Wadau wa elimu wakiwemo wataalamu wa taaluma ya ualimu wameiomba serikali kupitia Wizara ya Elimu kutumia upimaji maarifa wa tai…
Wadau wa elimu wakiwemo wataalamu wa taaluma ya ualimu wameiomba serikali kupitia Wizara ya Elimu kutumia upimaji maarifa wa taifa kwa wanafunzi wa darasa la nne ulioanza jana na kumalizika…
“kwa sababu ulinzi na usalama wa taifa letu pendwa la Tanzania ni jukumu takatifu la kila Mtanzania, mwenye mapenzi mema na nchi…
“kwa sababu ulinzi na usalama wa taifa letu pendwa la Tanzania ni jukumu takatifu la kila Mtanzania, mwenye mapenzi mema na nchi yake si jukumu la vyombo vya ulinzi na…
Mgombea Urais wa Zanzibar wa chama cha UPDP, Hamad Mohamed Ibrahim ameahidi kulipa kipaumbele suala la elimu ikiwemo kuwapeleka …
Mgombea Urais wa Zanzibar wa chama cha UPDP, Hamad Mohamed Ibrahim ameahidi kulipa kipaumbele suala la elimu ikiwemo kuwapeleka vijana wahandisi katika nchi mbalimbali zilizopiga hatua kubwa zaidi ili kujifunza…
Mgombea Urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutoka chama cha ADA TADEA kuweka mazingiara bora ya wajasiriamali wa kilimo …
Mgombea Urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutoka chama cha ADA TADEA kuweka mazingiara bora ya wajasiriamali wa kilimo cha mwani na wakulima wa mabwawa ya chumvi kwa kuwapa…
🔴MALUMBANO YA HOJA: KUELEKEA SIKU YA UCHAGUZI JUMATANO IJAYO, JE NINI KIFANYIKE KULINDA AMANI .?”
🔴MALUMBANO YA HOJA: KUELEKEA SIKU YA UCHAGUZI JUMATANO IJAYO, JE NINI KIFANYIKE KULINDA AMANI .?”
#HABARI: Familia ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw
#HABARI: Familia ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw. Jonh Heche, imeliomba Jeshi la Polisi, kuwaeleza ni wapi alipo ndugu yao ambaye alikamatwa na jeshi hilo…
#HABARI: Mtemi wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili mkoani Mwanza Shaban Ramadhan amekemea vikali tabia ya baadhi ya waganga wana…
#HABARI: Mtemi wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili mkoani Mwanza Shaban Ramadhan amekemea vikali tabia ya baadhi ya waganga wanaojihusisha na vitendo vya ukatili, ikiwemo wale wanaopiga ramli chonganishi…
#HABARI: Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Arusha Cecilia Pareso amewataka wananchi wa Jimbo la Songwe mkoani Songwe kuip…
#HABARI: Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Arusha Cecilia Pareso amewataka wananchi wa Jimbo la Songwe mkoani Songwe kuipa kura za kishindo CCM kwa kumchagua Mgombea wa Urais wa…
Makala amwaga noti Mbuni FC, aahidi kambi ya kisasa
Mkoa wa Arusha umeendelea kuonyesha dhamira ya kuitaka Ligi Kuu msimu ujao baada ya Mkuu wa...
#HABARI: Rais William Ruto ametetea uamuzi wake wa kutia saini mswada wa matumizi mabaya ya kompyuta na makosa ya mtandao ambao …
#HABARI: Rais William Ruto ametetea uamuzi wake wa kutia saini mswada wa matumizi mabaya ya kompyuta na makosa ya mtandao ambao ni marekebisho ya sheria ya kompyuta, 2024, Oktoba 15,…
Mkenya aliyeshinda mbio za Marathon apigwa marufuku kwa kutumia dawa za kuongeza nguvu
Sampuli yake ya mkojo iliyochukuliwa mwezi Machi ilionyesha kiwango cha dawa hiyo kilichozidi kiwango kinachoruhusiwa mara 190.
#HABARI: Waziri Mkuu Mhe
#HABARI: Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa Kituo cha Polisi Nandagala, Ruangwa mkoani Lindi na kuagiza kituo hicho kianze kazi ifikapo Novemba 1, mwaka huu. Mhe. Majaliwa amemuagiza…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma, linamshikilia mtuhumiwa mmoja mwenye umri wa miaka 46, mkazi wa Kamala, Wilaya ya Kigom…
#HABARI: Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma, linamshikilia mtuhumiwa mmoja mwenye umri wa miaka 46, mkazi wa Kamala, Wilaya ya Kigoma, Mkoa wa Kigoma kwa tuhumu ya mauaji ya mtoto…
Tucta kusimamia utekelezaji wa nyongeza ya kima cha chini kwa sekta binafsi
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta) limeishukuru Serikali kwa kuifanyia kazi...
