🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 24, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA NNE NA DAKIKA 55, OKTOBA 24, 2025
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kumsimamia mkandarasi kwa karibu hasa katika kipindi hiki cha mvua ili hatua za awali za…
Chad: Mawakili wa Succès Masra waomba mteja wao aachiliwe kwa sababu za kimatibabu
Mawakili wa Waziri Mkuu wa zamani wa Chad na kiongozi wa upinzani aneyezuiliwa jela Succès Masra waliwasilisha ombi la kuachiliwa kwa muda kwa mteja wao mnamo Oktoba 13, 2025, kwa…
#HABARI:Mahakama ya Wilaya Temeke Jijini Dar es Salaam Oktoba 22,2025 imewahukumu kutumikia kifungo cha miaka 35 jela Mohamed Al…
#HABARI:Mahakama ya Wilaya Temeke Jijini Dar es Salaam Oktoba 22,2025 imewahukumu kutumikia kifungo cha miaka 35 jela Mohamed Aloyce Mtangile mwenye umri wa miaka 32 mkazi wa yombo vituka na…
Vladimir Putin: Urusi iko chini ya vikwazo ‘vikubwa’ vya Marekani lakini bila ‘athari kubwa’
Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema siku ya Alhamisi, Oktoba 23, kwamba vikwazo vilivyowekwa dhidi ya Urusi na Marekani ni “vikubwa” lakini havitakuwa na “athari kubwa” katika uchumi wa nchi.…
Idadi ya wahamiaji wanaokwenda Uingereza yaongezeka licha ya makubaliano na Ufaransa
Hadi sasa, idadi ya vivuko haramu kwenye bahari Manche imezidi ile ya mwaka mzima wa 2024. Karibu watu 37,000 wamewasili kwenye fukwe za Uingereza, wakiwa ndani ya boti ndogo zinazoondoka…
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 24,2025 kwenye #MorningTrumpet #utv108
Mapitio ya #MAGAZETI leo Oktoba 24,2025 kwenye #MorningTrumpet #utv108 #AzamTVUpdates
Athari za mitandao ya kijamii kwa afya ya akili
Matumizi holela ya mitandao yanaweza kuathiri vibaya ustawi wa ujumla kwa kuchochea hali ya...
Pande zinazopigana za Sudan kukutana Washington
Wawakilishi kutoka Marekani, Saudi Arabia, Falme za Kiarabu, na Misri watakutana Ijumaa mjini Washington na pande zinazohusika katika mgogoro wa muda mrefu nchini Sudan ili kuzishinikiza kufikia makubaliano ya amani,…
Iran yamuonya mkuu wa IAEA: Vitisho vilivyofeli havitaleta isipokuwa kusindwa kwingine
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amemuonya mkuu wa shirika la nyuklia la Umoja wa Mataifa, Rafael Grossi, dhidi ya kutoa "vitisho vilivyoshindwa" dhidi ya Tehran, akisema…
WFP: Kiwango cha chakula kinachoingizwa Gaza ni kidogo mno
Shirika la Umoja wa Mataifa la Mpango wa Chakula (WFP) limetangaza kuwa, kiwango cha chakula kinachoingia Gaza bado kiko chini sana ya lengo la tani 2,000 kwa siku, likitoa wito…
Mashabiki wa Galatasaray wapamba majukwaa kwa bendera ya Palestina, wataka kukomeshwa mauaji ya kimbari Gaza
Mashabiki wa Galatasaray wa Uturuki wakitangaza himaya na uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina walipamba majukwaa ya uwanja wa Rams Park kwa bendera ya Palestina na kutoa wito wa…
Serikali isimamie lebo za lishe kwenye vyakula
Katika hili, jukumu la Serikali ni la msingi katika kuhakikisha kuwa lebo za lishe, hasa zile...
Haki ya malezi ya mtoto wanandoa wanapotengana
Uislamu umeweka kanuni za jumla pamoja na sharia maalumu zenye maelezo ya kina, ikiwemo sharia...
Azam na mechi ya kuandika historia
Historia mpya itaandikwa leo kwenye Uwanja wa Azam Complex Chamazi jijini Dar es Salaam, wakati...
Nigeria: Jeshi latangaza kuwaua wanajihadi 50 katika operesheni za angani kaskazini mwa nchi
Jeshi la Nigeria limetangaza Alhamisi, Oktoba 23, 2025, kwamba limewaua wanajihadi 50 wakati wa operesheni za anga na ardhini katika majimbo ya kaskazini ya Borno na Yobe. Hili ni jibu…
Ingawa kilimo cha zao la mwani kimezoeleka visiwani Zanzibar lakini kwa miaka 17 kimekuwa mhimili wa Maisha ya Mariamu Nanjota m…
Ingawa kilimo cha zao la mwani kimezoeleka visiwani Zanzibar lakini kwa miaka 17 kimekuwa mhimili wa Maisha ya Mariamu Nanjota mkazi wa kijiji cha Shuka mkoani Lindi. Simulizi yake inahadithiwa…
Siri, makosa upigaji wa chafya
Kupiga chafya ni mchakato wa kiasili unaosaidia mwili kuondoa vitu visivyotakiwa katika njia ya...
