#MICHEZO: Kikosi cha Simba SC leo Dimbani, tupe utabiri wako hapo
#MICHEZO: Kikosi cha Simba SC leo Dimbani, tupe utabiri wako hapo Powered by #MCHEZOSUPA JINSI YA KUSHIRIKI MCHEZO SUPA: - 📱Tuma 1000 kupitia Airtel Money, Tigo Pesa, M - Pesa,…
Ni kosa kumnyima baba haki ya kumuona mtoto hata kama hamtunzi mtoto huyo
Ni kosa kumnyima baba haki ya kumuona mtoto hata kama hamtunzi mtoto huyo. Msikilize mwanasheria wetu akifafanua zaidi. #SheriaUpdates
Qalibaf: Barua ya Iran-Russia-China kwa UN inaonesha mshikamano wa kimkakati dhidi ya vikwazo
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, barua ya pamoja ya hivi karibuni iliyotumwa na Iran, Russia na China kwa Umoja wa Mataifa kupinga jaribio…
Russia yazindua kombora jipya linalotumia fueli ya nyuklia
Rais Vladimir Putin wa Russia amezindua kombora jipya linalotumia fueli na mafuta ya nyuklia linaloitwa Burevestnik wakati wa kukagua kituo cha mstari wa mbele cha vita vinavyoendelea kati ya Russia…
Zaidi ya mashtaka 1,500 yamefunguliwa Morocco baada ya maandamano ya Gen Z
Asasi isiyo ya kiserikali ya Morocco imesema kwamba zaidi ya watu 1,500 walioshiriki katika maandamano yaliyoenea katika kona zote za Morocco wakidai huduma bora ya afya, elimu na kukomeshwa ufisadi,…
AU yahimiza kuchukuliwa hatua madhubuti za kudhamini chakula Afrika
Kamishna wa Kilimo, Maendeleo Vijijini, Uchumi wa Bluu na Mazingira Endelevu wa Umoja wa Afrika (AU), Moses Vilakati ametaka kuchukuliwe juhudi zaidi na zilizoratibiwa vyema kwenye bara zima la Afrika…
Zimbabwe yatoa mwito wa kuondolewa vikwazo vya Magharibi bila ya masharti
Jana Zimbabwe ilifanya maadhimisho ya Siku ya Kikanda ya Kupinga Vikwazo huko Harare, mji mkuu wa nchi hiyo. Wananchi wa Zimbwe wametaka kuondolewa vikwazo vya nchi za Magharibi bila ya…
Wananchi wanaoishi kando ya Mto Kagera ambao maji yake yanatumika kuzalisha umeme wa mradi wa Rusumo ambao unahudumia nchi tatu …
Wananchi wanaoishi kando ya Mto Kagera ambao maji yake yanatumika kuzalisha umeme wa mradi wa Rusumo ambao unahudumia nchi tatu za Tanzania, Burundi na Rwanda wamehimizwa kulinda vyanzo vya mto…
Kinachoendelea Kwa Mkapa | Simba Vs Nsingizini Hotspurs | Mechi ya mtego ila bado kweupe sana
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
#HABARI: Wasimamizi wa vituo vya kupigia kura katika Jimbo la Kigoma mjini wametakiwa kusimamia sheria za uchaguzi na kutoa haki…
#HABARI: Wasimamizi wa vituo vya kupigia kura katika Jimbo la Kigoma mjini wametakiwa kusimamia sheria za uchaguzi na kutoa haki sawa kwa wapiga kura kwa kuwa dhamana waliyopewa ya kusimamia…
Polisi yawahakikishia wananchi usalama siku ya uchaguzi, yatoa onyo watakaovunja amani
Jeshi la Polisi nchini limetoa hakikisho kwa Watanzania kuwa hali ya usalama imeimarishwa...
Serikali yagawa hati 580 za kimila kwa wananchi wa Sikonge
Serikali imetoa jumla ya hati 580 za hakimiliki za kimila kwa wananchi wa Kijiji cha Makibo...
Makarani wa Uchaguzi Mkuu wilayani Itigi mkoani Singida wametahadharishwa kutotekeleza majukumu yao kwa kuzingatia uzoefu wa ush…
Makarani wa Uchaguzi Mkuu wilayani Itigi mkoani Singida wametahadharishwa kutotekeleza majukumu yao kwa kuzingatia uzoefu wa ushiriki katika vipindi kama hivi na badala yake wasome, wajifunze na wazingatie miongozo ya…
Ufaransa yatangaza kuwa tayari kutuma wanajeshi nchini Ukraine
Pars Today- Mkuu wa Komandi Kuu ya Jeshi la Ufaransa ametangaza kwamba ikiwa Russia na Ukraine zitafikia makubaliano ya kusitisha mapigano, Paris itakuwa tayari kutuma wanajeshi nchini Ukraine kama sehemu…
Ofisi ya Mufti yaeleza sababu kutofunga madrasa siku ya uchaguzi
Ofisi ya Mufti Zanzibar, imeeleza sababu za kutofunga madrasa wakati wa kuelekea uchaguzi mkuu...