Sh12 bilioni zatengwa kulinda bayoanwai kwenye misitu nchini
Jumla ya Dola za Marekani milioni 4.94 ambazo ni zaidi ya Sh12 bilioni, zimetengwa kufanikisha...
Mwalimu: Kapigeni kura mkifikiria mashimo mlioachiwa kwenye migodi yenu
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma...
#HABARI: Mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Temeke Mkoani Dar Es Salaam kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mariam Kis…
#HABARI: Mgombea wa nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Temeke Mkoani Dar Es Salaam kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mariam Kisangi amemshukuru Mgombea wa nafasi ya Urais wa…
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU OKTOBA 23, 2025 -LISSU ASHINDA PINGAMIZI LINGINE DHIDI YA SHAIDI WA TATU
🔴TAARIFA YA HABARI YA USIKU OKTOBA 23, 2025 -LISSU ASHINDA PINGAMIZI LINGINE DHIDI YA SHAIDI WA TATU
Ajali treni ya SGR ilivyoacha maswali
Ajali ya treni ya SGR iliyotokea mapema leo katika kituo cha Ruvu mkoani Pwani, mbali na...
Katika kuimarisha huduma za bima na kukuza uwekezaji nchini kampuni ya bima ya kimataifa ya Allianz imeingia katika ubia na kamp…
Katika kuimarisha huduma za bima na kukuza uwekezaji nchini kampuni ya bima ya kimataifa ya Allianz imeingia katika ubia na kampuni ya bima ya Sanlam na kuunda kampuni ya SanlamAllianz…
Khambay anatosha Babati mjini – Sumaye
Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye amewasihi wakazi wa mjini Babati mkoani Manyara, kumpa...
Profesa Mkenda amwombea kura Rais Samia akisema ameleta mageuzi makubwa ya elimu nchini
Mgombea ubunge wa Jimbo la Rombo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Profesa Adolf Mkenda...
SanlamAllianz yazindua rasmi chapa yake Tanzania
Sanlam na Allianz ziliungana 2023 kuunda kampuni kubwa ya bima barani Afrika, zikipanua huduma...
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Mhe
#HABARI: Mkuu wa Wilaya ya Mpanda, Mhe. Jamila Yusuf ameipongeza Wakala wa Nishati Vijijini (REA), kwa kuwezesha na kuhamasisha upatikanaji wa nishati bora na salama kwa wananchi walioko maeneo ya…
Serikali, vyama vya wafanyakazi kushirikiana kuokoa afya za watumishi kazini
Serikali imeanza kuchukua hatua mpya ya kuhakikisha kila mfanyakazi nchini anafanya kazi katika...
#HABARI: Ni msafara wa magari ukiondoka kwenye kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHAD…
#HABARI: Ni msafara wa magari ukiondoka kwenye kesi ya Uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, kesi hiyo itaendelea tena kesho kwa shahidi mwingine kuendelea…
#HABARI: Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka Iringa hadi Zambia kupitia Tunduma (TAZA)…
#HABARI: Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka Iringa hadi Zambia kupitia Tunduma (TAZA) umefikia asilimia 83.45 huku ukitarajiwa kukamilika ifikapo Mei 2026…
#HABARI: Wakulima wa Skimu ya Umwagiliaji maji wa mpunga Mwamapuli, wilayani Igunga, mkoani Tabora, wametakiwa kuacha kulima kwa…
#HABARI: Wakulima wa Skimu ya Umwagiliaji maji wa mpunga Mwamapuli, wilayani Igunga, mkoani Tabora, wametakiwa kuacha kulima kwa mazoea na badala yake wahamie kwenye kilimo biashara kwa kupima udongo kabla…
OMO aahidi kujenga chuo kikuu cha Maalim Seif Pemba
Kabla ya kutoa ahadi kwenye mkutano huo wa kampeni, Othman amedai kuwa licha ya Maalim Seif...
Wanariadha wa Tanzania warejea kwa furaha baada ya kufanya kweli Nagai City Marathon
WANARIADHA sita walioiwakilisha Tanzania katika mbio za Nagai City Marathon zilizofanyika Japan, wamerejea nchini kwa furaha baada ya kufanya kweli.
Djibouti yajipanga kwa mabadiliko ya katiba kuelekea uchaguzi wa urais 2026
Marekebisho yanayopendekezwa ya katiba bado hayajawekwa wazi kwa umma, lakini muda wa kutangazwa mabadiliko umeibua uvumi kuhusu athari zake katika uchaguzi wa urais wa mwaka 2026.
NMB ndani ya nafasi 40 bora benki vinara Afrika
Jarida la African Business limeiorodhesha Benki ya NMB Plc miongoni mwa benki 40 bora barani...