Mbeya City, JKT vita ipo kileleni
Ligi Kuu Bara inaendelea leo Ijumaa kwa mechi moja kupigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex jijini...
Siri ya kambi Marioo kuonekana kwenye video ya Diamond
Kati ya vitu anavyovipigania zaidi Marioo katika muziki wake kwa sasa, basi ni kolabo na...
Afrika Kusini: Rais wa zamani Jacob Zuma aagizwa kulipa zaidi ya euro Milioni 1
Mahakama ya Afrika Kusini imempa rais wa zamani Jacob Zuma siku 60 za kulipa zaidi ya Euro milioni 1. Mkuu huyo wa zamani wa nchi, kiongozi wa ufisadi na kashfa…
#KIPIMAJOTO: Ajali ya Treni ya SGR kwa mara ya kwanza
#KIPIMAJOTO: Ajali ya Treni ya SGR kwa mara ya kwanza. Je, ufanyike uchunguzi wa kina kuzuia tukio kama hilo kujirudia
DRC : Serikali na waasi wazidi kutuhumiana
Kinshasa – Mapigano makali bado yanaendelea mashariki mwa DRC, licha ya mazungumzo ya kumaliza vita hivyo yanayofanyika Doha kati ya serikali ya DRC na waasi wa AFC/M23. Imechapishwa: 24/10/2025 –…
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI …OKTOBA 24, 2025
🔴TAARIFA YA HABARI YA ASUBUHI ...OKTOBA 24, 2025
Matokeo ya uchaguzi wa rais wa Cameroon kutangazwa Jumatatu
Baraza la Katiba la Cameroon linasema kuwa litatangaza matokeo ya uchaguzi wa rrais siku ya Jumatatu tarehe 27 Oktoba, saa 11 asubuhi kwa saa za huko.
Mahdieh Esfandiari Muirani mtetezi wa Palestina aachiliwa huru
Mahdih Esfandiari, mwanaharakati wa Iran anayewaunga mkono watu wa Palestina, ameachiliwa kwa masharti kutoka katika jela ya Ufaransa baada ya kuzuiliwa kwa zaidi ya miezi saba.
Ijumaa, tarehe 24 Oktoba, 2025
Leo ni Ijumaa tarehe Pili Jamadil Awwal 1447 Hijria sawa na tarehe 24 Oktoba 2025.
Stuttgart waangukia pua mikononi mwa Fenerbahce ya Uturuki
Timu inayoshiriki Ligi Kuu ya Ujerumani Bundesliga, VfB Stuttgart imelazwa 1-0 na Fenerbahce ya Uturuki usiku wa kuamkia leo katika mechi ya hatua ya makundi ya Ligi ya Ulaya.
Pande zinazozozana Sudan kukutana Washington
Wawakilishi wa Marekani, Saudi Arabia, Umoja wa falme za Kiarabu na Misri watakutana leo mjini Washington na pande zinazozozana kwa muda sasa nchini Sudan.
EU yaweka mikakati ya kusitisha utoaji wa gesi chafu
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wameanzisha hatua ya mwisho kuelekea kufikia makubaliano ya lengo la miaka kumi la kupunguza utoaji wa gesi chafu ya kaboni kuelekea mkutano mkuu wa mazingira…
Starmer kutoa wito Ukraine kuongezewa makombora na Ulaya
Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer atatoa mwito kwa viongozi wa Ulaya kuongeza msaada wa makombora ya masafa marefu kwa Ukraine katika mkutano wa kilele utakaofanyika mjini London Ijumaa.
Trump kutoiunga mkono Israel ikiuvamia Ukingo wa Magharibi
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Marekani haitoiunga mkono tena kivyovyote Israel iwapo itauvamia Ukingo wa Magharibi, ambao imeukalia kimabavu tangu mwaka 1967.
Ni mambo gani yameifanya Israel itengwe kisiasa na kijamii kiasi hiki?
Israel inakabiliwa na mgogoro mkubwa zaidi wa kisiasa katika historia yake. Yair Lapid, kiongozi wa upinzani wa utawala wa Kizayuni, alikiri hivi karibuni katika kikao cha kamati moja ya Knesset…
Ni mambo gani yameifanya Israel itengwe kisiasa na kijamii kiasi hiiki?