Lamine Yamal awasha moto kabla ya El Clásico
Mshambuliaji chipukizi wa Barcelona, Lamine Yamal, ameongeza chachu ya joto la El Clasico baada...
De Bruyne amwanga machozi uwanjani
Mchezaji nyota wa Napoli, Kevin De Bruyne, alionekana kushindwa kujizuia kwa hisia baada ya...
#HABARI: Mkoa wa Morogoro una mtandao wa Barabara wa kilometa 2,071.23, katika mtandao huo, Barabara kuu ni kilometa 849.43 na B…
#HABARI: Mkoa wa Morogoro una mtandao wa Barabara wa kilometa 2,071.23, katika mtandao huo, Barabara kuu ni kilometa 849.43 na Barabara za mkoa ni kilometa 1,221.81.Aidha jumla ya Kilomita 510.37…
Trump aanza ziara barani Asia, kukutana na rais wa China
Rais wa Marekani, Donald Trump leo Jumapili Oktoba 26, 2025 amewasili nchini Malaysia ikiwa ni...
#HABARI: Jeshi la Polisi limesema yeyote atakayevunja sheria siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025 asilaumu kwa hatua zitakazoch…
#HABARI: Jeshi la Polisi limesema yeyote atakayevunja sheria siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025 asilaumu kwa hatua zitakazochukuliwa dhidi yake kwa mujibu wa sheria kwani elimu imetolewa vya kutosha…
Slot: Hili ndilo pambano baya zaidi kwangu
Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema kipigo walichokipata kutoka kwa Brentford ndicho kibaya...
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt
Mgombea wa Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuendelea kujenga viwanja 17 vya kisasa vya michezo ili kuwasaidia wanamichezo kuwa na…
Hamas: Israel imeshindwa kufikia malengo yake kupitia mauaji ya kimbari
Harakati ya Kiislamu ya Mapambano ya Ukombozi wa Palestina, Hamas, limesisitiza kuwa utawala wa Israel umeshindwa kufanikisha malengo yake kupitia vita vya zaidi ya miaka miwili vya mauaji ya kimbari…
Jeshi la Sudan lapambana na waasi wa RSF katika miji ya el-Fasher na Bara
Mapigano yamezidi kushadidi maeneo kadhaa ya Sudan baada ya waasi wa RSF kuendeleza mashambulizi dhidi ya mji wa el-Fasher ulioko Kaskazini mwa Darfur, pamoja na mji wa Bara katika mkoa…
Araghchi: Iran iko tayari kwa mazungumzo ya kidiplomasia na Marekani kwa msingi wa kuheshimiana
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa Tehran iko tayari kushiriki katika mazungumzo ya kidiplomasia na Marekani ili kufikia “suluhisho la busara” kuhusu suala la nyuklia,…
Muungaji mkono Palestina achaguliwa kuwa rais wa Ireland
Bi. Catherine Connolly, mgombea wa mrengo wa kushoto katika uchaguzi wa urais nchini Ireland ambaye anajulikana kwa misimamo yake ya kuunga mkono Palestina, ameibuka mshindi katika uchaguzi huo.
Ethiopia na Somalia zaahidi amani katika eneo wakati wa Jukwaa la 11 la Tana
Ethiopia na Somalia zimeithibitishia dunia dhamira yao ya kudumisha amani ya kikanda wakati Jukwaa la 11 la Tana ambalo limejadili jukumu la kimkakati la Pembe ya Afrika.
Kocha Fountain Gate afariki dunia
KOCHA Mkuu wa Fountain Gate Princess, Noah Kanyanga amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Oktoba 26, 2025 jijini Dodoma baada ya kuugua ghafla.
Raha, karaha wenza kupishana sana umri
Kwa wale wanaowaza kuingia kwenye ndoa zenye tofauti kubwa ya umri, ni vyema kujiuliza: Je...
Ukitaka kuoa au kuolewa na malaika umekwisha
Kabla hujaanza kumtafuta mchumba, ni muhimu kwanza ujitafakari na kujielewa.
Kauli ya Patrick Mabedi kuhusu kocha mpya Yanga, asisitiza haya…
Matola, Kapombe waitangazia vita Nsingizini Hotspurs KOCHA Msaidizi wa Simba, Selemani Matola na nahodha wa timu hiyo, Shomari Kapombe, wametamba kuendelea kufanya vizuri katika mechi ya mkondo wa pili ya…
Unautambuaje uwezo wako wa kimapenzi?
Kujitambua ni hatua ya msingi inayomsaidia mtu kuelewa vizuri anachotaka na kile ambacho...
Tumia mbinu hizi kuzuia wivu, migogoro ya watoto
Hata hivyo, wivu na migogoro kati ya ndugu ni mambo ya kawaida yanayotokea katika familia...
Wanawake wasivyopenda kuolewa na wanaume aina hii
Mtoto wa mama anaweza akapanga na mke wake wafungue duka, wakakubaliana kila kitu, lakini kabla...
