Waangalizi wa Uchaguzi kutoka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamezindua rasmi safari za kuelekea katika mik…
Waangalizi wa Uchaguzi kutoka Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wamezindua rasmi safari za kuelekea katika mikoa mbalimbali ya Tanzania, kwa ajili ya kufuatilia maandalizi na mwenendo wa…
Mashujaa yapiga mkwara ikiikaribisha Namungo
MASHUJAA imeahidi kufanya vizuri dhidi ya Namungo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika mjini Kigoma, kesho.
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) mkoani Katavi imetakiwa kuongeza juhudi katika utoaji wa elimu ya bima, hususan katika maene…
Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) mkoani Katavi imetakiwa kuongeza juhudi katika utoaji wa elimu ya bima, hususan katika maeneo ya vijijini ambako mara nyingi huduma na elimu hiyo haifikii…
Ujerumani yaahidi kuisaidia Ukraine katika msimu wa baridi
Waziri wa uchumi wa Ujerumani Katherina Reiche amewasili nchini Ukraine leo pamoja na ujumbe wa kibiashara, na kuahidi msaada kwa Ukraine wakati wa msimu wa baridi unaokuja .
Wajerumani wengi waunga mkono kauli ya Merz kuhusu uhamiaji
Raia wengi wa Ujerumani wanakubaliana na matamshi ya hivi karibuni ya kansela wa Ujerumani Friedrich Merz yanayopendekeza kwamba matatizo yanatokana na uhamiaji yanadhihirika wazi katika barabara za nchi hiyo.
Trump: Israel haitaunyakua Ukingo wa Magharibi
Rais wa Marekani Donald Trump ameionya vikali Israel dhidi ya mpango wake wa kulinyakua eneo la Ukingo wa Magharibi siku kadhaa baada ya kuanza kwa utekelezwaji wa makubaliano ya kusitisha…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, OKTOBA 24, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SABA NA DAKIKA 55, OKTOBA 24, 2025
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bw
#HABARI: Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Bw. Benno Malisa amewataka wananchi wa mkoani hapo waliojiandaa kufanya vurugu zinazohamasishwa kwenye mitandao ya kijamii siku ya uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, wajionye…
Job awaita mashabiki kwa Mkapa kesho
BAADA ya Yanga kupoteza kwa bao 1-0 dhidi ya Silver Strikers Oktoba 18, 2025, beki na nahodha msaidizi wa timu hiyo, Dickson Job amesema hawatakubali unyonge kufungwa tena nyumbani Uwanja…
Oxfam: Zaidi ya watu milioni 21 wahitaji msaada Kongo
Zaidi ya watu milioni 21 wanahitaji msaada wa kibinadamu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, hii ikiwa idadi ya karibu humusi moja ya watu. Haya ni kwa mujibu wa shirika…
Kamwe: Mageti kwa Mkapa wazi kwa saa nne pekee
Kuelekea mchezo wa kesho wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Silver, mageti yatafunguliwa saa 4:00 asubuhi na kufungwa saa 8:30 mchana.
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro, Rose Ebrahim, amewahimiza watumishi wa mahakama katika kanda hiyo kuendelea kus…
Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Morogoro, Rose Ebrahim, amewahimiza watumishi wa mahakama katika kanda hiyo kuendelea kusimamia na kuzingatia misingi ya kazi yao, huku wakitimiza wajibu wao kwa…
Mabedi: Njoo muone, Yanga ipo tayari
KAIMU kocha Mkuu wa Yanga, Patrick Mabedi ambaye ni raia wa Malawi, amesema ushindi dhidi ya Silver Strickers ni muhimu ili kuhakikisha timu inatinga hatua ya makundi katika Ligi ya…
Kundi la Quad kufanya mkutano kuhusu Sudan mjini Washington
Wawakilishi wa Marekani, Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu na Misri wanakutana leo Ijumaa mjini Washington na pande husika katika vita vya Sudan, wakilenga kuzishinikiza kuelekea kwenye makubaliano ya…
Ulaya yaihakikishia Ukraine Ufadhili
Umoja wa Ulaya kuweka mipango ya kuifadhili Ukraine kwa miaka miwili huku suala la kutumia mali zilizozuiwa za Urusi kufidia mikopo kwa Ukraine likiendelea kuwa tete.
Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran: Trump ni mlea magaidi
Imamu wa muda wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesisitiza kuwa Rais wa Marekani Donald Trump ni gaidi, na iwapo dunia inataka kumtambua gaidi halisi, basi mtu huyo si mwingine…
Rais Ruto asema miswada aliyosaini siku ya kifo cha Raila inalinda watoto
Rais wa Kenya, William Ruto, ametetea hatua yake ya kusaini miswada minane kuwa sheria mnamo Oktoba 15, 2025—siku hiyo hiyo ambayo taifa lilipokea taarifa za kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu,…
Afisa wa UN aitaka Israel kutii uamuzi wa ICJ kuhusu msaada kwa Gaza
Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa, Volker Turk, ameitaka Israel kutekeleza kwa haraka uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), akisisitiza wajibu…
Kumekuwa na mitazamo hasi kuwa, kuchangia damu kunaweza kukuletea athari, lakini ukweli ni kuwa, hakuna athari yoyote mtu anawez…
Kumekuwa na mitazamo hasi kuwa, kuchangia damu kunaweza kukuletea athari, lakini ukweli ni kuwa, hakuna athari yoyote mtu anaweza kupata akichangia damu kama wanavyoeleza, Dkt. Pendaeli Sifueli Dkt. Abilius Fidel.…
Ali Larijani:Mashinikizo ya kiuchumi hayawezi kuvunja irada imara ya Iran
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Larijani, amesisitiza kuwa mashinikizo la kiuchumi kutoka mataifa ya Magharibi hayawezi kuathiri uthabiti wa taifa.
China na Russia zalaani vikali vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya sekta ya nishati Russia
Russia imelaani vikali vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani dhidi ya makampuni yake makubwa ya mafuta, ikionya kuwa hatua hizo za Washington zinaweza kuisukuma dunia kuelekea hali ya kutokuwa na utulivu.
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt
#HABARI: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan, akipokea ujumbe maalum wa Rais wa Jamhuri ya Congo (DRC) Mhe. Felix Antoine Tshisekedi, uliowasilishwa na Mjumbe Maalum…
Brian Deacon nyota wa kipindi chote kwenye filamu ya Yesu
Hakuna ubishi zipo filamu nyingi zinazohusiana na simulizi za kidini hususani za Yesu...
Inaelezwa kuwa, kuchangia damu kunapunguza hatari ya mchangiaji kupata magonjwa ya moyo na pia kunapunguza wingi wa mafuta mwili…
Inaelezwa kuwa, kuchangia damu kunapunguza hatari ya mchangiaji kupata magonjwa ya moyo na pia kunapunguza wingi wa mafuta mwilini. Msikilize Meneja Damu Salama Kanda ya Mashariki, Dkt. Pendaeli Sifueli akifafanua…
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, OKTOBA 24, 2025
🔴HABARI ZA SAA, SAA SITA NA DAKIKA 55, OKTOBA 24, 2025
Waasi wa M23 nchini DRC wakanusha kuiba dhahabu
Kampuni inayofanya kazi katika jimbo la Kivu Kusini, ambayo sehemu kubwa iko chini ya udhibiti wa M23, ilisema wiki hii kwamba M23 "imesafirisha dhahabu kwa njia ya siri."
Benitez anyemelea rekodi mpya Ugiriki
Meneja wa zamani wa Liverpool na Real Madrid, Rafa Benitez ataandika rekodi ya kuwa Meneja wa...
#MEZAHURU: Fukwe za bahari
#MEZAHURU: Fukwe za bahari. Tunaangalia juu ya umuhimu wa fukwe za bahari na matunzo yake. Je, zipo chini ya uangalizi wa nani?. Je usalama wa watumiaji wa fukwe hizi upoje?…
Cote d’ivore: Wananchi wajiandaa kupîga kura siku ya Jumamosi
Wananchi wa Cote Dvoire, kesho watapiga kura kwenye uchaguzi mkuu ambao rais Alassane Ouattara, anatarajiwa kushinda muhula wa nne, baada ya wapinzani wake wakuu rais za zamani Laurent Gbagbo na…
#HABARI: Meneja Mkuu wa Chama Kikuu cha Ushirika cha TANECU LTD Mohamed Mwinguku, amezitaka taasisi za kifedha kuharakisha malip…
#HABARI: Meneja Mkuu wa Chama Kikuu cha Ushirika cha TANECU LTD Mohamed Mwinguku, amezitaka taasisi za kifedha kuharakisha malipo ya wakulima wa korosho na kutoa taarifa mapema badala ya kusubiri…
Ukarabati wa ukumbi wa wageni wa Trump waibua ukosoaji
Rais wa Marekani Donald Trump anapata wapi pesa za kukarabati sehemu ya Mashariki ya Ikulu kwa ajili ya wageni karibu 1,000 wakati serikali ikiwa imefungwa Wakosoaji wanatoa onyo kuhusu rushwa…
#HABARI: Abiria waliokuwa wanasafiri na treni za SGR kati ya Dar es Salaam na Dodoma wameipongeza Serikali na Shirika la Reli Ta…
#HABARI: Abiria waliokuwa wanasafiri na treni za SGR kati ya Dar es Salaam na Dodoma wameipongeza Serikali na Shirika la Reli Tanzania (TRC) kwa kuchukua hatua haraka na kurejesha huduma…
Lissu aomba dhamana, mahakama yamkatalia
Awali, Jamhuri katika kesi hiyo ya uhaini inayomkabili Lissu, iliomba iahirishwe mpaka Novemba...