Israel inakabiliwa na mgogoro mkubwa zaidi wa kisiasa katika historia yake. Yair Lapid, kiongozi wa upinzani wa utawala wa Kizayuni, alikiri hivi karibuni katika kikao cha kamati moja ya Knesset…
Ulaya yaweka mikakati ya kusitisha utoaji gesi chafu
Viongozi wa Umoja wa Ulaya wameanzisha hatua ya mwisho kuelekea kufikia makubaliano ya lengo la miaka kumi la kupunguza utoaji wa gesi chafu ya kaboni kuelekea mkutano mkuu wa mazingira…
24.10.2025
Rais wa Marekani Donald Trump atishia kutoiunga mkono Israel iwapo itauvamia Ukingo wa Magharibi//Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer kutoa wito wa Ukraine kuongezewa makombora na Ulaya//Na Umoja wa Ulaya…
24.10.2025 – Taarifa ya Habari ya Asubuhi
Rais wa Marekani Donald Trump atishia kutoiunga mkono Israel iwapo itauvamia Ukingo wa Magharibi//Waziri Mkuu wa Uingereza Keir Starmer kutoa wito wa Ukraine kuongezewa makombora na Ulaya//Na Umoja wa Ulaya…
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Oktoba 24, 2025
Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers muda wote bonyeza hapa
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 23, OKTOBA 2025
🔴JIJI LETU KUTOKA DAR ES SALAAM: 23, OKTOBA 2025
Erdogan akamilisha ziara ya Ghuba, akitia saini mikataba 24 mipya na Kuwait, Qatar na Oman
Ziara ya siku tatu ya Rais wa Uturuki ililenga katika kuimarisha uhusiano wa pande mbili, ushirikiano wa kikanda, na kuunga mkono suluhisho la mataifa mawili katika Mashariki ya Kati.
“sisi ni Watanzania ni lazima tujuwe fahari ya Kitanzania tuna ufahari gani na namna ya kujua ufahari wetu sisi Watanzania nd…
“sisi ni Watanzania ni lazima tujuwe fahari ya Kitanzania tuna ufahari gani na namna ya kujua ufahari wetu sisi Watanzania ndio tuna rasilimali nyingi, tuna mbuga za wanyama, tuna Ngorongoro,…
“kwa hiyo tukishakuwa na akili zetu kwenye huu mtazamo sasa itatusaidia kwenda kufata zile taratibu ambazo zimewekwa na Tume ya…
“kwa hiyo tukishakuwa na akili zetu kwenye huu mtazamo sasa itatusaidia kwenda kufata zile taratibu ambazo zimewekwa na Tume ya uchaguzi kwamba kabla ya uchaguzi kama sasa hivi tunapaswa tuhuzulie…
Mwamuzi aliyefungiwa miezi mitatu na kumaliza adhabu, apewa onyo kali ZPL
UNAMKUMBUKA mwamuzi Thobias Wariko, aliyefungiwa kwa muda wa miezi mitatu kutokana na kushindwa kutafsiri vyema sheria za mpira wa miguu katika nusu fainali ya Kombe la Shirikisho (ZFF Cup) iliyomalizika…
Mgombea Gombo Samandito Gombo wa Chama Cha Wananchi (CUF) amewaahidi wazee nchini kupokea mshahara kila mwezi kutoka katika seri…
Mgombea Gombo Samandito Gombo wa Chama Cha Wananchi (CUF) amewaahidi wazee nchini kupokea mshahara kila mwezi kutoka katika serikali yake iwapo atafanikiwa kushinda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.…
Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kupitia kwa mgombea wake wa Urais, Salum Mwalimu amesema akifanikiwa kitwara kiti hicho ata…
Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kupitia kwa mgombea wake wa Urais, Salum Mwalimu amesema akifanikiwa kitwara kiti hicho atahakikisha anatoa kipaumbele kwa wazawa katika uendelezaji wa rasilimali za madini.…
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha CCK, David Daud Mwaijojele ameahidi kuimarisha huduma za afya kila kata nchini iwapo…
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha CCK, David Daud Mwaijojele ameahidi kuimarisha huduma za afya kila kata nchini iwapo atachaguliwa kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu. Ametoa ahadi hiyo kwenye…
Jeshi la Nigeria lawaua zaidi ya wanamgambo 50 wa Boko Haram
Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limewaua wanamgambo zaidi ya 50 wa kundi la Boko Haram baada ya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani kutekelezwa na kundi hilo dhidi ya kambi…
Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema akifanikiwa kushinda muhula wa pili wa Urais wa Zanzibar atahakikisha kunakuwepo na ongezeko la …
Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema akifanikiwa kushinda muhula wa pili wa Urais wa Zanzibar atahakikisha kunakuwepo na ongezeko la ajira kupitia sekta za ualimu, afya na vikosi vya SMZ ili…
Familia ya Heche yahoji alipo ndugu yao, yatoa siku moja
Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikihoji alipo Makamu Mwenyekiti wa chama...