LEO Mnyama Simba SC atakuwa dimba la Benjamini Mkapa akiwakaribisha Nsingizini kutoka Eswatin mechi ya marudiano Ligi ya Mabingw…
LEO Mnyama Simba SC atakuwa dimba la Benjamini Mkapa akiwakaribisha Nsingizini kutoka Eswatin mechi ya marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika. Mechi hii itapigwa kuanzia saa 10:00 jioni na kuruka mbashara…
ONGEA NA ANTI BETTI: Ameolewa ananilazimisha nitembee naye
Nilikuwa na uhusiano wa mapenzi na binti mmoja kwa miaka kadhaa kabla ya kuachana na kila mmoja...
Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kaskazini kuzuru Urusi na Belarus (KCNA)
Waziri wa Mambo ya Nje wa Korea Kaskazini Choe Son Hui atazuru Urusi na Belarus, shirika la habari la serikali ya Pyongyang la KCNA limetangaza siku ya Jumapili, Oktoba 26,…
Trump atangaza kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Thailand na Cambodia
Donald Trump ametangaza kusainiwa kwa mkataba wa amani kati ya Thailand na Cambodia alipowasili Malaysia siku ya Jumapili kama sehemu ya ziara yake barani Asia, ziara ya kwanza tangu arudi…
Ukraine: Watatu wamekufa Kyiv katika shambulio la ndege zisizo na rubani za Urusi
Shambulio la ndege zisizo na rubani za Urusi dhidi ya Kyiv limeghariumaisha ya watu watatu, meya wa mji mkuu wa Ukraine, Vitali Klitschko, ametangaza leo Jumapili. “Kulingana na ripoti za…
Kwa nini UNRWA huko Gaza inalengwa kwa mashinikizo ya kisiasa
Mkuu wa Shirika la Misaada na Ajira kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) amesema: Vita vya Gaza vimeonyesha kwamba sheria za kimataifa hazizingatiwi kabisa.
Msumbiji: TotalEnergies yatangaza rasmi kuanzisha tena mradi wake mkuwa wa gesi
Kampuni ya Ufaransa ya TotalEnergies imethibitisha siku ya Jumamosi, Oktoba 25, kuanza tena kwa mradi wake mkubwa wa gesi katika eneo la Cabo Delgado nchini Msumbiji. Licha ya tishio la…
Marekani: Mkataba muhimu wa biashara ambao Donald Trump anatarajia kupata kutoka kwa Xi Jinping
Rais wa Marekani yuko katika ziara ya siku sita barani Asia, kuanzia Malaysia. Kisha anatarajiwa kuzuru Japani na Korea Kusini. Ziara hiyo pia inajumuisha mkutano na Rais wa China Xi…
Kufanyishwa kazi watoto Sudan Kusini kwafikia viwango vya kutisha
Ripoti iliyotolewa na serikali ya Sudan Kusini kwa ushirikiano na Save the Children imefichua kwamba takriban 64% ya watoto wa Sudan Kusini wenye umri wa kati ya miaka 5 na…
Rais wa Brazil akosoa Umoja wa Mataifa kwa kushindwa kuzuia mauaji ya kimbari Gaza
Rais wa Brazil, Luiz Inácio Lula da Silva, ameukosoa Umoja wa Mataifa na taasisi za kimataifa kwa kushindwa kuzuia mauaji ya kimbari ya Israeli dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa…
Wamarekani milioni 42 wako hatarini kukumbwa na njaa kutokana na kufungwa shughuli za serikali
Takriban Wamarekani milioni 42 wanakabiliwa na tishio la njaa ikiwa kufungwa kwa shughuli za Serikali ya Shirikisho kutaendelea, na iwapo ufadhili wa SNAP utasimamishwa Novemba 1.
Spika Berri: Umoja kati ya makundi ya Lebanon ndio msingi wa ushindi dhidi ya Israel
Nabih Berri Spika wa Bunge la Lebanon ametaja uhusiano na umoja uliopo kati ya serikali, wananchi, jeshi na vikosi vya Muqawama kama ufunguo wa kupata ushindi wa mwisho dhidi ya…
Serikali ya Tanzania yasikitishwa na ripoti ya Amnesty International kuhusu madai ya kukandamiza haki za binadamu
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeeleza kusikitishwa kwake na chapisho la shirika la Amnesty International lenye kichwa cha habari 'Wimbi la Ugaidi' Laikumba Tanzania Kabla ya Kura ya…
Namna ya kurejesha hofu ya Mungu ndani ya familia
Bwana Yesu asifiwe, ni siku nyingine ya Baraka Mungu ametupa mimi na wewe ili tuweze kumwabudu...
Je, maafa ya Ghuba ya Nguruwe yatakariri kwa Marekani kuhusiana na mvutano wa sasa na Venezuela
Huku uwezekano wa Marekani kuishambulia Venezuela ukiongezeka, kunajitokeza swali kwamba, je hadithi ya Ghuba ya Nguruwe (Bay of Pigs) itakaririwa kuhusiana na Venezuela