Carbonnier: Afrika inasumbuliwa na migogoro 50 ya silaha, ikiwakilisha 40% ya migogoro ya kimataifa
Gilles Carbonnier, Makamu wa Rais wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC), ameelezea masikitiko yake kuhusu uwepo wa zaidi ya migogoro 50 inayoendelea barani Afrika, ikiwakilisha takriban 40% ya…
Iran yalaani muswada wa Knesset ya Israel wa kunyakuliwa Ukingo wa Magharibi
Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali muswada uliopasishwa katika Bunge la Israel (Knesset) wa kunyang'anywa eneo la Ukingo wa Magharibi huko Palestina ukiutaja kuwa ni ukiukaji wa…
Humanity and Inclusion: Kuondoa mada za milipuko Ukanda wa Gaza kutachukua miaka 30
Afisa wa taasisi ya Humanity and Inclusion amesema kazi ya kukusanya silaha ambazo hazijalipuka katika Ukanda wa Gaza inaweza kuchukua kipindi cha miaka 20 hadi 30, akilitaja eneo hilo kama…
Baraza la Utawala Sudan: Hakuna mazungumzo na RSF huko Washington
Baraza la utawala wa Mpito la Sudan limekanusha madai ya kuwepo mazungumzo yoyote ya moja kwa moja au yasiyo ya moja kwa moja na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF)…
Makumi ya waasi wauawa katika mashambulizi ya jeshi mashariki mwa Nigeria
Jeshi la Nigeria limetangaza kwamba limewaua wanamgambo 50 waliokuwa wakiendesha shughuli zao katika makundi yenye msimamo mkali ambao walikuwa wametumia ndege zisizo na rubani kufanya mashambulizi kadhaa kwenye kambi za…
#HABARI: Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu imeahirishwa hadi No…
#HABARI: Kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu imeahirishwa hadi Novemba 3 baada ya upande wa Jamhuri leo Oktoba 24, 225 kusema hawana…
Rais Samia Suluhu Hassan ameidhinisha kuwa Oktoba 29, 2025 ni siku ya mapumziko kutoa nafasi kwa wananchi wenye sifa stahiki wak…
Rais Samia Suluhu Hassan ameidhinisha kuwa Oktoba 29, 2025 ni siku ya mapumziko kutoa nafasi kwa wananchi wenye sifa stahiki wakiwemo watumishi wa umma na wafanyakazi katika sekta binafsi, kutumia…
VIDEO: Lissu alivyofikishwa tena Mahakama Kuu leo
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendelealo (Chadema), Tundu Lissu...
🔴KONGAMANO LA AMANI TABORA, OKTOBA 24, 2025
🔴KONGAMANO LA AMANI TABORA, OKTOBA 24, 2025
Oktoba 29 mapumziko ya kitaifa kwa ajili ya kupiga kura
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi tayari imetoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi siku hiyo...
KONA YA MSTAAFU: Iko wapi nchi ya asali na maziwa kwa wastaafu?
Miaka 48 iliyopita wakati tukianza ajira moja kwa moja kutoka shule, mashirika, kampuni za umma...
Baadhi ya abiria waliokuwa wakisafiri kwa treni za SGR kati ya Dar es Salaam na Dodoma wamesema wamefarijika kuona huduma za usa…
Baadhi ya abiria waliokuwa wakisafiri kwa treni za SGR kati ya Dar es Salaam na Dodoma wamesema wamefarijika kuona huduma za usafiri wa reli hiyo kurejea muda mfupi baada ya…
Maandamano mapya yazuka Kaskazini mwa Cameroon, raia bado kusubiri matokeo ya uchaguzi
Wakati raia wa Cameroon bado wakisubiri kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi wa urais, siku ya Jumatatu, Oktoba 27, huku kukiwa na wasiwasi mkubwa, kutokuwa na uhakika, na maandamano, baadhi ya…
Iko wapi nchi ya asali na maziwa kwa wastaafu?
Miaka 48 iliyopita wakati tukianza ajira moja kwa moja kutoka shule, mashirika, kampuni za umma...
Marekani: Katika hali ya vita vya biashara, Trump kukutana na Xi Jinping Korea Kusini
Trump ataanza ziara kubwa ya kidiplomasia barani Asia, Oktoba 30 kwa mkutano wa maamuzi na Rais wa China Xi Jinping nchini Korea Kusini. Imechapishwa: 24/10/2025 – 08:26 Dakika 2 Wakati…
Korea Kaskazini Jumba la Makumbusho kwa wanajeshi waliouawa Ukraine
Korea Kaskazini imeanza kujenga Jumba la Makumbusho kwa wanajeshi wake waliofariki katika vita wakisaidi Urusi nchini Ukraine, vyombo vya habari vya serikali vimeripotisiku ya Alhamisi, huku wa nchi hiyo kiongozi…