua soko la bidhaa mbalimbali za wajasiriamali wa Tanzania, halmahsauri ya jiji la Dar es Salaam imefanikiwa kuwaweze…
Katika kupanua soko la bidhaa mbalimbali za wajasiriamali wa Tanzania, halmahsauri ya jiji la Dar es Salaam imefanikiwa kuwawezesha baadhi ya wajasiriamali wa jiji hilo kushiriki maonesho makubwa ya bidhaa…
Je, mwili wako umekuwa mzito?
Je, mwili wako umekuwa mzito? Fanya mazoezi haya ili kuondoa hali hiyo. #AzamTVUpdates #UTV108 #hellowikiendi
Benin: Bunge la Seneti, muhula wa urais… Bunge lapitisha marekebisho ya kikatiba
Bunge la Benin limepitisha marekebisho ya kikatiba mapema Jumamosi asubuhi, Novemba 15, kwa wingi unaohitajika wa nne kwa tano, huku kura 90 zikiunga mkono na 19 zikipinga. Imechapishwa: 15/11/2025 –…
Kilwa Kisiwani: World Heritage Site with good, abundant marine resources
KILWA: KILWA Kisiwani is an island, national historic site and hamlet community located in the township of Kilwa Masoko, the district seat of Kilwa District in the Tanzanian region of…
UN yaagiza uchunguzi wa dharura ufanyike kuhusu ukiukaji wa sheria katika Al Fasher ya Sudan
Azimio hilo lilipitishwa bila kura wakati Baraza likitafuta uchunguzi kuhusu ukatili wa hivi majuzi uliofanywa ndani na karibu na mji wa Sudan.
Marekani: Donald Trump Aachana na Marjorie Taylor Greene, Kiongozi Mkuu katika Harakati ya MAGA
Rais wa Marekani Donald Trump siku ya Ijumaa ametangaza kuachana hadharani na mshirika wake wa muda mrefu na kiongozi wa MAGA Marjorie Taylor Greene Ijumaa, Novemba 14. Mbunge huyo wa…
#HABARI: Rais wa Marekani Donald Trump amesema atachukua hatua za kisheria dhidi ya BBC kufuatia jinsi hotuba yake ilivyohaririw…
#HABARI: Rais wa Marekani Donald Trump amesema atachukua hatua za kisheria dhidi ya BBC kufuatia jinsi hotuba yake ilivyohaririwa na kipindi cha Panorama, baada ya shirika hilo kuomba msamaha lakini…
Liverpool yamtafakari Olise kuwa mbadala wa Salah
TETESI za usajili zinadai klabu ya Liverpool inamtafakari nyota wa Bayern Munich, Michael Olise (23), kama mbadala wa Mohamed Salah wa Misri (33), na ipo tayari kutumia kiasi kikubwa cha…
Rais wa Tanzania atangaza uchunguzi kuhusu mauaji ya waandamanaji katika uchaguzi
Rais Samia Suluhu Hassan pia ameviagiza vyombo vya usalama kuwa na subira kwa vijana waandamanaji ambao "walifuata tu umati" baada ya mamia kufunguliwa mashtaka ya uhaini.
Mix results for Tanzania teams at WBLA Zone V Qualifiers
NAIROBI: TANZANIA’S representatives at the 2025 FIBA Women’s Basketball League Africa (WBLA) Zone V Qualifiers, Fox Divas and Don Bosco Lady Lioness, wrapped up their group-stage campaigns at the Nyayo…
Serengeti Boys ready to take on Sudan in CECAFA U-17 Qualifiers
SUDAN: NATIONAL U-17 football team Head Coach Aggrey Moriss has expressed confidence that his squad is in top condition ahead of the regional tournament, ahead of the opening match against…
Kingwendu afichua yaliyojificha nyuma ya jina lake
Waswahili wanasema cha kale dhahabu, lakini dhahabu isipong’arishwa haiwezi kuwa na thamani...
Ja Rule: Uhasama na 50 Cent uliharibu Hip Hop
Msanii wa Hip Hop Marekani, Ja Rule (49), amefunguka kuhusu uhasama (beef) wa muda mrefu kati...