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt
Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesisitiza kuwa serikali ijayo chini ya CCM itaendelea kusimamia maendeleo ya watu kama msingi mkuu wa kujenga…
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Iringa limesema lipo tayari kutekeleza majukumu yake ya kulinda raia na mali zao huku likiwatoa …
#HABARI: Jeshi la Polisi mkoani Iringa limesema lipo tayari kutekeleza majukumu yake ya kulinda raia na mali zao huku likiwatoa hofu wananchi kuhusu usalama wao na kuwataka wananchi kutoa ushirikiano…
Dk Mwinyi afunga kampeni Pemba akitaja dhamira ya CCM kulinda tunu za Taifa
Mgombea urais wa Zanzibar Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi amefunga kampeni...
Mpango wa China kuhusu uongozi wa dunia unafanana na wa Uturuki hasa kuhusu mfumo mpya wa dunia
Wakati Marekani chini ya Donald Trump ikijiondoa katika majukumu yake ya kimataifa, Beijing inachukua nafasi hiyo kujaza pengo huku mfumo wa dunia ukipangwa upya.
KUELEKEA SIKU YA UCHAGUZI JUMATANO IJAYO, JE NINI KIFANYIKE KULINDA AMANI KABLA NA BAADA YA UCHAGUZI.?”
KUELEKEA SIKU YA UCHAGUZI JUMATANO IJAYO, JE NINI KIFANYIKE KULINDA AMANI KABLA NA BAADA YA UCHAGUZI.?”
Staa wa zamani Simba afariki dunia, baba mzazi afunguka kilichomuua mwanaye
Hello Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa Ready to continue your informative journey with us? Renew subscription Maybe later…
Wanawake wametakiwa kuhakikisha wanajitokeza kwa wingi kwenye zoezi la kupiga kura ili kupata kiongozi bora ambaye itakuwa rahis…
Wanawake wametakiwa kuhakikisha wanajitokeza kwa wingi kwenye zoezi la kupiga kura ili kupata kiongozi bora ambaye itakuwa rahisi kumweleza changamoto zinazowakabili wanawake na makundi mengine. Kauli hiyo imetolewa jijini Dar…
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kusisitiza dhamira ya serikali ya awamu ya sita kuhakikisha maendeleo jumuishi yanayomgusa kila Mtanzania bila ubaguzi, akisema zama…
Samia aahidi kuijenga Tanzania jumuishi
Mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan...
Benki ya NMB yashika nafasi ya 40 kwa ubora Afrika
Jarida la African Business limeiorodhesha Benki ya NMB Plc miongoni mwa benki 40 bora barani...
Diamond afunguka ishu ya kumtumia Zuchu, kuingiza pesa WCB
Staa wa Bongofleva, Diamond Platnumz amesema kuwa mke wake Zuchu ambaye pia ni msanii wake...
Uwanja wa Mao Zanzibar ni vituko tu, mamlaka yatoa ufafanuzi
VITUKO haviishi kwenye Ligi Kuu Soka Zanzibar (ZPL), safari hii, Mwanaspoti imeshuhudia kubwa zaidi wakati wa mechi za ligi hiyo zikiendelea kwenye Viwanja vya Mao, Unguja.
EU inavyopanga kutumia mali za Urusi kusaidia Ukraine
Umoja wa Ulaya unapanga kutumia mali za benki kuu ya Russia zilizozuwiliwa barani Ulaya kufadhili ulinzi na ujenzi wa Ukraine bila kuzitaifisha rasmi, kupitia mpango wa mkopo wa fidia wa…
Chid Benz haamini alipotoka, ajipanga kufanya haya….
Msanii mkongwe wa Bongofleva, Chid Benz, amesema kutokana na kupitia changamoto za utumiaji wa...
Serikali kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) i…
Serikali kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) imezindua rasmi mradi maalum wa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi…
Shomari Mbwana: Kutoka beki hadi golikipa
MCHEZO wa mpira wa miguu umekuwa na stori nyingi sana zinazowahusu wachezaji, makocha, mashabiki na hata wamiliki wa timu. Pengine si mara moja umewahi kusikia mchezaji anabadilisha nafasi ya kucheza…
🔴HAPA NA PALE KUTOKA RUVUMA: OKTOBA 23, 2025- WANANCHI WANUFAIKA NA MIKOPO YA UKOMBOZI
🔴HAPA NA PALE KUTOKA RUVUMA: OKTOBA 23, 2025- WANANCHI WANUFAIKA NA MIKOPO YA UKOMBOZI
Mbeya City, JKT Tanzania ni vita ya kileleni Ligi Kuu
LIGI Kuu Bara inaendelea leo Ijumaa kwa mechi moja kupigwa kwenye Uwanja wa KMC Complex jijini Dar es Salaam na Mbeya City iliyochapwa na Tanzania Prisons mabao 2-1, itajiuliza dhidi…